Archives : May-2026

KWANINI KIZAZI HIKI HAKITAPITA !! Kwasababu Bwana mwenyewe alisema.. “Amin, nawaambia, KIZAZI HIKI HAKITAPITA, hata hayo yote yatakapotimia. 35 Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe”. (Mathayo24:34-35) Hichi kizazi alichokizungumzia Bwana hapa sio kile kizazi cha akina Petro… kwasababu kile kilishapita miaka 2000 iliyopita. Hivyo kizazi alichokuwa anazungumzia hapa ni kile kilichoshuhudia mtini ..

Read more