Category : Biblia kwa kina

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kama watu tuliozaliwa mara ya pili ni wazi kuwa kuna mambo mengi tumewahi kuyafanya au kufanyiwa kabla hatujampokea Yesu Kristo. Mengine huenda yaliyawahi kutokea tukiwa katika wokovu kwa kuanguka katika dhambi fulani na nk. Sasa maandiko yanatusisitiza kama wana wa Mungu tusiyakumbuke ..

Read more

Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Liko jambo kubwa sana kujifunza kutoka kwa mmoja wa wanafunzi wa Yesu Kristo. Tomaso hakuwa na tabia ya wizi,au usaliti Kama ilivyokuwa kwa Yuda Iskariote lakini iko tabia ambayo alikuwa nayo tofauti kidogo na wenzake. Lakini pia Tomaso alikuwa lazi hata kufa pamoja na Bwana Yesu ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Ziko ibada kuu tatu ambazo watu wengi sana katika nyakati hizi za Mwisho watu wanaziabudu pasipo hata kufahamu. Maana ibilisi amewafumba macho wasiweze kutambua. Tutazianisha hapa na kuzitazama kwa undani zaidi kwa neema za Bwana. SANAMU ZILIZOCHONGWA KWA MFANO WA MTU. 2.SANAMU-WATU. 3.SANAMU-VITU. Aina kuu hizi tatu ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kama wanadamu tunaoishi rohoni na mwilini pia ni wazi kuna mambo mengi sana yanatokea ya kutukatisha tamaa na kuona kana kwamba wakati mwingine Mungu yupo mbali na si au ametuacha lakini je ni kweli?, jibu ni la si hivyo Mungu siku zote ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima. “Majaribu ni mtaji..,” kwetu sisi Wakristo majaribu ni mtaji yanayotuongezea daraja kubwa sana pale tunapofanikiwa kuyashinda.. Na bahati mbaya au nzuri siku zote unapokuwa katika jaribu ni ngumu sana kujua kama uko kwenye majaribu.  Na hata unapofahamu upo katika majaribu ni vigumu ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe ndugu katika Kristo Yesu.  Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu.  Pale tunapookoka na kumpokea Roho Mtakatifu ndani yetu.  Sasa Roho Mtakatifu ndani yetu anafanya kazi nyingi zaidi ndani yetu na tunaposoma maandiko yanasema ni MSAIDIZI. Maaana yake anatusaidia pale tusipoweza anasimama nafasi hiyo katika kutukamilisha. Kabla ya kwenda katika kiini ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.  Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kama watu tuliomwamini Yesu Kristo ni lazima kuwa makini na aina za marafiki tulionao. Kabla ya kuenda katika kiini cha somo letu ni vyema tufahamu rafiki ni nani? Rafiki ni mtu wa karibu unayemwamini kwenye maisha yako ya kila siku. Anakuwa anafahamu ..

Read more

Waebrania 10:25“wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.” Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.  Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Umewahi kujiuliza vyema na kutafakari kwa kina swali hili..” kwa nini ninakwenda kanisani kila siku jumapili, Jumatano, ijumaa nk” ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kuna funzo kubwa sana Mungu anatamani tulifahamu katika habari ile ya mwanamke msamaria na Bwana Yesu pale kisimani. Wengi wetu huwa tunaisoma na kuona ni Habari ya kawaida tu lakini sivyo. Swali hili tujiulize/nikuulize “Je inahitaji kipindi fulani kipite katika wokovu ndio ..

Read more