Category : Siku za Mwisho

  Ufunuo 14:13 [13]Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; KWA KUWA MATENDO YAO YAFUATANA NAO. Nakusalimu katika jina tukufu la Bwana Yesu Kristo Mwokozi wa ulimwengu. Hivi umewahi kujiuliza mtu akifa Nini kitamtokea huko aendako? Kama hukuwahi kulijua hilo, ..

Read more

Jina la Bwana Yesu Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana libarikiwe daima. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Siku ya leo kwa Neema za Mungu tutazidi kuongeza maarifa ya Neno la Mungu tusije tukachukuliwa na udanganyifu wa yule mwovu katika siku hizi za mwisho ambayo udanganyifu umekuwa mwingi sana. Ukisoma kile kitabu cha ufunuo sura ..

Read more

Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele. Leo kwa neema za Mungu tutamtazama na kujitajifunza kwa mfalme mmoja wa Israeli (mtumishi wa Mungu), aliyefahamika kama Yeroboamu Mwana wa Nebati, kwa sababu biblia inasema, mambo hayo ya agano la kale yaliandikwa kwa mifano ili kutuonya sisi wat..

Read more