Category : Biblia kwa kina

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu Yesu Kristo. Luka 12:50“Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe! “ Umewahi kulitafakari jambo hili kwa undani zaidi kuhusu ubatizo aliobatizwa Yesu Kristo pamoja kikombe alichokinywea Yesu Kristo? Wengi wetu huwa tunaishia tu pale ..

Read more

Mungu alimpa maagizo Musa atengeneze nyoka wa Shaba, ili kila mtu alieumwa na wale nyoka wa moto akimtazama huyo nyoka apone. Kama maandiko yanavyosena… Lakini Mungu hakuwahi kusema kwamba Wana wa Israeli kuwa muda au mazingira yeyote yale watakapo patwa na magumu au shida basi ndo wamsimamishe nyoka wa shaba wamtazame ili wapone, hakuwahi kusema ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo. Iko hatari kubwa sana katika nyakati hizi za Mwisho na kama tusipokuwa makini tutajikuta tunafanya kazi ya kuchosha. Na kwasababu ya upofu tukaona ni kawaida tu. Wakristo wengi sana wanavitwaa viungo vya Kristo na kuvifanya kuwa vya kahaba(kuviungamanisha ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tujifunze maneno ya uzima?. Umewahi kujiuliza hili jambo na kutafakari, kauli hii aliyoizungumza Bwana Yesu? huenda huwa tunaiosoma tu mara kwa mara pasipo kuitafakari kwa kina…Leo tutakwenda kutazama kwa undani ni kwa namna gani watendakazi ni wachache. Mathayo 9:36-38” Na alipowaona makutano, aliwahurumia, kwa sababu walikuwa ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe,  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima. Kuna jambo kubwa sana ambalo Mungu alikuwa akiwafundisha wana wa Israeli nyuma ya hili andiko,Na kwa neema za Bwana tutakwenda kuona na sisi kujifunza pia. kumbukumbu 22:6-7 6“Kiota cha ndege kikitukia kuwa mbele yako njiani, katika mti wo wote, au ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo alie Bwana na mwokozi wetu. Karibu tuyatafakari maneno ya mwokozi wetu. Wakristo wengi tunapenda kusikia Mungu akituahidia ahadi mbali mbali katika maisha yetu, na tunatamani tupokee tu bila kutaka kujiandaa ama kukubaliana na matengenezo/gharama za ahadi hiyo. Kama vile mzazi anavyomuahidia mtoto wake kumfungulia biashara Fulani. Kwa ..

Read more

Shalom mwana wa Mungu nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Tofauti na watu wengi tunavyomfikiria shetani kwamba huenda huwa anakurupuka tu anapotaka kumuangusha mwamini katika dhambi na kumrudisha nyumba huwa tunadhani kuwa ni kitendo cha ghafula tu hafanyi maandalizi yoyote anakurupuka tu na kufanya anachotaka lakini ndugu si ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe ndugu katika Kristo Yesu karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kama mwamini uliyemuamini Yesu Kristo kweli kweli na kusimama thabiti katika imani kwa muda mrefu na Kristo ziko dalili ambazo ukiziona hizo ndani yako jua kabisa kama usipokuwa makini na kutaka kupiga hatua mbele jua kabisa unakwenda kuanguka tena anguko kubwa sana. Tutakwenda ..

Read more

Shalom!, mwana wa Mungu nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tujifunze na kuyatafakari maneno ya uzima. Swali hili limekuwa likiulizwa mara nyingi sana na wakati mwingine ni kama vile linakosa majibu.Ni swali ambalo lina watu wanaokubali ndio Adamu na Hawa walikuwa na uzima wa milele. Lakini kuna kundi lingine linalokataa kuwa Adamu ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Melkizedeki kama tunavyosoma katika maandiko si mwingine bali ni Kristo Yesu yaani Mungu!, kwa namna gani? Tutakwenda kutazama kwa undani zaidi ili kulidhibitisha jambo hili. Maandiko yanatuambia…. 1 Timotheo 3:16Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika ..

Read more