Category : Biblia kwa kina

YONA NDANI YA MERIKEBU Yona 1:5 “Basi wale mabaharia wakaogopa, kila mtu akamwomba mungu wake; nao wakatupa baharini shehena iliyokuwa merikebuni, ili kuupunguza uzito wake. LAKINI YONA ALIKUWA AMESHUKA HATA PANDE ZA NDANI ZA MERIKEBU; AKAJILAZA, AKAPATA USINGIZI”. Yona alikuwa mmoja wa manabii wa Israeli wakati wa utawala wa Yeroboamu Mfalme wa Israeli, ambaye Mungu ..

Read more

MTU AKINITUMIKIA NA ANIFUATE Yohana 12:26 “Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu”. Nakusalimu katika jina kuu lipitalo majina yote mbinguni na duniani, jina la YESU KRISTO WA NAZARETHI. Karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Watu wengi wanataka kumtumikia Bwana Yesu, lakini hawataki kumfuata. Wanataka wamtumikie ..

Read more

  “ AKAMWAMBIA, ANGALIA, UMEKUWA MZIMA; USITENDE DHAMBI TENA, LISIJE LIKAKUPATA JAMBO LILILO BAYA ZAIDI . Shalom nakusalimu katika jina la Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Kwa nini Bwana Yesu sehemu nyingi alizokuwa akiwaponya watu alikuwa akiwaambia wasitende dhambi tena? Na kama wakitenda basi kuna jambo baya zaidi ..

Read more

FAHAMU MADHAIFU ANAYOYATAMBUA MUNGU KWETU. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Mambo mengi yanayoendelea katika ulimwengu wa mwili ni ufunuo wa mambo yanayoendelea katika ulimwengu wa roho..Uhusiano wa Baba na mtoto..ni ufunuo wa Uhusiano wa Baba yetu wa mbinguni na sisi watoto wake tuliopo hapa duniani…Kama Baba mzazi asivyoweza kumdharau mwanawe hata kama afanye jambo ..

Read more

HUKUMU IKAWEKWA NA VITABU VIKAFUNGULIWA. Danieli 7:9 “Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao. [10]Mto kama wa moto ukatoka ukapita mbele zake; ..

Read more

KUBALI KUIPOTEZA NAFSI YAKO ILI UIPATE Shalom. Karibu tujifunze hekima ya kiMungu, Neno lake lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu (Zaburi 119:105). Ukichunguza kwa umakini zaidi jinsi mambo yalivyo, utagundua kuwa hekima ya dunia inavyoenenda ni tofauti kabisa na wakristo wanavyopaswa kuenenda. Ndio maana Bwana Yesu alituambia maneno haya ambayo tunayasoma ..

Read more

TABIA YA ROHO MTAKATIFU KWA MWAMINI MPYA. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lisifiwe daima, Ni siku nyingine tena Bwana aliyotupa kwa neema zake na leo tutaangalia tabia za Roho Mtakatifu katika kumtakasa mwamini katika hatua za kwanza. Kumbuka mwamini ni mtu aliyemwamini Bwana Yesu na kuamua kumfuata kweli kweli. (Kwa ufupi mtu aliyezaliwa mara ..

Read more

LANGO HILI LITAFUNGWA MUDA WOWOTE!! Ezekieli 44:1-2 Kisha akanirudisha kwa njia ya lango lile la nje, la mahali patakatifu lililoelekea upande wa mashariki; nalo lilikuwa limefungwa. [2]BWANA akaniambia, LANGO HILI LITAFUNGWA, HALITAFUNGULIWA, wala mtu awaye yote hataingia kwa lango hili, kwa maana BWANA, Mungu wa Israeli, ameingia kwa hilo; basi kwa sababu hiyo litafungwa. Kama ..

Read more

  NIMEPEWA MAMLAKA YOTE MBINGUNI NA DUNIANI Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Umewahi kusoma na kutafakari mara mbili mbili kauli hii aliyoisema Bwana Yesu muda mfupi kabla hajapaa kwenda mbinguni. Bwana Yesu aliwatokea wanafunzi wake ambao ndio sisi leo, akawaambia.. “Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, NIMEPEWA MAMLAKA YOTE ..

Read more

KUWA MKRISTO KWELI KWELI. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Kuna kuwa mkristo, lakini pia kuna kuwa mkristo kweli kweli. Bwana Yesu alipomuona Nathanieli alimtambua kuwa ni mwisraeli kweli kweli, maana yake kulikuwa na waisraeli wengi, lakini katikati ya hao waisraeli kuna waisraeli kweli kweli ambao ndio hao wakina Nathanieli. Yohana 1:45 “Filipo akamwona Nathanaeli, ..

Read more