Ni tunda lenye mbegu ndogondogo nyingi. Ni tunda linalotumika linawakulisha uzuri, ubora, mafaniko ya mtu au nchi. Tunaweza kujifunza zaidi kutoka katika maneno haya ya uzima. Kumbukumbu 8:6 “Nawe uzishike amri za Bwana, Mungu wako, upate kwenda katika njia zake, na kumcha. 7 Kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yuakuingiza katika nchi nzuri, nchi yenye vijito ..
Category : Maswali ya Biblia
Unatambua uko katika nyakati gani Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Wakristo wengi wanaishi pasipo kutambua wapo katika nyakati gani au majira gani!, kiasi kwamba wamejisahau na wengine hawajui kabisa wanaishi katika nyakati za hatari kiasi gani!, dalili nyingi za kurudi kwa Bwana Yesu zimeshaonekana nyakati zile zilizotabiliwa ..
Karibu tujifunze maneno ya uzima kutoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Maana ya kutahayari ni kuaibika yaani kufanya au kufanyiwa jambo au tendo ambalo mwishowe huwa ni aibu jambo hilo ni kama kutukanwa, n.k. Neno la Bwana linasema hivi 2Timotheo 2:15 “Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia ..
Hori ni nini? Hori ni mahali palipotengwa kwa ajili ya ng’ ombe kulia chakula. Maneno haya tunasoma katika maandiko haya ya Mungu ili tupate maana zaidi. Luka 2:7 “akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni”. Pia maana nyingine ya hori ..
Maana halisi ya konzi Ni kipimo chenye ujazo wa kukaa mkono mmoja wa mwanadamu. Tujifunze zaidi katika maandiko haya yaliyo ainishwa hapa sawa sawa na maandiko ya Bwana yanavyosema. Mithali 30:4 “Ni nani aliyepanda mbinguni na kushuka chini? Ni nani aliyekamata upepo kwa makonzi yake? Ni nani aliyeyafunga maji ndani ya nguo yake? Ni nani ..
Karibu, tuyatafakari Maneno ya Uzima.. Ikiwa wewe ni mwanamke basi somo hili ni maalumu kwako kujifunza. Yapo mambo ambayo Bwana anayafanya juu yako, mengine ulikuwa ukimwomba lakini mengi ni Bwana mwenyewe anakutendea kwa wema wake, embu jiulize baada ya kutendewa muujiza huo ulifanya nini, wengi wanaishia kushukuru baada ya hapo wanaendelea na mambo yao, nataka ..
Vitimvi ni nini kama ilivyotumika katika biblia? Ni mipango inayopangwa na kikundi cha watu kwa lengo la kuvurugwa, kuharibu, au kutenda ubaya kwa mtu au watu ili kuitimiza mikakati na makusudi waliyonayo juu ya huyo mtu. Baadhi ya watu hukutana ili kufanya ubaya kwa mtu kwa lengo la kudhulumu mali alizonazo, kulipiza kisasi kwa ubaya ..
Ni sehemu ya mwisho iliyo katika mkono wa mwanadamu inayotumika kusaidia kushika au kubeba vitu au kitu. Au Ni sehemu ya mwisho mkononi iliyounganika na kuacha za mwanadamu au mnyama. Hebu tujifunze katika maneno ya Mungu ili tupate maana iliyo Bora zaidi. Danieli 5:24-25 [24]Ndipo kile kitanga cha ule mkono kikaletwa kutoka mbele zake, na ..
Fumbi ni kijito kibibujikacho maji yatokayo katika chemchemi iliyo katika hiyo chamchela.Pia kijito cha Maji ni Mungu mwenyewe kama alivyosema kuwa yeye mti pia ni maji ya uzima yawezayo kukata kitu ya kutenda maovu na maasi mbele za Muumba wetu. Hivyo unaweza kushuhudia kuwa kabla ya kuokoka mtu alikuwa mlevi au mvutaji wa sigara lakini ..
Chamchela ni upepo mkali unaovuma kwa Kasi kiasi cha kupeperusha na kuzoa kila kitu kwa muda mfupi yaani kisulisuli. Tunaweza tukajifunza zaidi na kupata maana iliyo Bora zaidi katika neno la Mungu ambalo ni hili. Zaburi 58:9 “Kabla ya masufuria yenu kupata moto wa miiba, Ataipepeiliyorusha kama chamchela, Iliyo mibichi na moto. ” Isaya 29:5 ..