
SWALI: Naomba kuuliza, hivi ni kweli kuwa, Mariamu mke wa Yusufu ni Malkia wa malaika, manabii, mitume na watakatifu wote? Kwa sababu ndivyo ilivyoandikwa katika LITANIA y..
SWALI: Naomba kuuliza, hivi ni kweli kuwa, Mariamu mke wa Yusufu ni Malkia wa malaika, manabii, mitume na watakatifu wote? Kwa sababu ndivyo ilivyoandikwa katika LITANIA y..
Nehushtani Maana yake ni Kipande cha shaba.
Sababu ya mfalme Hezekia kuiita NEHUSHTANI (yaani kipande cha shaba), ile nyoka ambayo Musa aliifanya kule jangwani, ni kuonesha kuwa, hakukuwa na nguvu yo yote ile tena katika yule nyoka wa shaba kwa wa..
SWALI: Je! Mtu anaweza kuwa na kipawa cha Mungu kabisa na bado akawa mtumishi..
SWALI: Naomba kuuliza, kwanini safari ya wana wa Israeli kuelekea nchi yao ya ahadi (kaanani), ilikuwa imeshamiri vita na mapigano mengi mno, kwa mfano; tukisoma maandiko matakatifu baada tu ya wana wa Israeli kupit..
SWALI: Bwana Yesu apewe sifa, naomba msaada wa jibu la swali hili, kwanini Nuhu alitengeneza safina kwa muda wa miaka arobaini (40), mvua ya gharika ilinyesha siku arobaini, WaIsraeli walikaa utumwani kwa miaka..
JIBU: Tofauti na wengi wanavyodhani kuwa, andiko hilo maana yake ni ufuate kile ambacho unachokiona kipo sawa ndani ya moyo wako, au kama kuna jambo fulani basi ufuate kama moyo wako unavyokutuma, ndugu hicho kitu..
JIBU: Krismasi haipo sehemu yo yote ile katika maandiko matakatifu, na wala maandiko hayajasema popote pale kuwa Kristo alizaliwa Tarehe 25 ..
JIBU: Maneno hayo mtume Paulo alimwandikia Timotheo (na sisi pia), juu ya watu fulani, kwamba, tujiepushe na watu wa aina hiyo, watu ambao wanafikiri utauwa au kuishi maisha ya kumpendeza Mungu katika Kristo ni njia ya kupata pesa, a..
SWALI: Mtume Yohana kwenye maono yake, aliwaona wafu wakubwa kwa wadogo wamesimama mbele ya kiti cha enzi (mbele za Mungu), kisha na VITABU VIKAFUNGULIWA. Swali ni je! Hivyo vitabu ni vipi a..
SWALI: Naomba kuuliza, hivi katika maandiko mitume wa Bwana Wetu Yesu Kristo walibati..