
SWALI: Katika agano la kale tunaona manabii walipotabiri, walitabiri kwa jina la Bwana, na tena si hivyo tu, lakini pia waliteswa, walinusurika kuuwawa na wengine hata kuuwawa kabisa kwa ajili ya Bwana huyo huyo ambaye walitabiri kwa jina lake, kwamfano nabii Uria Mwana wa Shemaya, a..