ISRAELI NI SAA YA MUNGU Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe sana, karibu tuyatafakari maandiko, ili tuone jinsi mwisho ulivyokaribu sana kuliko wengi tunavyodhania. Maandiko yanasema hakuna mtu aijuaye Siku na saa ya kurudi kwa Bwana, hata malaika mbinguni hawajui. Lakini leo nataka nikuonyeshe katika maandiko hayo hayo, kuwa kalenda ya Mungu kuhusu siku za ..
Category : Siku za Mwisho
TUPO UKINGONI MWA NYAKATI Shalom ndugu, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe milele. Nakukaribisha tuyatafakari kwa pamoja maneno ya uzima, maadamu rehema zake ni mpya kila siku asubuhi(Maombolezo 3:22-23). Leo tutajifunza tena jinsi ule mwisho wa mambo yote ulivyokaribia sana. Watu wengi wanajua tunaishi katika siku za mwisho.. hata watoto wadogo wanajua, hata wapagani ..
KWANINI KIZAZI HIKI HAKITAPITA !! Kwasababu Bwana mwenyewe alisema.. “Amin, nawaambia, KIZAZI HIKI HAKITAPITA, hata hayo yote yatakapotimia. 35 Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe”. (Mathayo24:34-35) Hichi kizazi alichokizungumzia Bwana hapa sio kile kizazi cha akina Petro… kwasababu kile kilishapita miaka 2000 iliyopita. Hivyo kizazi alichokuwa anazungumzia hapa ni kile kilichoshuhudia mtini ..
TAFUTA VAZI LA ARUSI UNYAKUO UPO KARIBU! Awali ya yote tukumbuke kuwa lengo la kunyakuliwa sisi ni ili kwenda kula karamu ya arusi ya mwanakondoo mbinguni, aliyoiandaa Yesu Kristo kwa ajili yetu, kama alivyosema katika Yohana 14:1-4 na Ufunuo 19:9. Hivyo kama tunavyojua hakuna sherehe yoyote isiyokuwa na mwaliko. Hakuna mtu anayejikuta tu kwenye arusi ..
LAKINI USIKU WA MANANE PAKAWA NA KELELE. Kama wewe ni mfuatiliaji wa unabii wa biblia na mwenye kujua nyakati na majira tunazoishi…basi bila shaka unajua kuwa kuja kwa Bwana wetu YESU KRISTO kumefananishwa na wale wanawali kumi waliokuwa wakingoja kumlaki Bwana wao atakapokuja waende naye arusini, Na tukisoma tunaona ilipofika usiku wa manane wote waliishiwa ..
MALAIKA WANNE WAZUIAO PEPO NNE ZA NCHI Majira yaliyopo mbele yetu, si rafiki kabisa ndugu yangu, bali ni majira ya vita. Fahamu kuwa hii dunia haitaisha katika amani..Vipo vita vikubwa na vibaya vinavyokuja mbele yetu… Hilo haliepukiki kwasababu biblia ilishatabiri. Leo hii tunasikia tetesi za vita katika mataifa makubwa, kila taifa linataka kuonyesha ubabe kwa ..
UNABII ULIO MBIONI KUTIMIA HIVI KARIBUNI!! Ezekieli 38:14 “Basi, mwanadamu, tabiri, umwambie Gogu, Bwana MUNGU asema hivi; Katika siku ile watu wangu, Israeli, watakapokaa salama, hutapata habari? [15]Nawe utakuja kutoka mahali pako, kutoka pande za mwisho za kaskazini, wewe, na watu wa kabila nyingi pamoja nawe, wote wamepanda farasi, kusanyiko kubwa, na jeshi kuu; [16]nawe ..
JE UTAJISIKIAJE SIKU ILE? Shalom.Jina la Bwana wetu Yesu Krito libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia..Je unajua kuwa kuna siku Kristo atakuja kuwachukua wateule wake? Na kwenda nao mbinguni?..Je unajua watakaokwenda mbinguni ni wachache sana?…Biblia inasema njia ile imesonga na mlango ni mwembamba?.. Mathayo 7:14 “ Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ..
NAYE MWENYE MOYO MKUU MIONGONI MWA MASHUJAA ATAKIMBIA UCHI SIKU ILE. Amosi 2:13 “Tazameni, nitawalemea ninyi, Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda. [14]Naye apigaye mbio atapotewa na kimbilio; Wala aliye hodari hataongeza nguvu zake; Wala shujaa hatajiokoa nafsi yake; [15]Wala apindaye upinde hatasimama; Wala aliye mwepesi wa miguu hataokoka; Wala apandaye farasi hatajiokoa nafsi yake; [16]Naye mwenye ..
SIKU ILE NI SIKU YA FUJO Ezekieli 7:5 “Bwana MUNGU asema hivi; Ni jambo baya, jambo baya la namna ya peke yake; angalia, linakuja. [6]Mwisho umekuja, mwisho huu umekuja; unaamka ukupate; angalia, unakuja. [7]Ajali yako imekujia, wewe ukaaye katika nchi hii; majira yamewadia, siku ile inakaribia; SIKU YA FUJO, wala si ya shangwe milimani. [12]Majira ..