Archives : January-2022

Maziwa ya akili yasiyoghoshiwa ni yapi, kibiblia?(1Petro 2:2)

Neno hilo utalisoma katika mstari huu; 1Petro 2:1 “Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote. 2 Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu”; Kughoshi ni kubadilisha umbile, au kutia dosari, aidha kwa kuongeza au kupunguza kitu Fulani ili ..

Read more