
SWALI: Nini maana ya mstari huu “NA MTU MMOJA AJENGAPO UKUTA, TAZAMA, WAUPAKA CHOKAA ISIYOKOROGWA VEMA” (Ezeki..
SWALI: Nini maana ya mstari huu “NA MTU MMOJA AJENGAPO UKUTA, TAZAMA, WAUPAKA CHOKAA ISIYOKOROGWA VEMA” (Ezeki..
ANACHANGANYA KWA PAMOJA UKWELI NA UONGO, AU ANASEMA UKWELI NA UONGO (KWA LENGO LA ..
Kwenye taifa la Israeli katika torati, iliagizwa kuuawa kwa nabii yo yote yule atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina la Bwana, yaani nabii atakayenena neno kwa mawazo yake, mtazamo wake na hisia zake, harafu akasema ..
Sehemu ya kumi (10).
KANISA HALISI LA MU..
Hii ni Sehemu ya tisa (09) ya makala yet..
Jina kuu la Bwana Wetu na Mungu Wetu Yesu Kristo litukuzwe, nakukaribisha tena kwa mara nyingine katika mfululizo wa makala hii fupi inayoangazia makanisa na mafundisho ya uongo yanayopotosha watu wengi nyakati hizi za mwisho, tulishayatazama baadhi ya hayo makanisa na mafundisho yao p..
Lipo jambo la kujifunza katika habari ile tunayoisoma ya watu wa tohara walioleta mafundisho MENGINE KABISA KATIKA INJILI YA KRISTO juu ya watu wa mataifa kutahiriwa, na jambo lenyewe ninalotaka tujifunze ni jinsi gani mitume walivyoweza kulihakiki na kuthibitisha ukweli na uongo wa ja..
Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele. Leo kwa neema za Mungu tutamtazama na kujitajifunza kwa mfalme mmoja wa Israeli (mtumishi wa Mungu), aliyefahamika kama Yeroboamu Mwana wa Nebati, kwa sababu biblia inasema, mambo hayo ya agano la kale yaliandikwa kwa mifano ili kutuonya sisi wat..
Huu ni mwendelezo wa makala inayoangizia makanisa na mafundisho ya uongo yanayopotosha watu wengi nyakati hizi za mwisho, kama ulipitwa na sehemu za nyuma za makala hii unaweza tutu..
Karibu tena kwa mara nyingine katika mfululizo wa makala hii fupi inayoangazia makanisa na mafundisho ya uongo yanayopotosha watu wengi nyakati hizi za mwisho, tulishayatazama baadhi ya hayo makanisa na mafundisho yao potofu huko nyuma katika sehemu zilizopita, hivyo, ukiona mahali ulipo katika kanisa lako ni moja wapo ya hayo, huna budi kuchukua hatua ya kutotoka katika kanisa hilo la uongo na kuachana na mafundisho yao, kwani biblia ..