Kumbukumbu 28:22 “Bwana atakupiga kwa kifua kikuu, na kwa homa, na kwa kuwashwa, na kwa hari ya moto, na kwa upanga, na kwa UKAUFU, na kwa KOGA; navyo vitakufukuza hata uangamie” Swali: kutokana na Andiko hilo Je! Ukaufu ni Nini? Na koga ni Nini? Ukaufu ni ugonjwa wa mazao unaotokana na fangasi,na kuleta utandu. Linapopata ..
Archives : August-2024
Nakusalimu katika Jina la Bwana Yesu Kristo. SAKITU ama kwa lugha ya kiingereza “Frost”. Ni barafu iangukayo kutoka juu ifunikayo uso wa ardhi, mimea n.k hasa katika nchi au maeneo yenye baridi Kali. tusome..Ayubu 38: 29 “Barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na SAKITU YA MBINGUNI ni nani aliyeizaa? 30 Maji hugandamana kama jiwe, ..
Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo. Warumi 8:34 “Ni nani atakayewahukumia adhabu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa; naam, na zaidi ya hayo, amefufuka katika wafu, naye yuko mkono wa kuume wa Mungu; TENA NDIYE ANAYETUOMBEA.” Ni dhahiri Bwana wetu Yesu Kristo ndiye Anayetuombea, soma Tena.. 1 Yohana 2:1 “Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende ..
Neno Tirshatha katika biblia tunalipata katika vufungu vifuatavyo.. Ezra 2:63 Na huyo Tirshatha akawaambia wasile katika vitu vitakatifu sana ,hata atakaposimama kuhani mwenye urimu na Thumimu. Nehemia 10: 1 Basi hawa ndio waliotia muhuri; Nehemia, ndiye Tirshatha, mwana wa Hakalia, na Sedekia; Hili ni neno lenye asili ya kiajemi, maana yake ni mtawala aliyeteuliwa kuwa ..
Shalom, karibu tujifunze Maneno maneno ya Uzima. Mithali 27:18 “ Yeye autunzaye mtini atakula matunda yake; Naye amhudumiaye bwana wake ataheshimiwa. “ Kuna Jumbe mbili za muhimu sana katika mstari huu navyo ni Autunzaye mtini atakula MATUNDA yake, pili ni Amhudumiaye bwana wake ataheshimiwa. 1. AUTUNZAYE MTINI ATAKULA MATUNDA YAKE Injili imeandikwa; si kwenye ..
Fatilia andiko hili.. Ayubu 22:12 “Je! Mungu hayuko mbinguni juu? Tena tazama umbali wa nyota, jinsi zilivyo juu! 13 Nawe wasema, Mungu anajua nini? Je! Aweza kuamua kati ya giza kuu? 14 Mawingu mazito ni kifuniko chake, hata asione; Naye yuatembea juu ya KUBA YA MBINGU. 15 Je! Utaiandama njia ya zamani Waliyoikanyaga watu waovu ..