Unafahamu matumizi sahihi ya Damu ya Yesu Kristo? Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe, Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kumekuwa na matumizi yasiyokuwa sahihi kwa Wakristo wengi kuhusu damu ya Yesu Kristo huenda kwa kukosa maarifa ya kutosha kuhusu Damu ya Yesu Kristo. Wakristo wengi wanaitumia damu ya Yesu Kristo katika njia isiyokuwa sahihi ..
Category : Biblia kwa kina
Lipa gharama hizi ukitaka kumjua Mungu.* Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ikiwa umemuamini Yesu Kristo ni lazima kuna gharama lazima uzilipe ili kumuelewa zaidi vinginevyo hutamuelewa kabisa hata kidogo na utaendelea kuwa mtu wa kawaida kabisa siku baada ya siku na mpaka unakufa. Watu wengi wanatamani kumjua ..
Fahamu mamlaka uliyonayo baada ya kuzaliwa mara ya pili. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe.. karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Pindi tunapozaliwa mara ya pili tunakuwa ni watu wa tofauti kabisa na kipindi tukiwa bado hatujazaliwa mara ya pili. Tunapozaliwa mara ya pili tunapokea nguvu/mamlaka ndani yetu ambayo hapo kabla hatukuwa nayo kama maandiko ..
Je! Baada ya kuokoka kuna kuomba maombi ya kujikomboa kwenye laana na vifungo?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima! Je! Ni kweli baada ya mtu kumwamini Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wake na kusamehewa dhambi zake mtu huyo anakuwa bado kuna laana za ukoo na familia ..
Je! Utoaji wako unamgusa Mungu?. SEHEMU YA TANO(05)… Sehemu ya mwisho. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe karibu katika sehemu ya mwisho wa somo letu hili. Katika kanuni namba nne tulijifunza juu ya kanuni ya kujidhabihu. Na leo katika sehemu ya mwisho tutajifunza kanuni muhimu sana. #5 kanuni ya kubarikiwa. Siku zote “Matokeo ya ..
Amini anakukamilish. Bwana Yesu hakuja ulimwenguni kufa kwa ajiri ya kutondolea dhambi tu kisha kutuacha. Kusudi kuu la Yesu Kristo kweli ni kutuondolea dhambi(kutuweka huru) lakini haiishii hapo tu bali yeye anatukamilisha na kazi ya kutukamilisha ni ya kwake yeye wala sio sisi.. Hatujikamilishi sisi wenyewe bali yeye ndio anatuwezesha. Labda utajiuliza kukamilishwa kwa namna ..
SEHEMU YA NNE(04). Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele na milele karibu katika mwendelezo wa somo hili. Ikiwa hukupata sehemu ya kwanza na ya pili na ya tatu, basi wasiliana nasi kwa ajiri ya kupata sehemu zilizopita. NB: unapomaliza kusoma omba. Leo tutakwenda kutazama kanuni ya nne (04). 4.kanuni ya kujidhabihu. Kama tunavyofahamu ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima.. Mungu anatamani sana kutembea na sisi na kujifunua zaidi kwetu, na anataka wakati mwingi sana tuhisi uwepo wake katika maisha yetu.. Lakini kuna mambo baadhi ambayo yanaweza kuwa kikwazo kwa sisi kushindwa kutembea na Mungu vizuri. Sasa ni muhimu sana kuyafahamu mambo ..
Unataka kumuelewa zaidi Mungu?. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima! Kumuelewa Mungu katika viwango vingine ni jambo rahisi sana. Na wala Mungu hajaweka ugumu fulani katika kumuelewa yeye! Mungu ameamua kujiweka katika njia rahisi sana kueleweka kiasi kwamba mtu yeyote mwenye nia ya kutaka kumuelewa Mungu basi ni lazima ..
Je! Utoaji wako unamgusa Mungu? SEHEMU YA 03. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu katika mwendelezo wa somo hili sehemu ya tatu ikiwa hukupata sehemu ya kwanza na yapili unaweza wasiliana nasi ili kupata masomo hayo. Katika sehemu ya pili tunaona kanuni ya pili ambayo ni upendo “hatutoi kwa sababu tunavyovingi vya ..