Archives : September-2023

Kuzumbua maana yake ni kuwa na uwezo kupata kitu Fulani, hususani kile Cha lazima. Kwamfano Unaweza kusema; Namshkuru Mungu nimezumbua kile kitambulisho changu kilichopotea siku nyingi. Maana yake nimekipata kitambulisho changu. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi kwenye biblia Mambo ya Walawi 6:1-7 [1]BWANA akanena na Musa, na kumwambia, [2]Mtu awaye yote akifanya dhambi, na ..

Read more