Archives : July-2024

Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo. Karibu katika Maneno ya Uzima Unapokosa uelewa kuhusu ndoto, kwanza utashindwa kutambua kusudi la Mungu juu ya hiyo, pia imewafanya wengi kuwa watumwa wa ndoto zao wakihisi Kila ndoto ni ya kuzingatia na Ina tafsiri Fulani tofauti. Lakini si hivyo! Ukweli ni kwamba inabidi kwanza ujue makundi haya makuu ..

Read more

Bwana wetu Yesu Kristo na Asifiwe Ndoto za aina hii zimekuwa zikiotwa na Watu wengi kwa namna tofauti tofauti, mfano wengine wanaota wanafanya mitihani migumu sana kwao Lakini wenzao Wana uwezo wa kujibu isipokuwa wao tu, au anafanya mtihani na hawakujiandaa, au kimefika kipindi Cha mitihani wanagundua hakuna walichokifanya siku zote n.k Namna nyingine ni ..

Read more

Shalom karibu tujifunze Maneno ya Uzima.. Warumi 13:14Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata KUWASHA TAMAA ZAKE.” Kuuangalia mwili kama ilivyoandikwa hapo juu inamaanisha kuujali au kuutii sana mwili kupitiliza, na hatimae kuziwasha tamaa za mwili…Mtu anapofikia hatua hii huwa ni teja wa mwili wake na huutii kwa Kila jambo Lasivyo mtu huyo ..

Read more

Unapokuwa tayari kwa hiyari yako kumkabidhi Kristo maisha yako ili akuokoe na kukusamehe dhambi zako basi huo ni uamuzi mzuri zaidi na wenye furaha zaidi maisha yako yote, kama ilivyokuwa kwa sisi wenzako katika kristo Yesu, ilikuwa hivyo hivyo. Kumbuka.. • kwa Yesu kuna Uzima wa milele, utulivu wa Nafsi na faraja kuu. Kama anavyosema ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo, Bwana wetu. Unapoota umepotea iwe ni njia panda, mjini, shambani, katika riadha ama sehemu yoyote Ile usiyoijua, basi tambua hizo ni ndoto zilizobeba ujumbe kutoka kwa Mungu kwa makundi yote yaani walio okoka na hata wale wasio okoka. Biblia inasemaje kuhusu ndoto hii kwa ambae Hajaokoka Zaburi 37:18-20 18 ..

Read more

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya Uzima Ambayo ni taa ya miguu yetu. Kwanza kabisa mafuriko si sawa na Mvua! Mvua hustawisha mazao, husafisha lakini mafuriko hugharikisha au kuharibu. Hivyo unapoona unaota ndoto hii mara kadhaa kwa uzito usio wa kawaida ndani yako, basi ni dhahiri kuna mafuriko makubwa ya ..

Read more

Jina la Bwana libarikiwe, karibu tujifunze. Kipindi Musa anamuuliza Mungu kuhusu jina lake alitegemea kutajiwa jina fulani kama vile baali, Ashtoreth n.kZaidi tunaona Mungu anamjibu kwa jumla akisema, wakikuuliza jina langu waambie Mimi ni ” Niko ambaye Niko” Kutoka 3:14 Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma kwenu. Ukiangalia ..

Read more

Shalom, Karibu tuyatafakari Maneno yenye uzima.. Biblia inasema tumejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, na leo tutajifunza ni msingi gani tunaotakiwa kuufahamu zaidi.. Waefeso 2:20 [20]Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni. Ni kweli kupitia msingi huu wa mitume na manabii ambao ni ..

Read more

Bwana Yesu Kristo Asifiwe. Nikukaribishe tujifunze maneno ya Uzima JIBU: Hosea 12:7“NI MCHUUZI, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu .” Mchuuzi ni mtu anayejishughulisha na ununuaji wa bidhaa na kuzisafirisha kuziuza sehemu nyingine hususani nje ya nchi yake. Unaweza kupitia tena, utalipata katika Wimbo ulio Bora 3:6, Ezekiel 27:3, 27:20-22 pamoja na Isaya ..

Read more