Madhara ya kupunguza Maombi. Katika Maisha usijaribu kufanya kosa la kupunguza maombi…Ni heri ukapunguza muda wa kufanya mambo mengine ambayo unaona ni ya muhimu lakini usipunguze kuomba hata kidogo!..Kama tayari ulishaanza kuwa muombaji, halafu ukaanza kupunguza unamtengenezea adui nafasi ya kufanya uharibifu mkubwa sana katika maisha yako. Na kitu ambacho watu wengi huwa hutujui ni ..
Archives : October-2025
Elimu ya dunia hii inafunua Elimu ya ufalme wa mbinguni. Shalom! Mtu wa Mungu karibu tujifunze Neno la Mungu, ambalo ndio Taa yetu ituongozayo uzimani. ELIMU ni UFUNGUO wa maisha, hiyo ni kweli, lakini ELIMU ILIYO SAHIHI sio tu ufunguo wa maisha, bali pia ni ufunguo wa kila kitu. Na kwa jinsi elimu ya mtu ..
TU UZAO WA IBRAHIMU Yohana 8:33 “Wakamjibu, Sisi TU UZAO WAKE IBRAHIMU, wala hatujawa watumwa wa mtu wakati wo wote; nawe wasemaje, Mtawekwa huru?.” Je! we ni mzao wa Ibrahimu? Uzao wa Ibrahimu ni upi? Uzao wa Ibrahimu ni uzao wa YESU KRISTO, kulingana na kuwa Yesu Kristo ndiye aliyebeba ahadi za Mungu kwa Ibrahimu. ..
Ole wake mtu yule ambaye amsaliti Mwana wa Adamu. Mathayo 26:20 “Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Thenashara. [21]Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti. [22]Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana? [23]Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika kombe, ndiye atakayenisaliti. [24]Mwana wa Adamu aenda zake, ..
JINSI YA KUFUNGUA MLANGO WA MAFANIKIO UTANGULIZI: Ni muhimu kujua hili: lengo kuu au kiini cha Wokovu ulioletwa na BWANA YESU KRISTO sio sisi tuwe matajiri au tupate mafanikio ya huu ulimwengu!. Mafanikio ya dunia hii ni moja ya faida za mwisho mwisho kabisa za kusudi la msalaba wa Bwana YESU kwasababu walikuwepomatajiri kabla ya ..
TU WASAFIRI HAPA DUNIANI. 1Mambo ya Nyakati 29:15 “Kwani sisi tu wageni mbele zako, NA WASAFIRI, KAMA WALIVYOKUWA BABA ZETU WOTE; ni kama kivuli siku zetu duniani, wala taraji ya kukaa hapana”. Mtu yeyote anayejiita ni mkristo ni wazi kuwa yupo safarini, Na kama yupo safarini ni lazima afahamu malengo yake ni nini, kwamba anatoka ..
JIPONYE NAFSI YAKO USITAZAME NYUMA Ndugu yangu ni vizuri kufahamu kuwa hii dunia tayari imeshatamkiwa hukumu, na hakuna maombi yoyote yanayoweza kuifuta hukumu ya huu ulimwengu. Yaliyotamkwa na kuandikwa yatatimia kama yalivyo.. Hivyo kilichobaki kwetu ni sisi kuondoka na kujiokoa nafsi zetu, na katika safari yetu, hatupaswi kurejea/kutazama nyuma..tunapaswa tukazane kuzidi kusonga mbele, kwasababu ..
Ni nini Mungu anachokiangalia kwanza tunapomtolea sadaka. Watu wengi tunamtolea Mungu aidha kwa njia ya fungu la kumi au kwa njia nyingine yoyote ile tunayoijua ..lakini mara nyingi hatuoni faida ya kutoa na mwisho wa siku tunaishia kuona kuwa Mungu hajibu au anajibu tu watu fulani. Ukweli ni kwamba Mungu huwa anajibu mapema sana bila ..
WAFU WATAFUFULIWA Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu na mwokozi wetu Yesu Kristo, Mfalme wetu, Karibu tujifunze maneno ya uzima. Kabla hatujaendelea mbele, Naomba usome ushuhuda huu mfupi utakuwa msingi wa somo letu. “Ilikuwa ni tarehe 17/10/2025 majira ya alfajiri, Bwana alinipa huu ujumbe kupitia ndoto. Niliona miili ya watu wengi ikifufufuka kutoka ..
TUNAHITAJI KUSAIDIANA Nakusalimu katika jina kuu la Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Katika ukristo kusaidiana sisi kwa sisi ni jambo la muhimu sana na ni moja ya silaha ya kumshinda adui. Hebu tuitafakari habari hii kwa pamoja kisha tujifunze somo. 1 Mambo ya Nyakati 19:8 “Basi Daudi aliposikia habari akamtuma Yoabu, na jeshi ..