LAKINI WAKATI WA TAABU WATASEMA SIMAMA, UTUOKOE. Ulishawahi kuwa na watu ambao wanakutafuta tu wakati wa shida ili uwasaidie..kisha baada ya hapo hawana habari tena na wewe, mpaka tena wapate shida wanakutafuta, kama ndio, basi kuna hali Fulani ulijisikia ambayo sio nzuri, ni kweli wapo ambao mazingira yanawabana washindwe kukutafuta nyakati nyingine, lakini wapo ambao ..
Category : Uncategorized
NAWE UTAWAAMBIA MANENO YANGU, KWAMBA WATASIKIA, AU KWAMBA HAWATAKI KUSIKIA; Jina la Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe. Upo umuhimu wa kuhubiri injili mahali popote na katika mazingira yoyote kwasababu ni agizo la Bwana mwenyewe bila kuangalia watu wanapokeaje; wanataka kusikia au hawataki kusikia. Wapo watu wenye mioyo migumu..ambao wanajiziba masikio yao wasitake kusikia habari za ..
Usijifiche chini ya maneno yasiyo kweli. Isaya 28:15-19 “Kwa sababu mmesema, Tumefanya agano na mauti, tumepatana na kuzimu; pigo lifurikalo litakapopita, halitatufikia sisi; kwa maana TUMEFANYA MANENO YA UONGO KUWA KIMBILIO LETU, TUMEJIFICHA CHINI YA MANENO YASIYO KWELI; [16]kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, ..
JE! UNAO UZIMA WA MILELE? Siyo dhambi kuwa na nyumba nzuri, gari nzuri, biashara kubwa, elimu kubwa, mke/mume mzuri, watoto wazuri, na mafanikio yote ya hapa duniani, kwani biblia pia inakubaliana na mafanikio hayo.. 3Yohana 1:2,9 “Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa, na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo”. Na pia wapo ..
LABDA WATASIKIA NA KUGHAIRI NJIA ZAO MBAYA. Jina la Bwana Yesu libarikiwe karibu tujifunze habari njema. Kabla Mungu kuleta mabaya kwa mtu au taifa Fulani huwa anatanguliza kwanza kumuonya yule mtu au lile taifa, kwasababu ni Mungu mwenye huruma na upendo hapendi kuwatesa wanadamu. Maombolezo 3:33 “Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.Wala kuwahuzunisha”. Kwasababu hiyo ..
WATU HAWA NI WATU WA DUNIA HII TU. 1Yohana 4:5 “HAO NI WA DUNIA; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia [6]Sisi twatokana na Mungu. YEYE AMJUAYE MUNGU ATUSIKIA; YEYE ASIYETOKANA NA MUNGU HATUSIKII. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu. Ni vizuri tufahamu wana wa Mungu kuwa hapa duniani tupo ..
REMEMBER ๐๐ข๐งโ๐ฆ ๐ช๐๐๐: Luke 17:28-32 KJV “Likewise also as it was in the days of Lot; they did eat, they drank, they bought, they sold, they planted, they builded; [29] but the same day that Lot went out of Sodom it rained fire and brimstone from heaven, and destroyed them all. [30] Even thus shall ..
THE SIN OF LYINGย ๐๐๐ฅ๐จ๐ฏ๐๐, ๐๐๐ฒ๐ฟ๐ ๐๐ถ๐ฒ ๐๐ ๐ฎ ๐ง๐ถ๐ฐ๐ธ๐ฒ๐ ๐๐ผ ๐๐ฒ๐น๐น. Lying is alarmingly common; even among professing believers… yet Scripture is clear: ๐ฅ๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ฌ ๐ญ๐ก๐ ๐ง๐๐ญ๐ฎ๐ซ๐ ๐จ๐ ๐๐๐ญ๐๐ง, not the life of Christ. Jesus said.. โI am the way, ๐ญ๐ก๐ ๐ญ๐ซ๐ฎ๐ญ๐ก, and the lifeโ (John 14:6). While the devil โ๐๐๐จ๐๐ ๐ง๐จ๐ญ ๐ข๐ง ๐ญ๐ก๐ ..
Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani? Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze maneno ya uzima. Kabla hutujaendelea mbele hebu tafakari haya.. >Je! tumaini lako lipo wapi? >Je! uzima wako upo wapi? >Je! Hazina yako ipo wapi? >Je umejitajirisha kwa nani? Bila shaka majibu unayo mwenyewe.. Lakini hekima ya Mungu inatushaurije.. Luka 12:16-21 ..
FUMBUA MACHO YAKO UONE Biblia ilitabiri kuwa katika siku za mwisho watakuja watu wenye kudhihaki wakisema kurudi kwa Bwana YESU ni habari za kutunga tu, wanasema dunia hii itakuwepo milele, hakuna hukumu; lakini watu hawa biblia inasema “wanafumba macho yao wasione” wasione kuwa hii dunia iliwahi kuangamizwa kwa gharika na sasa imewekewa akiba kuangamizwa kwa ..