Mikono iliyotaka ni mikono isiyokuwa na hila au dosari yeyote, yaani mikono ambayo ni safi iliyotakata 1Timotheo 2:8 “Basi, nataka wanaume wasalishe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano” Mikono yenye hila au dosari nyenyewe inakiwaje, tusome Isaya 1:15 “Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha macho yangu nisiwaone; naam, mwombapo maombi mengi, sitasikia; ..
Archives : May-2024
Ili tuweze kuelewa mstari huu tutazame mfano huu ambao ni uhalisia wa maisha ulivyo ambao sasa utatusaidia kuelewa maana ya (Mithali 11:26) Kuna kipindi baadhi ya mikoa ya Afrika mashariki (Tanzania ) kulitokea shida ya maji, ilifanya watu kutoka umbali mrefu kwenda kutafuta maji ili waweza kufanikisha shughuli zote zinazohitaji maji, lakini sasa katika kipindi ..
Ulafi ni tabia ambayo mtu anakula chakula bila kiasi, kula kwa kupitiliza, na tabia inapozidi hufanya hata kushidwa kufanya maendeo ya kimaisha au kiroho kwa sababu hufanya kila kitu kitakacho onekana mbele ya macho lazima tu atakila sasa hali kama hii ndiyo inajulikana kama ulafi. Na tabia hii haitokani na Mungu ndiyo maana maandiko yanasema ..
Mithali 20:12[12]Sikio lisikialo, na jicho lionalo, BWANA ndiye aliyeyafanya yote mawili.. JIBU.. Unaweza kujiuliza, kwanini maandiko yasingesema sikio na jicho Bwana ndiye aliyeyafanya yote mawili, badala yake anasema… “Sikio lisikialo na jicho lionalo Bwana ndiye aliyeyafanya yote mawili, Hii ni kutuonyesha jinsi gani kazi zao jinsi zinavyoweza kujitegemea, kwasababu sikio haliwezi kuona wala jicho kusikia ..
Jibu,Tusome pamoja… Mwanzo 11:28-29[28]Harani akafa kabla ya baba yake Tera katika nchi aliyozaliwa, yaani, katika Uru wa Wakaldayo. [29]Abramu na Nahori wakajitwalia wake. Jina la mkewe Abramu aliitwa Sarai, na jina la mkewe Nahori aliitwa Milka, binti Harani, ambaye alikuwa baba wa Milka na wa Iska Neno hili Uru, lina maana ya ARDHI,AU HIMAYA, Na ..
SAYUNI, katika Biblia tunangalia mwanzoni kabisa ambapo Daudi alipokwenda kuuteka Mji wa Yerusalemu na akafanikiwa .. Eneo lile alililoliteka liliitwa ngome ya SAYUNI. Tutaona katika kitabu cha (2Samweli 5:7). Sasa cha kufahamu ni kwamba katika maandiko Sayuni imetumika nakutambulika kama mji wa Daudi au Mji wa Mungu(YERUSALEMU).. Pia mahali pa mlima ambako hekalu la MUNGU ..
Hapo maandiko yaliposema kuwa mwenye hekima huvuta roho za watu, ilimaanisha mtu yeyote anayewavuta watu katika wokovu huyo ndiyo anafahanishwa mtu mwenye hekima, hakumaanisha hekima za dunia hii maana hekima za dunia hii zipo nyingi lakini hazina faida kubwa kama hii ya mtu kumvuta mtu katika wokovu .. Mithali 11:30 “Mazao ya mwenye haki ni ..
Tusome Mithali 30:24-28 [24]Kuna viumbe vinne duniani vilivyo vidogo; Lakini vina akili nyingi sana. [25]Chungu ni watu wasio na nguvu; Lakini hujiwekea chakula wakati wa hari. [26]Wibari ni watu dhaifu; Lakini hujifanyia nyumba katika miamba. [27]Nzige hawana mfalme; Lakini huenda wote pamoja vikosi vikosi. [28]Mjusi hushika kwa mikono yake; Lakini yumo majumbani mwa wafalme. Mjusi ..
JIBU.. Kuna utofauti kati ya haya Maneno mawili, Utasi na Utasa.. tasa ni ile hali ya mtu kutokuwa na uwezo wa kuzaa au kuzalisha,kwa mwanamke au mwanaume lakini utasi ni hali ya ulimi kuwa mzito, wengi wenye changamoto ya utasi wanakuwa hawawezi kuongea Katika ufanisi au kuyatamka Maneno vizuri, na huwa tatizo la utasi mtu ..
JIBU.. Hapana, Bwana Wetu Yesu Kristo hakuwa na mahusiano na mwanamke yeyote na wala hakuingia Katika ndoa (kuoa).. Makusudi yake makubwa ya kuzaliwa na kuja kuishi duniani ni ili ayafanye na kuyakamilisha mapenzi ya baba yake ambayo ni kumkomboa Mwanadamu aliyepotea , na Katika yote hakuwahi kufanya dhambi hata moja wala kuingia kwenye tamaa.. Yohana ..