Archives : September-2024

Karibu tujifunze Maneno ya Uzima. Nini maana ya kuwatema Farasi? Na kwanini Mungu aliwaagiza Israel kuwatema Farasi wa adui zao? Tusome.. Yoshua 11:6 “Bwana akamwambia Yoshua, Usiche wewe kwa ajili ya hao; kwani kesho wakati kama huu nitawatoa hali wameuawa wote mbele ya Israeli; UTAWATEMA FARASI ZAO, na magari yao utayapiga moto. 7 Basi Yoshua ..

Read more