Archives : September-2022

Neno la Mungu ni uzima, tena ni taa na mwanga wetu. Karibu tujifunze ili tupate kuona. [Mathayo 9:10-13] 10 Ikawa alipoketi nyumbani ale chakula, tazama, watoza ushuru wengi na wenye dhambi walikuja wakaketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake. 11 Mafarisayo walipoona, waliwaambia wanafunzi wake, Mbona mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na wenye ..

Read more