Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; Isaya 42:20 “Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; masikio yake ya wazi, lakini hasikii.” Je! we ni miongoni mwa waonao mambo mengi, lakini huyatii moyoni? Neno la Mungu linasema.. Isaya 28:22 Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ..
Category : Siku za Mwisho
MAMBO HAYO YAANZAPO KUTOKEA. Jina kuu tukufu..jina la Bwana Yesu Kristo Mfalme wa dunia yote na Mkuu wa Uzima libarikiwe. Karibu tuyatafakari maneno ya Uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo. Leo kwa msaada wa Roho Mtakatifu nataka tutafakari kwa umakini kauli moja ambayo Bwana Yesu alisema kuhusu ujio wake wa mara ya pili. Bwana ..
USIWEKE TUMAINI LAKO HAPA DUNIANI. Yeremia 45: 5 “Je! Unajitafutia mambo makuu? Usiyatafute; kwa maana tazama, nitaleta mabaya juu ya wote wenye mwili, asema BWANA; lakini roho yako nitakupa wewe iwe nyara, katika mahali pote utakapokwenda” Shalom: Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Mtume Paulo kwa ufunuo wa Roho ..
Ufunuo 14:13 [13]Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; KWA KUWA MATENDO YAO YAFUATANA NAO. Nakusalimu katika jina tukufu la Bwana Yesu Kristo Mwokozi wa ulimwengu. Hivi umewahi kujiuliza mtu akifa Nini kitamtokea huko aendako? Kama hukuwahi kulijua hilo, ..
Jina la Bwana Yesu Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana libarikiwe daima. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Siku ya leo kwa Neema za Mungu tutazidi kuongeza maarifa ya Neno la Mungu tusije tukachukuliwa na udanganyifu wa yule mwovu katika siku hizi za mwisho ambayo udanganyifu umekuwa mwingi sana. Ukisoma kile kitabu cha ufunuo sura ..

SWALI: Nini maana ya mstari huu “NA MTU MMOJA AJENGAPO UKUTA, TAZAMA, WAUPAKA CHOKAA ISIYOKOROGWA VEMA” (Ezeki..

ANACHANGANYA KWA PAMOJA UKWELI NA UONGO, AU ANASEMA UKWELI NA UONGO (KWA LENGO LA ..

Kwenye taifa la Israeli katika torati, iliagizwa kuuawa kwa nabii yo yote yule atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina la Bwana, yaani nabii atakayenena neno kwa mawazo yake, mtazamo wake na hisia zake, harafu akasema ..

Sehemu ya kumi (10).
KANISA HALISI LA MU..

Hii ni Sehemu ya tisa (09) ya makala yet..