Category : Biblia kwa kina

KAMA MIMI NIISHIVYO ASEMA BWANA.Karibu tuyatafakari maandiko matakatifu. Kwa wale wasomaji wa biblia, mara nyingi sana tumekutana na maneno kama haya “Kama mimi niishivyo, Asema Bwana.” Au mahali pengine imeandikwa “Kama Bwana aishivyo”. Nini maana ya maneno haya? ‘‘Kama mimi niishivyo, ASEMA BWANA” Neno hili mara kadhaa limeonekana wakati BWANA akitoa hukumu Fulani kwa mtu ..

Read more

JE NI ALAMA GANI UMETIWA? Shalom. Karibu tujifunze biblia. Ezekieli 9:3-4 Na huo utukufu wa Bwana wa Israeli ulikuwa umepanda juu kutoka kwa kerubi, ambaye ulikuwa juu yake, mpaka kizingiti cha nyumba; akamwita mtu yule aliyekuwa amevaa bafta, mwenye kidau cha wino cha mwandishi kiunoni. [4]BWANA akamwambia, Pita kati ya mji, kati ya Yerusalemu, UKATIE ..

Read more

ALAMA KWA WATEULE WA MUNGU KABLA YA MAANGAMIZI. Jina kuu la BWANA YESU mkuu wa uzima libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Kabla maangamizi hayajaja Mungu huwa anawatenga waovu na wema katikati ya watu wake kwa kuwatia ALAMA. Katika biblia tunasoma, kuna wakati ulifika maovu yalizidi sana katika nyumba ya Israeli ndipo Mungu akamuonyesha Ezekieli maono ya ..

Read more

YULE TAJIRI NAYE AKAFA, AKAZIKWA. Luka 16:22 “Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. YULE TAJIRI NAYE AKAFA, AKAZIKWA”. Nilikuwa natafakari kwanini biblia imetumia hayo maneno “AKAFA, AKAZIKWA“, tofauti na yule maskini ambaye alipokufa “AKACHUKULIWA NA MALAIKA.” Ndugu, fahamu kuwa ukifa na dhambi usifikiri kuwa malaika watakatifu watakuchukua kwa furaha…ukifa unazikwa ..

Read more

KUTOA KAMA SEHEMU YA UTUMISHI. Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maandiko. Sisi kama wakristo, ili tuweze kukua kutoka utukufu hadi utukufu, na imani hadi imani, hatuna budi kuyatafakari maneno ya Mungu sana kwa kadiri tuwezavyo. Leo tutajifunza umuhimu wa kumtumikia Mungu kwa njia ya matoleo. Watu wengi wamekariri ..

Read more

ISOME BIBLIA YAKO KATIKA UFAHAMU HUU SEHEMU YA 01 Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakri maneno ya uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo. Neno la Mungu sio hadithi au story Fulani ambayo inatuelezea nini kilitokea katika historia nk Neno la Mungu ni zaidi ya hivyo… Neno la Mungu ni  hai ni ..

Read more

WAKATI WA BWANA KATIKA MAISHA YAKO. Shalom mtumishi wa Bwana karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Wakati wa Bwana ndio uliobeba maswali ya majibu yako,ndio uliobeba kustawi kwako katika maeneo yote unayotamani kustawi katika maisha yako ikiwa ni mambo ya kimaisha nk. ile picha unayoiona katika ufahamu wako namna unavyojiona ndani ..

Read more

TUPENI MAFUTA YENU KIDOGO, MAANA TAA ZETU ZINAZIMIKA. Jina kuu lipitalo majina yote mbinguni na duniani, jina la YESU KRISTO WA NAZARETHI litukuzwe daima. Karibu tujifunze habari njema, Neno la Mungu lililo taa na mwanga wa njia zetu. Leo kwa msaada wa Roho Mtakatifu tutajifunza uhalisia wa mambo yalivyo miongoni mwa wakristo wa leo, Bwana ..

Read more

AKAWAULIZA, BASI MLIBATIZWA KWA UBATIZO GANI? Matendo ya Mitume 19:1-5 “Ikawa, Apolo alipokuwa Korintho, Paulo, akiisha kupita kati ya nchi za juu, akafika Efeso; akakutana na wanafunzi kadha wa kadha huko; [2]akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini? WAKAMJIBU, LA, HATA KUSIKIA KWAMBA KUNA ROHO MTAKATIFU HATUKUSIKIA. [3] AKAWAULIZA, BASI MLIBATIZWA KWA UBATIZO GANI? Wakasema, Kwa ..

Read more

NI INJILI GANI UNAZOZIPENDA KUZISIKILIZA? Siku hizi za mwisho kuna injili nyingi sana, kuna injili ya kweli lakini pia ipo injili ya uongo. Injili ya kweli ni ile inayopeleka mtu uzimani na ile nyingine inawafanya watu waupende huu ulimwengu ambao unaenda kuisha hivi karibuni. Na cha kuhuzunisha, watu wengi wanaikimbilia injili hizi za uongo zisizo ..

Read more