Archives : July-2026

FAHAMU MADHAIFU ANAYOYATAMBUA MUNGU KWETU. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Mambo mengi yanayoendelea katika ulimwengu wa mwili ni ufunuo wa mambo yanayoendelea katika ulimwengu wa roho..Uhusiano wa Baba na mtoto..ni ufunuo wa Uhusiano wa Baba yetu wa mbinguni na sisi watoto wake tuliopo hapa duniani…Kama Baba mzazi asivyoweza kumdharau mwanawe hata kama afanye jambo ..

Read more