Fahamu siri iliyopo katika Neno la Mungu. Sehemu 01 Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Tunakuwa ni wazito wa kusoma maandiko ni kwa sababu hatujui uweza au nguvu iliyoko katika maandiko/Neno la Mungu. Wengi wetu tunasoma tu kama sehemu ya Ukristo wetu na tunajikuta hakuna kitu kikubwa ..
Archives : April-2025
Watajua ni Neno la Nani Litakalosimama, Neno Langu, au Neno Lao. Yeremia 44: 28 “Nao watakaoukimbia upanga, watatoka katika nchi ya Misri, na kuiingia nchi ya Yuda, watu wachache sana; na wote wa Yuda waliosalia, waliokwenda nchi ya Misri ili kukaa huko, WATAJUA NI NENO LA NANI LITAKALOSIMAMA, NENO LANGU, AU NENO LAO.” Je! U ..
Unataka Mungu akutumie? Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ukweli ni kwamba Mungu anatamani sana kufanya kazi na sisi na sisi pia tunatamani sana kufanya kazi na Mungu na ajidhihirishe kwetu ulimwengu umgeukia kama libido cha baba zetu(Mitume) lakini kuna mambo ambayo yanamzuia Mungu kufanya kazi kikamilifu na sisi. ..
MKUMBUKE MUUMBA WAKO SIKU ZA UJANA WAKO Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa uzima libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Kristo. Neno la Mungu linasema… “Maombolezo 3:27 “Ni vema mwanadamu aichukue nira Wakati wa ujana wake.” Vijana wengi wanadhani kumtafuta Mungu ni mpaka uzeeni, mara nyingi utasikia wakisema mpaka niutumie ujana wangu kwanza vizuri… mambo ..
Usimtafute Yesu kwasababu ya faida zako tu!. Bwana Yesu Kristo asifiwe mwana wa Mungu. Karibu tujifunze maneno ya Mungu.. Watu wengi leo wamechoka kwa kuhangaika huku na huku kwa watumishi wa Mungu wakitafuta suluhisho la matatizo yao pasipo kufanikiwa…Mpaka wengine wamesafiri umbali mrefu wakitafuta kuponywa na kufunguliwa katika vifungo mbali mbali, Ila bado hawaoni matokeo ..
YATAFAKARI MATESO YA BWANA YESU Hii neema ya wokovu ambao unapatikana sasa bure, tusidhani yule aliyetuletea hakuingia gharama yoyote kuupata,…haikuwa ni jambo la kutamka tu na kusema niaminini mimi mtaokoka!. Kristo ilimlazimu aingie gharama ili kukamilisha kitu kinachoitwa WOKOVU. Kwani wokovu ili ipatikane ina kanuni yake, ilimpasa mtu apatikane ambaye atatolewa kama sadaka, ..
Ni nini unachokiona kwa Yesu?. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Je! Yesu Kristo katika maisha yako unamtazama kama nani? Na ni nini unachokiona na kukitaka kwa Yesu Kristo? Wengi wetu tutasema Yesu Kristo tunamtazama kama Mwokozi, tutasema tunachokiona kwake ni ukombozi,tutasema tunachokiona na tunataka atufanyie nini hapa ndio ..
Mtu hataishi kwa Mkate tu,ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu Je! Unaishi kwa kila neno linalotoka katika kimywa cha Mungu? Mathayo 4:4″ Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.”… Na kila neno linalotoka katika kinywa cha Mungu ni lipi? Ikiwa hufahamu ..
Lugha iliyonenwa siku ya pentekoste ilikuwa haieleweki kwa akili za kibinadamu? Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu katika mjadala huu tulitafakari neno la uzima! Swali:”Je ni kweli ile lugha iliyonenwa wakati wa kunena kwa lugha(siku ya pentecoste haikuwa inaeleweka kwa lugha ya kawaida?Mbona katika matendo 2:3-11 watu walielewa kile kilichokuwa kinanenwa na ..
Ni nini tunajifunza kwa Shamgari? Shamgari alikuwa ni shujaa wa Israeli aliyetokea kipindi cha Waamuzi na kuwaokoa Israeli mikononi mwa Wafilisti kwa kuwapiga watu mia sita (600) kwa mkono wake mwenyewe akitumia tu fimbo ya kuswagia ng’ombe. Tusome habari yenyewe.. Waamuzi 3:31 “Tena baada yake huyo alikuwapo Shamgari mwana wa Anathi, aliyepiga katika Wafilisti watu ..