Ni kweli kabisa kuwa, Bwana Yesu alibatizwa na Yohana mbatizaji mto Yordani, lakini maandiko yanasema kuwa, ndani ya Bwana Yesu hakukuwa na hila na wala dhambi haimo ndani yake ( 1 Yohana 3:5 ) na mpaka kuna wakati aliuliza swali kwa uwazi kwa watu kuwa, kama kunamtu anamshuhudia kuwa yeye ana dhambi..
Archives : April-2022
![](https://rejeabiblia.com/wp-content/uploads/2022/04/92D33EDD-D9A9-486B-ACBA-779C82B3CC1F.jpeg)
Moja ya jambo muhimu sana kwa mkristo yoyote yule, ambalo Bwana Yesu alisisitiza ni kuwa WAOMBAJI, na faida ya kuwa waombaji Bwana Yesu aliitaja kuwa, tukiwa waombaji kamwe hatutoingia m..
![](https://rejeabiblia.com/wp-content/uploads/2022/04/E7D93D1E-B9BF-4219-8417-8D2013FA5628.jpeg)
Malaki 1:6 Mwana humheshimu baba yake, na mtumishi humcha bwana wake; basi, KAMA MIMI NI BABA YENU, HESHIMA YANGU IKO WAPI? Na kama mimi ni bwana wenu, kicho changu ki wapi?..
![](https://rejeabiblia.com/wp-content/uploads/2022/04/C3FD55A7-47E1-4297-B7DB-21DCEE9D7F4F.jpeg)
Ukisoma maandiko utagundua tabia moja ambayo mtume paulo alikuwa nayo kabla ya kumwamini Bwana Yesu na pia hata baada ya kumwamini Bwana Yesu. Na tabia hiyo si nyingine zaidi ya kuwa mtu wa BIDII SANA katika mambo yake, hasa kwa yale aliyoyaamini kuwa ni kwaajiri..