Category : Siku za Mwisho

Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele. Leo kwa neema za Mungu tutamtazama na kujitajifunza kwa mfalme mmoja wa Israeli (mtumishi wa Mungu), aliyefahamika kama Yeroboamu Mwana wa Nebati, kwa sababu biblia inasema, mambo hayo ya agano la kale yaliandikwa kwa mifano ili kutuonya sisi wat..

Read more

Karibu tena kwa mara nyingine katika mfululizo wa makala hii fupi inayoangazia makanisa na mafundisho ya uongo yanayopotosha watu wengi nyakati hizi za mwisho, tulishayatazama baadhi ya hayo makanisa na mafundisho yao potofu huko nyuma katika sehemu zilizopita, hivyo, ukiona mahali ulipo katika kanisa lako ni moja wapo ya hayo, huna budi kuchukua hatua ya kutotoka katika kanisa hilo la uongo na kuachana na mafundisho yao, kwani biblia ..

Read more