Unapokuwa tayari kwa hiyari yako kumkabidhi Kristo maisha yako ili akuokoe na kukusamehe dhambi zako basi huo ni uamuzi mzuri zaidi na wenye furaha zaidi maisha yako yote, kama ilivyokuwa kwa sisi wenzako katika kristo Yesu, ilikuwa hivyo hivyo. Kumbuka.. • kwa Yesu kuna Uzima wa milele, utulivu wa Nafsi na faraja kuu. Kama anavyosema ..
Category : Maombi na sala
Moja ya jambo muhimu sana kwa mkristo yoyote yule, ambalo Bwana Yesu alisisitiza ni kuwa WAOMBAJI, na faida ya kuwa waombaji Bwana Yesu aliitaja kuwa, tukiwa waombaji kamwe hatutoingia m..