Kaa mahali ambapo Mungu amekusudia uwepo!. Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Mahali ambapo Mungu amepakusudia kwa kila mtoto wake kukaa na kukuzwa ni sehemu moja tu nayo inaitwa kanisa. Agenda au mkakati wa Mungu kukutengeneza na kukuimarisha kiroho lakini pamoja na kuwakomboa watu kutoka gizani na ..
Author : Paul Elias
Kwa nini tunaomba toba/kutubu ikiwa tumesamehewa Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Yapo mafundisho ya kishetani yanayowadanganya Wakristo wengi kwamba “ sio lazima kuomba toba tayari umeshasamehewa dhambi zako kwa nini unaanza kulia tena Mungu nisamehe,Nirehemu yaani unamkumbusha Mungu akusamehe na wakati alishakusamehe nk” ndugu yangu ikiwa umepatwa ..
Hauko hapa duniani kwa bahati mbaya Shalom nakusalimu katika jina la Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Hakuna mwanadamu anaeishi hapa duniani kwa bahati mbaya yaani kama ajali tu akajikuta yupo la! Kila mmoja duniani hapa haijalishi alipatikana kwa njia gani lakini hayupo kwa bahati mbaya. Ikiwa umeokoka upo ndani ya Yesu Kristo basi ..
Tunatakaswa au tunajitakasa katika Yesu Kristo? Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Katika Biblia maneno yote haya kutakaswa na kujitakasa yote yametumika sehemu tofauti tofauti na ni muhimu kuzingatia Muktadha wa kila habari maneno hayo yanapotajwa/kuandikwa. Na biblia imeweka wazi katika kila Eneo maneno ..
Fahamu Maana halisi ya Kuabudu. Shalom, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kuabudu ni Neno ambalo limezoeleka kwa Wakristo wengi sana. Karibu Wakristo wote wanalisema neno hili. Wachungaji, waimbaji wa nyimbo za injili, nk lakini wengi haswa hawafahamu/hatufahamu maana halisi ya Neno hili “ Kuabudu ” ni neno ambalo ..
Lifanye Neno la Mungu kuwa tiba ndani ya roho yako na mwili wako. Shalom, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Zaburi 107:20 “Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.” Neno la Mungu ni tiba kwa mwanadamu(maana aliumbwa kwa hilo yaani Neno la Mungu/Mungu mwenyewe) ni neno ambalo ..
Nuhu aliuhukumu je ulimwengu? Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Maandiko yanasema kuwa Nuhu aliuhukumu ulimwengu makosa, je Nuhu alikaa katika kiti cha enzi na kuanza kuuhukumu ulimwengu? Waebrania 11:7 “Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, ..
Mtu akiipenda dunia kumpenda Baba hakumo ndani yake. Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Tofauti na inavyodhaniwa na watu wengi kuwa mstari huu unawazungumzia Watu ambao hawajaokoka, la! Mstari huu ni mahususi kabisa na kwa watu ambao tayari wameshamwamini Yesu Kristo. Walaka huu unamhusu Mkristo yeyote ulimwenguni ..
Itengeneze tabia ya Mungu ndani yako. Shalom, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. “Mwenye jukumu na wajibu wa kufanya tabia ya Mungu iwe ndani yako yaani uwe kama Mungu jinsi alivyo ni wewe” “Kupokea Roho Mtakatifu haimaanishi unayo tabia ya Mungu ndani yako, kuwa na karama ikiwa ni ..
Namna ya kuvishinda vita vya kifikra. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Vita vikubwa vya Shetani juu ya watoto wa Mungu si uchawi,uganga,nk lakini vita vikubwa Shetani anavyopigana na watoto wa Mungu na kuwadhoofisha kwa namna isiyokuwa ya kawaida na kuona hawafai tena mbele za Mungu basi ni ..