Archives : February-2025

Unatambua uko katika nyakati gani Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Wakristo wengi wanaishi pasipo kutambua wapo katika nyakati gani au majira gani!, kiasi kwamba wamejisahau na wengine hawajui kabisa wanaishi katika nyakati za hatari kiasi gani!, dalili nyingi za kurudi kwa Bwana Yesu zimeshaonekana nyakati zile zilizotabiliwa ..

Read more