Archives : March-2023

Umeshawahi kujiuliza ni kwanini kanisa la sasa la Kristo halina Utukufu kama ule uliokuwapo katika kanisa la mwanzo? Hakuna tena imani kama ile iliyokuwapo mwanzo (bali ni unafiki na kuigiza), hakuna tena nguvu ya Mungu katika kanisa kama iliyokuwapo mwanzo, hakuna tena ushukiwaji wa Roho Mtakatifu kwa watu katika kanisa k..

Read more