Author : Peter Paul

Biblia inasema katika Yakobo 4:9Kwamba kucheka kwetu kugeuzwe kuwa maombolezo, je Mungu hapendi tuwe tunafurahi? Au maana yake ni nini mstari huu? Maandiko yanasema… Yakobo 4:9  “Huzunikeni na kuomboleza na kulia. Kucheka kwenu na kugeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa hamu”. Kicheko kilicho tajwa hapo ambacho kinapaswa kigeuzwe kuwa maombolezo sio kicheko cha mambo mazuri, kwamba ..

Read more

Chrislam ina tambulika kama ni muungamaniko wa maneno makuu mawili. (Yaani Christian na Islamic). Likachukuliwa Neno la kwanza Chris katika Christian, likaunganishwa na Neno la katikati “slam” kutoka katika Islamic. Kuunda Chrislam Ni imani iliyotokea, kwenye nchi ya Nigeria miaka ya 1970.  Kutokana na kutokuwa na maelewano ya kiimani baina ya jamii hizi mbili za ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu Yesu Kristo. Luka 12:50“Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe! “ Umewahi kulitafakari jambo hili kwa undani zaidi kuhusu ubatizo aliobatizwa Yesu Kristo pamoja kikombe alichokinywea Yesu Kristo? Wengi wetu huwa tunaishia tu pale ..

Read more

Mungu alimpa maagizo Musa atengeneze nyoka wa Shaba, ili kila mtu alieumwa na wale nyoka wa moto akimtazama huyo nyoka apone. Kama maandiko yanavyosena… Lakini Mungu hakuwahi kusema kwamba Wana wa Israeli kuwa muda au mazingira yeyote yale watakapo patwa na magumu au shida basi ndo wamsimamishe nyoka wa shaba wamtazame ili wapone, hakuwahi kusema ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo. Iko hatari kubwa sana katika nyakati hizi za Mwisho na kama tusipokuwa makini tutajikuta tunafanya kazi ya kuchosha. Na kwasababu ya upofu tukaona ni kawaida tu. Wakristo wengi sana wanavitwaa viungo vya Kristo na kuvifanya kuwa vya kahaba(kuviungamanisha ..

Read more

Bwana yesu apewe sifa mwana wa MunguTushukuru Sana Kwa neema ya kuiona Leo maana si Kwa nguvu wala Kwa uweza Bali Kwa huruma,fadhili na mapenzi yake basi tuna paswa kujifunza neno lake kila tunapo muda na wakati maana lipo kusudi la Mungu kusoma huu ujumbe. Waefeso 5:15-18 biblia inatuambia hivi.. “15 Basi angalieni sana jinsi ..

Read more

Koikoi ni ndege wa kubwaWenye miguu mirefu na mdomo mrefu na mwembamba Ndege hawa wana rangi nyeupe, kijivu na nyeusi. Sasa turudi kwenye maandiko tuone yanasemje juu ya hawa ndege na ni upi ufunuo na hekima tunaweza kuipata hapa kama watoto wa Mungu na ikatusaidia katika maisha Yetu ya wokovu. Yeremia 8:7 “Naam, koikoi angani ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tujifunze maneno ya uzima?. Umewahi kujiuliza hili jambo na kutafakari, kauli hii aliyoizungumza Bwana Yesu? huenda huwa tunaiosoma tu mara kwa mara pasipo kuitafakari kwa kina…Leo tutakwenda kutazama kwa undani ni kwa namna gani watendakazi ni wachache. Mathayo 9:36-38” Na alipowaona makutano, aliwahurumia, kwa sababu walikuwa ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe,  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima. Kuna jambo kubwa sana ambalo Mungu alikuwa akiwafundisha wana wa Israeli nyuma ya hili andiko,Na kwa neema za Bwana tutakwenda kuona na sisi kujifunza pia. kumbukumbu 22:6-7 6“Kiota cha ndege kikitukia kuwa mbele yako njiani, katika mti wo wote, au ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu  tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu. Ukisoma vyema hapo utaona maandiko yameorodhesha mambo matatu hapo!,Sasa ili tunafahamu ni yapi hebu tusome kwa kuanzia juu kidogo. Wagalatia 2:3 “Lakini Tito aliyekuwa pamoja nami, naye ni Myunani, hakulazimishwa kutahiriwa. 4  BALI KWA AJILI YA NDUGU ZA UONGO ..

Read more