Category : Maombi na sala

Jifunze unyenyekevu katika kuwaombea wengine. Jina kuu la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). Unyenyekevu ni jambo linalompendeza sana moyo wa Mungu, na leo tutaangalia unyenyekevu katika kupeleka maombi yetu mbele za Mungu kwa ajili ya wengine. Mara nyingi tumekuwa ..

Read more

KESHENI MWOMBE MSIJE MKAINGIA MAJARIBUNI. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuwa waombaji ikiwa tumekwisha kuzaliwa mara ya pili. Bwana Yesu alituambia maneno haya “kesheni, mwombe, MSIJE MKAINGIA MAJARIBUNI.” Hilo Neno “msije mkaingia majaribuni” ni neno kubwa sana… Hivi unajua ni kwanini Bwana alisema “hata nywele zetu zote za kichwani ..

Read more

Madhara ya kupunguza Maombi. Katika Maisha usijaribu kufanya kosa la kupunguza maombi…Ni heri ukapunguza muda wa kufanya mambo mengine ambayo unaona ni ya muhimu lakini usipunguze kuomba hata kidogo!..Kama tayari ulishaanza kuwa muombaji, halafu ukaanza kupunguza unamtengenezea adui nafasi ya kufanya uharibifu mkubwa sana katika maisha yako. Na kitu ambacho watu wengi huwa hutujui ni ..

Read more

JINSI YA KUFUNGUA MLANGO WA MAFANIKIO UTANGULIZI: Ni muhimu kujua hili: lengo kuu au kiini cha Wokovu ulioletwa na BWANA YESU KRISTO sio sisi tuwe matajiri au tupate mafanikio ya huu ulimwengu!. Mafanikio ya dunia hii ni moja ya faida za mwisho mwisho kabisa za kusudi la msalaba wa Bwana YESU kwasababu walikuwepomatajiri kabla ya ..

Read more

Maombi yanayompendeza Mungu. (Omba Mungu akupe moyo wa hekima zaidi ya mali) Kwanini tunapaswa kumuomba Mungu atupe hekima zaidi ya mali? Kwani! ni vibaya kuwa na mali? Kuwa na mali sio vibaya na tunahitaji, lakini pia tukikosa hekima, hata hiyo mali pia hatuwezi kutumia vizuri. Sulemani Mfalme wa Israeli mwana wa Daudi, Ni mtu aliyempendeza ..

Read more

Usimpelekee Bwana mashitaka ya maadui zako. Moja ya jambo ambalo linamchukiza sana Mungu ni maombi ya kuwaombea wanadamu wenzetu mabaya, hili linamchukiza sana na linaleta adhabu kwetu badala ya mazuri. Maombi ya kuwashitaki ndugu zetu kama maadui ni maombi mabaya sana, hata kama ni kweli wametuumiza. Hebu fikiria wewe ulipokuwa unawangia watu, unaiba vitu vya ..

Read more

Je! una nia gani na kile unachoomba kwa Bwana. Shalom, jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe Mara nyingi tumekuwa tukipeleka maombi yetu kwa Mungu na hatuoni kujibiwa mpaka wakati mwingine tunakata tamaa na kusema labda Mungu hasikii. Ukweli ni kwamba Mungu wetu anasikia sana na anajibu kabisa kwa wakati wala hakawii kujibu… anasema sikio lake ..

Read more

Nitajuaje kuwa ninaomba kwa Mungu wa kweli? Shalom. Jina la Bwana Yesu Kristo mwokozi wa ulimwengu libarikiwe, utukufu na heshima vina yeye milele na milele. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Katika somo lililopitia tulijifunza maana ya maombi..kwamba maombi ni nini na ni kwanini tuombe? hivyo siku ya leo tutaangalia ni kwa jinsi gani tunaweza tukawa ..

Read more

KWANINI MAOMBI Nakusalimu katika jina tukufu, jina la Bwana Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme na BWANA WA MABWANA. Karibu tujifunze hekima ya Mungu, Neno la Mungu ambalo ni taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). Leo kwa neema za Mungu tutajifunza somo zuri linalohusu maombi. tutaangalia maana ya maombi na ni kwanini ..

Read more

Maombi ni silaha mojawapo inayoweza kukuletea matokea makubwa sana, na shetani kwa kulijua hilo,anapiga vita swala la maombi, hivyo hatuna budi kuwa na miongozo ambayo itatusaidia tuzidi kukomaa kimaombi na kuendelea mbele zaidi, Ipo miongozo mingi itakayokusaidia kuomba ila kwa neema za Bwana tutaangalia ni namna gani tunaweza kuingia kwenye maombi tukiwa tayari tuna mwongozo ..

Read more