Category : Maswali ya Biblia

Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana Mungu wetu.tunaweza kusoma maandiko kutoka. Mhubiri 7:29 “Tazama, hili tu nimeliona; Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamebuni mavumbuzi mengi”. Mungu alipomuumba mwanadamu alimuumba katika ukamilifu wote kama kwa Adam na Hawa aliwaumba katika ukamilifu wa Furaha, Amani, Upendo na kumcha Mungu. Lakini ulifika wakati hawakuridhika ..

Read more

Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima toka kwa kristo mfalme. Hakuna andiko linalosema na kuthibitisha kuwa mbinguni ni sehemu ya kuimba tu bali Bwana wetu yesu kristo alisema anaenda kutuandalia makao kama neno linavyosema. Yohana 14:1 “Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi. 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ..

Read more

Mamajusi, ni watu walitoka masharikii ya mbali maneno ya babeli na walikuwa watu ambao wanachunguza maandiko na walikuwa na shauku ya kumjua Mungu wa Israeli zaidi. Pia hawakuwa wayahudi yaani Waisraeli, ndiyo maana maandiko yanasema walitoka masharikii ya mbali, katika biblia katika nyakati ilipozungumzia Mashariki ilikuwa Ina maanisha nchi za mbali mfano babeli au hidi ..

Read more

Kutekewa ni kukosa maneno, yaani kukosa jibu la kujibu na siyo kuchotewa maji Katika Habari hii Bwana Yesu asifiwe alikuwa anazungumzia yule mtu aliyeingia katika harusi kisha akakutwa hana vazi la arusi ndipo akatekewa Mathayo 22:8 “Kisha akawaambia watumwa wake, Arusi i tayari, lakini wale walioalikwa hawakustahili. 9 Basi enendeni hata njia panda za barabara, ..

Read more

Yohana aliwabatiza watu kwa maji lakini alisema atakapokuja Bwana Yesu atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto, huu ubatizo wa moto maana yake ni nini? Na sote  tunatambua kuwa moto hufanya kazi kuu tatu. Ya kwanza ni: Kuunguza na kuteketeza vitu visivyofaa kama vile takataka. Hapa ni pale Mungu anapozichoma dhambi zote zilizo ndani ya ..

Read more

  Shalom, Karibu tujifunze Neno la Mungu, Leo kwa Neema za Bwana tutakwenda kuangalia ni namna gani tunaweza kushinda au kuleta majibu ya haraka pale tunapoitumia damu ya Yesu Kristo, Kwasababu watu wengi hasa waliookoka wamekuwa wakiita sana damu ya Yesu katika mambo yao mengi, pengine hata kwenye kuomba kwao lakini majibu ya kile walichokitarajia ..

Read more