Category : Uncategorized

Kuzumbua maana yake ni kuwa na uwezo kupata kitu Fulani, hususani kile Cha lazima. Kwamfano Unaweza kusema; Namshkuru Mungu nimezumbua kile kitambulisho changu kilichopotea siku nyingi. Maana yake nimekipata kitambulisho changu. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi kwenye biblia Mambo ya Walawi 6:1-7 [1]BWANA akanena na Musa, na kumwambia, [2]Mtu awaye yote akifanya dhambi, na ..

Read more

Umeshawahi kujiuliza ni kwanini kanisa la sasa la Kristo halina Utukufu kama ule uliokuwapo katika kanisa la mwanzo? Hakuna tena imani kama ile iliyokuwapo mwanzo (bali ni unafiki na kuigiza), hakuna tena nguvu ya Mungu katika kanisa kama iliyokuwapo mwanzo, hakuna tena ushukiwaji wa Roho Mtakatifu kwa watu katika kanisa k..

Read more