Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo!. Kwa kawaida mwanadamu yoyote huwa anaona njia zake zote ni kamilifu na ni sawa machoni pake mwenyewe. Lakini Neno la Mungu linatwambia. Yeremia 17:9 “Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua? ” Kumbe moyo huwa ni mdanganyifu kuliko vitu vyote!, ..
JIbu.. Mithali 27:21 inaposema “Kalibu ni kwa fedha, na tanuru kwa dhahabu; Na mtu hujaribiwa kwa sifa zake” Kalibu na tanuru ni maeneo ya moto ambapo madini ya shaba,dhahabu na fedha hupitishwa ili kutenganisha uchafu uliogandamana na madini hayo, na haijawahi kuonekana njia nyingine iliyoweza kufanya madini hayo yang’ae isipokuwa imepitishwa kwenye matanuru hayo makali ..
Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Kwa kawaida kila moyo wa mwanadamu alieumbwa kwa sura na Mfano wa Mungu. Moyo wake umejaa matamanio ya mambo mbali mbali na katika mambo hayo yapo Mazuri pia yako mabaya. Kuna yanayoonekana kuwa ni mazuri lakini ya siri isiyokuwa dhahiri mbele au machoni pa Mungu. Mfano ..
JIBU.. Mstari huu una maana mbili, Maana ya kwanza ni uhai kama ‘uhai’ alionao mwanadamu yoyote, Kwa tafsiri ni kuwa unapomwona mtu ambaye hana hatia amepangiwa njama za kufanyiwa kitendo chochote kibaya mfano kuuwawa na wewe upo Katika mazingira hayo na una uwezo wa kutoa msaada basi yakupasa ufanye hivyo haraka pasipo kusema kwamba mambo hayo ..
Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Hekima iliyokuwa ndani ya Sulemani ilikuwa ikumuongoza katika kupambanua ama kufahamu mambo mengi sana, ambayo pia kwetu yanafanyika kuwa ni msaada mkubwa sana kama tukiyasoma na kuyaelewa na kuamua kuchukua hatua.! Hivyo upo uhusiano mkubwa kati ya Uvivu na umasikini, maaana umasikini hauwezi kuja pasipokuwezeshwa na ..
Neno injili limetoka na neno la kigiriki euaggelion lenye maana ya “HABARI NJEMA” Kwahiyo maana kuu ya Injili kibiblia ni Habari njema za Yesu Kristo neno la Mungu linasema Luka 2:8 “Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku. 9 Malaika wa Bwana akawatokea ghafula, utukufu wa ..
Tusome… Mithali 18:18 Kura hukomesha mashindano; Hukata maneno ya wakuu. Upigaji wa kura ni njia iliyotumika kuleta suluhisho la jambo fulani, lililo hata Katika utata, ni njia pia iliyoweza kuchagua, viongozi, wamiliki na wenye mamlaka.. Wakati mwingine njia hii pia Mungu anairidhia ili kuleta majibu sahihi kulingana na jambo husika, ndo mana tukiangalia mfano wa ..
Tusome… Wimbo 8:6 “Nitie kama muhuri moyoni mwako, Kama muhuri juu ya mkono wako; Kwa maana upendo una nguvu kama mauti, Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni MIALI YA YAHU”. Neno YAHU lina maana zaidi ya moja,ni jina lingine la YAHWE” ambalo ndilo “YEHOVA Kutoka ..
Kibiblia baradhuli ni mtu anayefanya jambo na anajua kabisa si sawa mbele za Mungu, mtu kama huyo anafananishwa mpumbavu mtu asiyefaa, anayevuka mipaka. Watu hawa hutawatambua Kwa tabia hizi, kulingana na maandiko WATU WANAOMWAGA DAMU ISIYO NA HATIA Watu kama hawa ni mabaradhuli Kwa sababu anafanya jambo ambalo anajua kabisa mbele za Mungu ni ..
Maandiko yanaeleza wazi juu mtu aliye ishi miaka mingi katika biblia ukisoma Mwanzo 5:25 “Methusela akaishi miaka mia na themanini na saba, akamzaa Lameki. 26 Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, waume na wake. 27 Siku zote za Methusela ni miaka MIA KENDA NA SITINI NA KENDA, ..