Category : Dhambi

Ufisadi ni nini katika maandiko?(Waefeso 5:18)

Tofauti na inavyofahamika au kuzoeleka, kuwa ufisadi ni kitendo cha kukosa uaminifu kwa kuhujumu fedha za shirika Fulani au taasisi Fulani, kwa lengo la kujipatia faida zako binafsi. Lakini tukirudi katika biblia Neno ufisadi limetumika kueleza tabia nyingine tofauti. Na tabia yenyewe ni uasherati, uzinzi,  umalaya/ Ukahaba uliovuka mipaka, ambao haujali hata jinsia, umri, au ..

Read more

Je kubandika picha ya yesu au kuweka vinyago nyumbani ni dhambi?

SWALI: Je kubandika picha au kuweka vinyago nyumbani ni dhambi? Kwani biblia inasema.. Kutoka 20:4[4]Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. JIBU: Msisitizo upo katika mstari unaofuata wa 5 ambao unasema.. Kutoka 20:5[5]Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, ..

Read more

Je! kupiga punyeto ni dhambi kwa mujibu wa biblia?

Dhambi hainzii mwilini, bali dhambi inaanzia rohoni, na ndio maana Bwana Yesu alisema.. Mathayo 15:18 “Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo mtu unajisi. 19 Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wivi, ushuhuda wa uongo, na matukano; Hivyo, kabla ya kutaka kufanya tendo lolote la zinaa, huwa linaanzia kwanza moyoni, kwa ..

Read more

Kuna aina kuu tatu za dhambi. Dhambi isiyo ya mauti Dhambi ya Mauti Dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu. Dhambi isiyo ya mauti ni dhambi ambayo mtu akiifanya anaweza kusamehewa, bila ya adhabu yoyote, au hata akipokea adhabu basi haitakuwa adhabu ya kumfanya afe. Nyingi ya dhambi tunazozitenda leo hii zinaangukia katika kundi hili. Pale mtu ..

Read more