Category : Biblia kwa kina

NJIA PANA NA NJIA NYEMBAMBA  Nitatambuaje ile njia pana na njia nyembamba? Bwana Yesu alisema… “Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, NA NJIA NI PANA iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Bali mlango ni mwembamba, NA NJIA IMESONGA iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.” (Mathayo7:13-14) Sasa tutajuaje hii ..

Read more

MAANA SIJUI NIFANYALO!! Warumi 7:14-25 “Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi. [15]Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.” Je umewahi kufanya jambo au hata sasa unafanya na hulipendi lakini ni kama unatumikishwa hivi. Kwa ..

Read more

UNAJALI KUHUSU KAZI YA BWANA Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Kama watu tuliomwamini Yesu Kristo lazima tuwe ni watu wa kutafakari kila siku katika maisha yetu ni kipi tulichokifanya katika kazi ya Mungu? Je tunajali kazi ya Mungu? Tunaitazama kazi ya Mungu ..

Read more

SHUKA KILINDILINI UKITAKA KUMSIKIA MUNGU  Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tutafakari pamoja Neno la Mungu. Je umekuwa ukitafuta kusikia sauti ya Mungu na hausikii, basi leo kupitia somo hili utaenda kujua ni kwanini hauisikii sauti ya Mungu ingawa Mungu anasema kila siku. Isaya 50:2 “Basi, nilipokuja, mbona hapakuwa na mtu? Nilipoita, ..

Read more

ZITAFAKARINI NJIA ZENU Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Kwanza kabla hatujaendelea mbele, ni vizuri kufahamu kuwa si kila tatizo linasababibishwa na ibilisi kama wengi wanavyomsingizia shetani, ni kweli shetani anahusika kwa kiasi kikubwa kusababisha matatizo kwa watu, lakini pia yapo matatizo mengine tunajisabibishia sisi wenyewe. Kwamfano tusome maandiko yafuatayo tuelewe.. Kumbukumbu ..

Read more

KUTOKUJUA DHAMBI HAKIKUFANYI USIPOKEE MSHAHARA WAKE!! Ndugu yangu fahamu kuwa ukitenda dhambi kwa kutokujua kuwa umetenda dhambi au ukitenda dhambi kwa kujua…zote mbili zinaleta matokeo yanayofanana…na matokeo yenyewe ni mauti…kwasababu biblia inasema mshahara wa dhambi ni mauti. Ni sawa na mtu aliyepanda mbegu yake shambani na mwingine aliiangusha pasipo kujua mtaroni na kuendelea na shughuli ..

Read more

ZAMANI ZILE ZA UJINGA MUNGU ALIJIFANYA KAMA HAZIONI  Matendo ya Mitume 17:30 “Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu. [31]Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu”. Zamani ..

Read more

FIKIRI KAMA JINSI MUNGU ANAVYOFIKIRI Shalom nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Kufikiri kama anavyofikiri Mungu ndio kunakompa uhalisia mtu kumuelewa Mungu na kutembea katika ushindi. Wakristo wengi tunafikiri kwa namna tofauti kabisa Mungu anavyofikiri ama anavyoona ndio maana tunajikuta tunapitia maisha magumu kuanzia rohoni ..

Read more