Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu. Ukisoma vyema hapo utaona maandiko yameorodhesha mambo matatu hapo!,Sasa ili tunafahamu ni yapi hebu tusome kwa kuanzia juu kidogo. Wagalatia 2:3 “Lakini Tito aliyekuwa pamoja nami, naye ni Myunani, hakulazimishwa kutahiriwa. 4 BALI KWA AJILI YA NDUGU ZA UONGO ..