YAKUSANYENI KWANZA MAGUGU MKAYAFUNGE MATITA MATITA MKAYACHOME. Shalom, Bwana Yesu Kristo asifiwe ndugu yangu…karibu tuzidi kuongeza maarifa ya Neno la Mungu kwamaana kila siku tunazidi kukaribia ile siku kuu ya Bwana. Huu ni wakati wa kuwa makini sana juu ya hatma ya maisha yetu ya rohoni, kwasababu tusipokuwa makini katika nyakati hizi na kwa jinsi ..
Category : Biblia kwa kina
NJIA PANA NA NJIA NYEMBAMBA Nitatambuaje ile njia pana na njia nyembamba? Bwana Yesu alisema… “Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, NA NJIA NI PANA iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Bali mlango ni mwembamba, NA NJIA IMESONGA iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.” (Mathayo7:13-14) Sasa tutajuaje hii ..
NAO WAKAO KATIKA NCHI WAMELEVYWA KWA MVINYO YA UASHERATI WAKE. Jina la Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia kitabu cha uzima. Ufunuo wa Yohana 17:1-6 “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi; [2]ambaye wafalme wa nchi ..
MAANA SIJUI NIFANYALO!! Warumi 7:14-25 “Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi. [15]Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.” Je umewahi kufanya jambo au hata sasa unafanya na hulipendi lakini ni kama unatumikishwa hivi. Kwa ..
UNAJALI KUHUSU KAZI YA BWANA Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Kama watu tuliomwamini Yesu Kristo lazima tuwe ni watu wa kutafakari kila siku katika maisha yetu ni kipi tulichokifanya katika kazi ya Mungu? Je tunajali kazi ya Mungu? Tunaitazama kazi ya Mungu ..
SHUKA KILINDILINI UKITAKA KUMSIKIA MUNGU Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tutafakari pamoja Neno la Mungu. Je umekuwa ukitafuta kusikia sauti ya Mungu na hausikii, basi leo kupitia somo hili utaenda kujua ni kwanini hauisikii sauti ya Mungu ingawa Mungu anasema kila siku. Isaya 50:2 “Basi, nilipokuja, mbona hapakuwa na mtu? Nilipoita, ..
ZITAFAKARINI NJIA ZENU Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Kwanza kabla hatujaendelea mbele, ni vizuri kufahamu kuwa si kila tatizo linasababibishwa na ibilisi kama wengi wanavyomsingizia shetani, ni kweli shetani anahusika kwa kiasi kikubwa kusababisha matatizo kwa watu, lakini pia yapo matatizo mengine tunajisabibishia sisi wenyewe. Kwamfano tusome maandiko yafuatayo tuelewe.. Kumbukumbu ..
KUTOKUJUA DHAMBI HAKIKUFANYI USIPOKEE MSHAHARA WAKE!! Ndugu yangu fahamu kuwa ukitenda dhambi kwa kutokujua kuwa umetenda dhambi au ukitenda dhambi kwa kujua…zote mbili zinaleta matokeo yanayofanana…na matokeo yenyewe ni mauti…kwasababu biblia inasema mshahara wa dhambi ni mauti. Ni sawa na mtu aliyepanda mbegu yake shambani na mwingine aliiangusha pasipo kujua mtaroni na kuendelea na shughuli ..
ZAMANI ZILE ZA UJINGA MUNGU ALIJIFANYA KAMA HAZIONI Matendo ya Mitume 17:30 “Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu. [31]Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu”. Zamani ..
FIKIRI KAMA JINSI MUNGU ANAVYOFIKIRI Shalom nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Kufikiri kama anavyofikiri Mungu ndio kunakompa uhalisia mtu kumuelewa Mungu na kutembea katika ushindi. Wakristo wengi tunafikiri kwa namna tofauti kabisa Mungu anavyofikiri ama anavyoona ndio maana tunajikuta tunapitia maisha magumu kuanzia rohoni ..