Category : Biblia kwa kina

ROHO YA YEZEBELI IMEBEBA KIBURI. Tabia nyingine ya hii roho ya Yezebeli ukiacha uzinzi, uchawi na unabii wa uongo, tabia nyingine aliyobeba ni kiburi. Roho ya YEZEBELI ina tabia ya kushindana na Roho ya kweli ya Mungu.. Ndio maana utaona Malkia Yezebeli katika Uzinzi wake, na uchawi wake na unabii wake wa uongo, hakuwahi kamwe ..

Read more

LAKINI BWANA HAKUWAPA MOYO WA KUJUA. Kumbukumbu la Torati 29:1 “Musa akawaita Israeli wote akawaambia, Mmeyaona yote BWANA aliyomfanya Farao katika nchi ya Misri mbele ya macho yenu, yeye na watumwa wake wote, na nchi yake yote; [3]yale majaribu makuu yaliyoyaona macho yako; hizo ishara, na ile miujiza mikuu; [4]lakini BWANA hakuwapa moyo wa kujua, ..

Read more

Unawezaje kufahamu mambo ya Rohoni. nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari katika Makala fupi namna ya kuyafahamu mambo ya Rohoni. Nakuombea neema ya kuelewa katika kila utakachokwenda kujifunza. Wakristo wengi tunatamani sana kuyajua mambo ya rohoni kujua jinsi ulimwengu wa roho unavyofanya kazi nk. Na wakati mwigine tunafikiri ni kazi sana ..

Read more

Kwanini wengi leo wanashindwa na dhambi ya uasherati? Fahamu mambo manne yanayochochea uzinzi/uasherati ndani ya mtu. Kwanza ni vizuri kufahamu kuwa shetani hana amri au mamlaka ya kumlazimisha mtu afanye uasherati na dhambi zingine kwa ulazima, kama ingekuwa hivyo, basi shetani angehukumiwa mwenyewe katika ziwa la moto,…lakini shetani anachokifanya ni kumshawishi tu mtu aingie mkataba ..

Read more

HUYU THEOFILO MTUKUFU NI NANI? Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia neno la Mungu wetu, ambalo ni taa iongozayo miguu yetu na Mwanga wa njia yetu. Leo tutajifunza juu ya mtu mmoja aliyeitwa Theofilo, ambaye biblia haijaeleza habari zake kwa urefu lakini amehusika pakubwa sana katika kuieneza injili. Luka 1:3 “nimeona ..

Read more

JE UMEPOKEA UWEZO WA KUFANYIKA MTOTO WA MUNGU? Nakusalimu katika jina kuu la Bwana Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Biblia inasema katika.. Yohana 1:12 “Bali wote waliompokea aliwapa UWEZO wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ..

Read more

WAMENOA NDIMI ZAO KAMA NYOKA. Jina la Bwana YESU mkuu wa uzima libarikiwe milele. Karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa na mwanga wa njia zetu (Zab.119:105) Moja ya silaha anayoitumia adui kumshambulia Mtu ni “ULIMI WA UOVU”.. Ukiona Maneno ya uongo kuhusu wewe, au ya vitisho au ya uchonganishi yanatembea huku na huko basi ..

Read more

KAMA MAMA YA MTU ALIVYO, NDIVYO ALIVYO BINTI YAKE. “Like mother, like daughter.” Unaelewa maana ya hii sentensi? Biblia inasema katika.. Ezekieli 16:44 “Tazama, kila mtu atumiaye mithali atatumia mithali hii kinyume chako, akisema, KAMA MAMA YA MTU ALIVYO, NDIVYO ALIVYO BINTI YAKE”. Hii ikiwa na maana kuwa tabia za mama ni sawa na tabia ..

Read more