Archives : September-2022

SWALI: Nina maswali yafuatayo ambayo naomba msaada wa ufafanuzi, swali la kwanza ni je ufalme wa MUNGU ni nini? Swali la pili ni kwamba, kwa nini ufalme wa MUNGU utakuwa ndani yetu, je ni Roho Mtakatifu ndiye anayezungumziwa hapa au? Na swali langu la tatu ni je, ufalme wa MUNGU ulikuja kipindi gani? Shalom wapendwa ..

Read more

Moja ya tabia ambayo Bwana Wetu Yesu Kristo aliikemea sana na kutukataza tusiwe nayo ni unafiki, tunaliona hilo sehemu kadha wa kadha kwenye maandiko matakatifu aliposema kuwa, katika kuishi kwetu na kuendenda kwetu tusiwe kama wanafki, tunapotoa sadaka tusiwe kama wanafiki, tusalipo tusiwe kama wanafiki, tufungapo tusiwe kama wanafiki, na sehemu nyingine nyingi mno alipoikemwa tabia hiyo ya unafiki na..

Read more

Neno la Mungu ni uzima, tena ni taa na mwanga wetu. Karibu tujifunze ili tupate kuona. [Mathayo 9:10-13] 10 Ikawa alipoketi nyumbani ale chakula, tazama, watoza ushuru wengi na wenye dhambi walikuja wakaketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake. 11 Mafarisayo walipoona, waliwaambia wanafunzi wake, Mbona mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na wenye ..

Read more