Nini maana ya Mhubiri 11:3b Mhubiri 11:3 Mawingu yakiwa yamejaa mvua, Yataimimina juu ya nchi; NA MTI UKIANGUKA KUELEKEA KUSINI, AU KASKAZINI, PAANGUKAPO ULE MTI, PAPO HAPO UTALALA. Swali nini maana ya maneno haya, mti ukianguka kuelekea kusini au kaskazini Paangukapo ule mti papo hapo utalala? Kwanza kabla hatujapata maana ya maneno hayo, hebu kwanza tuone mti unawakilisha ..
Category : Maswali ya Biblia
Tunatakaswa au tunajitakasa katika Yesu Kristo? Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Katika Biblia maneno yote haya kutakaswa na kujitakasa yote yametumika sehemu tofauti tofauti na ni muhimu kuzingatia Muktadha wa kila habari maneno hayo yanapotajwa/kuandikwa. Na biblia imeweka wazi katika kila Eneo maneno ..
Nuhu aliuhukumu je ulimwengu? Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Maandiko yanasema kuwa Nuhu aliuhukumu ulimwengu makosa, je Nuhu alikaa katika kiti cha enzi na kuanza kuuhukumu ulimwengu? Waebrania 11:7 “Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, ..
Bwana alimaanisha nini aliposema ”viuno vyenu viwe vimefungwa na taa zenu ziwe zinawaka? Jibu: Tusome Luka 12:35 “VIUNO VYENU NA VIWE VIMEFUNGWA NA TAA ZENU ZIWE ZINAWAKA. [36]nanyi iweni kama watu wanaomngojea bwana wao, atakaporudi kutoka arusini, ili atakapokuja na kubisha, wamfungulie mara. [37]Heri watumwa wale, ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesha. Amin, nawaambieni, atajifunga ..
WATU WALIOGANDA JUU YA SIRA ZAO NI WATU GANI? (Sefania 1:12) Swali: Ni watu gani hao walioganda juu ya sira zao ambao tunawasoma katika Sefani 1:12 Jibu: Tusome Sefania 1:12 Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; NAMI NITAWAADHIBU WATU WALIOGANDA JUU YA SIRA ZAO; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda ..
Lugha iliyonenwa siku ya pentekoste ilikuwa haieleweki kwa akili za kibinadamu? Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu katika mjadala huu tulitafakari neno la uzima! Swali:”Je ni kweli ile lugha iliyonenwa wakati wa kunena kwa lugha(siku ya pentecoste haikuwa inaeleweka kwa lugha ya kawaida?Mbona katika matendo 2:3-11 watu walielewa kile kilichokuwa kinanenwa na ..
Jina la Bwana na mwokozi wetu Yesu Kristo lisifiwe, karibu tujifunze maneno ya uzima tusome Mathayo 9:2 [2]Na tazama, wakamletea mtu mwenye kupooza, amelala kitandani; naye Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule mwenye kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanangu, umesamehewa dhambi zako. tunaona katika habari hii bwana Yesu anamwambia yule mgonjwa ajipe moyo mkuu hivyo hakumwita ..
Ni tunda lenye mbegu ndogondogo nyingi. Ni tunda linalotumika linawakulisha uzuri, ubora, mafaniko ya mtu au nchi. Tunaweza kujifunza zaidi kutoka katika maneno haya ya uzima. Kumbukumbu 8:6 “Nawe uzishike amri za Bwana, Mungu wako, upate kwenda katika njia zake, na kumcha. 7 Kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yuakuingiza katika nchi nzuri, nchi yenye vijito ..
Unatambua uko katika nyakati gani Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Wakristo wengi wanaishi pasipo kutambua wapo katika nyakati gani au majira gani!, kiasi kwamba wamejisahau na wengine hawajui kabisa wanaishi katika nyakati za hatari kiasi gani!, dalili nyingi za kurudi kwa Bwana Yesu zimeshaonekana nyakati zile zilizotabiliwa ..
Karibu tujifunze maneno ya uzima kutoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Maana ya kutahayari ni kuaibika yaani kufanya au kufanyiwa jambo au tendo ambalo mwishowe huwa ni aibu jambo hilo ni kama kutukanwa, n.k. Neno la Bwana linasema hivi 2Timotheo 2:15 “Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia ..