
Katika vitu ambavyo watu wengi wameshindwa kuelewa ni hapa, kujua wakati na majira sahihi katika maisha yao juu ya Mungu, na hapa ndipo shetani amewekeza nguvu kubwa sana ili awana..
Katika vitu ambavyo watu wengi wameshindwa kuelewa ni hapa, kujua wakati na majira sahihi katika maisha yao juu ya Mungu, na hapa ndipo shetani amewekeza nguvu kubwa sana ili awana..
Kama Wewe ni Mwanafunzi na mfuasi wa Yesu Kristo (uliyetubu dhambi zako na kuamua kumfuata na kumuamini Yesu Kristo sawasawa na maandiko kama Yeye mwenyewe alivyosema), basi, huna budi kujifunza na kuwa na tab..
Ipo laana ya Roho Mtakatifu inayoendelea miongoni mwa wahubiri wa injili pasipo hata wao wenyewe kutambua, na laana hii ya Roho Mtakatifu inaanza tu pale ambapo muhubiri anapohubiri injili nyingine yo yote iliyo kinyume na ile iliyohubiriwa na mitume n..
Umeshawahi kujiuliza ni kwanini kanisa la sasa la Kristo halina Utukufu kama ule uliokuwapo katika kanisa la mwanzo? Hakuna tena imani kama ile iliyokuwapo mwanzo (bali ni unafiki na kuigiza), hakuna tena nguvu ya Mungu katika kanisa kama iliyokuwapo mwanzo, hakuna tena ushukiwaji wa Roho Mtakatifu kwa watu katika kanisa k..
Ipo tabia nyingine ya Mungu tunayopaswa kuifahamu ambayo ni fundisho tosha kwetu sisi pindi tunaposoma wito wa Ezekieli kuhani, au nabii Ezekieli katika maandiko m..
Je! Utatoa hesabu ya nini katika siku ile? Utatoa hesabu ya nini katika siku ile utakayosimama mbele ya Muumba Wako? Utatoa hesabu ya nini katika ile siku ya hukumu? Kwa sababu, sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu, kama maandiko matakatifu y..
Mfalme Yosia katika wakati wa kutawala kwake, aliagiza ukarabati wa nyumba ya Bwana, kwa kuwatuma Shafani mwana wa Azalia, Maaseya Akida wa mji, na Yoa mwana wa Yoahazi, kwenda kwa Hilkia kuhani kwa lengo la kuihesabu fedha inayoletwa nyumbani mwa Bwana ili wapate kukarabati nyumba ..
Kuna madhara makubwa mno pale ambapo mtu anapolisikia neno la kweli la Mungu, na kisha kulipuuzia kwa makusudi kabisa kwa kutokuwaza moyoni mwake na kuona ni namna gani afanye ili aweza kulitii neno hil..
Hii ni tabia ya Yehoyakimu aliyekuwa mfalme wa Yuda ambayo inaendelea sasa katika nyakati hizi za mwisho, tabia ambayo wewe ndugu mpendwa unayesoma ujumbe huu hup..
ipo tabia moja ya Nuhu ambayo unapaswa kuwa nayo sasa hivi katika nyakati hizi za uovu ili upate kuwa salama na ghadhabu ya Mungu inayokuja kwa sababu,..