Karibu, tuyatafakari Maneno ya Uzima.. Ikiwa wewe ni mwanamke basi somo hili ni maalumu kwako kujifunza. Yapo mambo ambayo Bwana anayafanya juu yako, mengine ulikuwa ukimwomba lakini mengi ni Bwana mwenyewe anakutendea kwa wema wake, embu jiulize baada ya kutendewa muujiza huo ulifanya nini, wengi wanaishia kushukuru baada ya hapo wanaendelea na mambo yao, nataka ..
Author : magdalena kessy
Maombi ni silaha mojawapo inayoweza kukuletea matokea makubwa sana, na shetani kwa kulijua hilo,anapiga vita swala la maombi, hivyo hatuna budi kuwa na miongozo ambayo itatusaidia tuzidi kukomaa kimaombi na kuendelea mbele zaidi, Ipo miongozo mingi itakayokusaidia kuomba ila kwa neema za Bwana tutaangalia ni namna gani tunaweza kuingia kwenye maombi tukiwa tayari tuna mwongozo ..
Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu.. Kwa Neema za Bwana tutakwenda kuangazia ni namna gani tunaweza kujua njia ya wokovu kupitia kitabu cha warumi.. Pengine ulishawahi kukisoma,au ni msomaji wa kitabu hicho ila leo tutajifunza jambo lingine ambalo hukuwahi kulifahamu.. njia ya wokovu ndani ya kitabu cha warumi ni mpango wa wokovu ..
Yeremia 1:11 Tena neno la BWANA likanijia, kusema, Yeremia, waona nini? Nikasema, Naona UFITO WA MLOZI. 12 Ndipo BWANA akaniambia, UMEONA VEMA, Kwa maana ninaliangalia neno langu, ili nilitimize. Shalom mtu wa Mungu. Karibu tujifunze biblia. Kabla hatujaenda ndani kuangalia ujumbe wa leo, tuangalie kwanza maana ya huo mti wa mlozi alioonyweshwa nabii Yeremia ..
Ufunuo 14:13 [13]Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; KWA KUWA MATENDO YAO YAFUATANA NAO. Nakusalimu katika jina tukufu la Bwana Yesu Kristo Mwokozi wa ulimwengu. Hivi umewahi kujiuliza mtu akifa Nini kitamtokea huko aendako? Kama hukuwahi kulijua hilo, ..
Shalom, ni kwa Neema za Bwana tuyatafakari Maneno yake ya uzima… Leo natamani tujifunze kitu kingine pengine unakifahamu lakini naamini utaongeza maarifa zaidi, Wengi wetu hasa watu wa Mungu wamekuwa wakiogopa kitu kinachoitwa dhambi, jambo ambalo ni jema sana tena linalompendeza Mungu, kwasababu hata Neno lake linatutaka tukae mbali na dhambi,kwa kuwa ni machukizo ..
Shalom, tunamshukuru Bwana kwa siku nyingine tena aliyotupa.. Wengi wetu tumekuwa tukiomba sana , wengine wameenda mbali zaidi wakiisindikiza maombi yao kwa mifungo ya siku hata mwezi, jambo ambalo ni jema sana na lapendeza sana mbele za Mungu, kwasababu maandiko yametutaka tuombe bila kukata tamaa, (luka 18:1) Lakini leo natamani tujifunze Jambo lingine ambalo Katika ..
Bwana Yesu asifiwe milele yote, karibu tuyatafakari Maneno yake.. Usalama wa maisha ya mtoto yapo kwa Mungu lakini pia yapo kwa mzazi, ni jukumu la mzazi kuyajali na kuyathamini maisha ya mtoto hata kabla hajazaliwa mpaka anakuja kufikia hatua ya kuwa mtu mzima, jukumu la kumwangalia na kumjali lipo juu yako pia, na sio la ..
Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu.. Upo umuhimu mkubwa wa wewe mzazi au mlezi kumlea mtoto wako Katika njia inayompasa, kwasababu hataicha kabisa, ndivyo maandiko yanavyotujuza,na Neno la Mungu halisemi uongo,ina maana malezi unayomlea Mtoto wako saivi, yale ya kumpenda Mungu na kuzishika sheria za Mungu, na kumfundisha kuenenda Katika njia zake, fahamu kabisa matunda ..
Jina Bwana Yesu libarikiwe milele, karibu tujifunze Neno lake.. hili ni fundisho maalumu linalomuhusu mzazi au mlezi, kama upo kwenye nafasi yoyote ya kulea basi zingatia haya, Kitu pekee na kikubwa na cha kuzingatia wewe uliye Katika nafasi ya ulezi ni MAOMBI, Maombi ni silaha kubwa inayoweza kuangamiza mishale yote ya adui shetani, na Maombi ..