Author : magdalena kessy

Pitia hapa.. Ezekieli 27:8 “Wakaao Sidoni na Arvadi ndio waliovuta makasia yako; wana wako wenye akili, Ee Tiro, walikuwa ndani yako, ndio WALIOKUWA RUBANI ZAKE”. Marubani tunaowasoma hapo hawakuendesha ndege kama marubani wa sasa hivi kwa sababu kwa wakati huo ndege hazikuwepo. Neno rubani asili yake ni mwana maji na sio mwana anga kama linavyotumika ..

Read more

Tusome hapa.. Mathayo 14:23 “Naye alipokwisha kuwaaga makutano, alipanda mlimani faraghani, kwenda kuomba. Na kulipokuwa jioni, alikuwako huko peke yake. 24  Na kile chombo kimekwisha kufika katikati ya bahari, kinataabika sana na mawimbi; MAANA UPEPO ULIKUWA WA MBISHO. 25  Hata wakati wa zamu ya nne ya usiku Yesu akawaendea, akienda kwa miguu juu ya bahari. 26  ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze biblia, JIBUMwivi na mwizi ni neno moja lenye maana ileile ila ni lugha mbili ambazo zipo katika nyakati mbili tofauti. Biblia imetafsiriwa kwa kiswahili cha zamani kilichoitwa ‘kimvita’ ambacho kina maneno yasiyokuwepo kwa sasa kama vile mwivi na wevi yakimaanisha mwizi na wezi. Hiyo ndiyo sababu hatuwezi kuona neno mwizi na badala ..

Read more

JIBU.. Katika maandiko tunaona Yohana mbatizaji alibatiza kwa maji lakini alishuhudia kuwa Bwana Yesu atakuja kubatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto, Tuangalie sifa kuu tatu za moto.. Sifa ya kwanza ni :kuunguza na kuteketeza vitu visivyofaa kama vile takataka. Hapa ni pale Mungu anapozichoma dhambi zote zilizo ndani ya mtu na ndipo mtu anafikia ..

Read more

Kuna dhambi ambayo huleta mauti, mkristo akiifanya dhambi hiyo wakati ambao bado ana neema ya Mungu atakufa lakini siku ya mwisho atapata wokovu. Mfano Musa alipomkosea Mungu alisamehewa lakini hakuondolewa adhabu ya kifo…Mungu alimwambia kutokana na lile kosa hataiona nchi ya ahadi na hakika atakufa lakini alipokufa aliungana na watakatifu na kuna wakati alitokea na ..

Read more

Karibu tujifunze biblia.. Yakobo 3:1“Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.” Ukipeleka katika lugha ya kiingereza ” Not many of you should become teachers ..” au unaweza kusema ” pasiwepo na waalimu wengi kati yenu” Roho Mtakatifu anamvuvia yakobo kuyasema haya yanayolitafuna sana kanisa, Hii huonekana pindi Kila mtu anapokuwa ..

Read more

Jina la Bwana Yesu Kristo Lihimidiwe. Karibu tujifunze maneno ya Uzima… Maandiko yanasema katika.. Warumi 12:3” Kwa maana kwa neema niliyopewa namwambia kila mtu aliyeko kwenu ASINIE MAKUU KUPITA ILIVYOMPASA KUNIA; bali awe na nia ya kiasi, kama Mungu alivyomgawia kila mtu kiasi cha imani.” SWALI linakuja, JE! Huko Kunia makuu ndio kufanyaje? Warumi 12:4-84″ ..

Read more

Shalom karibu tujifunze Maneno ya Uzima.. Warumi 13:14Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata KUWASHA TAMAA ZAKE.” Kuuangalia mwili kama ilivyoandikwa hapo juu inamaanisha kuujali au kuutii sana mwili kupitiliza, na hatimae kuziwasha tamaa za mwili…Mtu anapofikia hatua hii huwa ni teja wa mwili wake na huutii kwa Kila jambo Lasivyo mtu huyo ..

Read more

Karibu tuyatafakari Maneno ya Mungu.. Luka 14:26” Kama mtu akija kwangu naye HAMCHUKII baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake waume na wake; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu. Bwana alipoyazungumza Maneno hayo,hakuwa na maana kumdharau au kuwa na uadui, hapana, bali alimaanisha yule apendaye ..

Read more

Jina la Bwana libarikiwe, karibu tujifunze. Kipindi Musa anamuuliza Mungu kuhusu jina lake alitegemea kutajiwa jina fulani kama vile baali, Ashtoreth n.kZaidi tunaona Mungu anamjibu kwa jumla akisema, wakikuuliza jina langu waambie Mimi ni ” Niko ambaye Niko” Kutoka 3:14 Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma kwenu. Ukiangalia ..

Read more