Biblia inasema katika Yakobo 4:9Kwamba kucheka kwetu kugeuzwe kuwa maombolezo, je Mungu hapendi tuwe tunafurahi? Au maana yake ni nini mstari huu? Maandiko yanasema… Yakobo 4:9  “Huzunikeni na kuomboleza na kulia. Kucheka kwenu na kugeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa hamu”. Kicheko kilicho tajwa hapo ambacho kinapaswa kigeuzwe kuwa maombolezo sio kicheko cha mambo mazuri, kwamba ..

Read more

Tusome hapa.. Mathayo 14:23 “Naye alipokwisha kuwaaga makutano, alipanda mlimani faraghani, kwenda kuomba. Na kulipokuwa jioni, alikuwako huko peke yake. 24  Na kile chombo kimekwisha kufika katikati ya bahari, kinataabika sana na mawimbi; MAANA UPEPO ULIKUWA WA MBISHO. 25  Hata wakati wa zamu ya nne ya usiku Yesu akawaendea, akienda kwa miguu juu ya bahari. 26  ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze biblia, JIBUMwivi na mwizi ni neno moja lenye maana ileile ila ni lugha mbili ambazo zipo katika nyakati mbili tofauti. Biblia imetafsiriwa kwa kiswahili cha zamani kilichoitwa ‘kimvita’ ambacho kina maneno yasiyokuwepo kwa sasa kama vile mwivi na wevi yakimaanisha mwizi na wezi. Hiyo ndiyo sababu hatuwezi kuona neno mwizi na badala ..

Read more

Shalom. Karibu tujifunze Biblia JIBU: Kwa majibu turejee katika Maandiko Wafilipi 3:2 ” Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao.” Hapa tunakutana na makundi matatu hatari ya kujihadhari nayo “Mbwa” pili “Watendao mabaya” tatu ” Wajikatao” Sasa tutalitazama kila kundi kati ya haya tukianza na makundi mawili ya mwisho [Kundi la Kwanza]”Watendao ..

Read more

JIBU.. Katika maandiko tunaona Yohana mbatizaji alibatiza kwa maji lakini alishuhudia kuwa Bwana Yesu atakuja kubatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto, Tuangalie sifa kuu tatu za moto.. Sifa ya kwanza ni :kuunguza na kuteketeza vitu visivyofaa kama vile takataka. Hapa ni pale Mungu anapozichoma dhambi zote zilizo ndani ya mtu na ndipo mtu anafikia ..

Read more

Chrislam ina tambulika kama ni muungamaniko wa maneno makuu mawili. (Yaani Christian na Islamic). Likachukuliwa Neno la kwanza Chris katika Christian, likaunganishwa na Neno la katikati “slam” kutoka katika Islamic. Kuunda Chrislam Ni imani iliyotokea, kwenye nchi ya Nigeria miaka ya 1970.  Kutokana na kutokuwa na maelewano ya kiimani baina ya jamii hizi mbili za ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu Yesu Kristo. Luka 12:50“Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe! “ Umewahi kulitafakari jambo hili kwa undani zaidi kuhusu ubatizo aliobatizwa Yesu Kristo pamoja kikombe alichokinywea Yesu Kristo? Wengi wetu huwa tunaishia tu pale ..

Read more

Kuna dhambi ambayo huleta mauti, mkristo akiifanya dhambi hiyo wakati ambao bado ana neema ya Mungu atakufa lakini siku ya mwisho atapata wokovu. Mfano Musa alipomkosea Mungu alisamehewa lakini hakuondolewa adhabu ya kifo…Mungu alimwambia kutokana na lile kosa hataiona nchi ya ahadi na hakika atakufa lakini alipokufa aliungana na watakatifu na kuna wakati alitokea na ..

Read more

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu Tuyatafakari pamoja Maandiko Suala la utafsiri wa ndoto limekuwa suala mtambuka sana. Na kwa bahati mbaya wengi wanakosa tafsiri za ndoto zao, hasa kulingana na Maandiko. Ni vyema kabla hujatafuta tafsiri ya ndoto yako uyajue makundi haya matatu ya ndoto Ambayo ni Ndoto zinazotokana na Mungu, zinazotokana ..

Read more