Shalom.. Je unajua kuwa ubatizo unaweza kuua lakini pia unaweza kuokoa? Kuna jambo kubwa limejificha katika ubatizo lakini kama watu wangelijua jambo hilo bila shaka wangefanya bidii kuutafuta ubatizo. tusome vifungu vifuatavyo 1 Petro 3:20 “watu wasiotii hapo zamani, uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo ndani yake wachache, yaani, ..
Category : Maswali ya Biblia
Jibu: ndiyo ni halali kabisa kutoa cheti kwa watu walioana, kwa sababu ukiachana kutoa viapo vyao, ni lazima pia wawe na ushahidi kuwa kweli wamekubaliana kuwa kitu kimoja Zaidi sana inasaidia hata ikitokea shida naona yao inakuwa vyepesi kutatulika kwa sababu uthibitisho upo ndiyo maana kuna umuhimu mkubwa sana, wa wanandoa kufata taratibu zote kabla ..
Bwana Yesu asifiwe karibu katika kujifunza Neno la Mungu . Mathayo 16:24 [24]Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu ye yote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate. Kujikana ambako Bwana Yesu alikuwa anakuzungimzia ni kukataa matamanio yako, maana ya Neno lenyewe kujikana ni kukataa matamanio yako au mipango yako na kuielekeza sehemu ..
Swali: Je kujihusisha na michezo mfano kushabikia Mpira au kushabikia timu fulani ni makosa Jibu: Neno la Mungu linasema, tusome Wafilipi 2: 3 “Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake’’ Yaani jambo lolote lile ambalo kama likifanyika na kupelekea malumbano ..
Bwana Yesu asifiwe, karibu tujifunze maneno ya Mungu. Tunaweza kujiuliza kuna tofauti gani kati ya ubatizo wa Yohana na ubatizo wa Bwana Yesu lakini ukweli ni kwamba hakuna tofauti yoyote maana ubatizo ni ule ule mmoja wa toba,tofauti inayotokea ni matumizi ya jina la Yesu. Hata kabla Bwana Yesu hajaja duniani watu walikuwa wanasali, ..
Shalom mwana wa Mungu karibu tujifunze neno la Mungu ambalo ni maji ya uzima. NI KIUMBE GANI KINACHOSUJUDIWA HAPO KATIKA WARUMI 1:25? Warumi 1:25 inasema”kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya muumba anayehimidiwa milele” Amina. Kiumbe ni kitu chochote chenye uhai kama vile wanyama na mimea. Maandiko yaliposema ..
Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa muumba wetu. MZUSHI NI NANI? Ni mtu anayezusha au kuolongea jambo ambalo lina makusudio ya kuweka mgawanyiko. Hata katika kanisa wapo wazushi wanaozusha mambo ili kuleta mgawanyiko katika kanisa. Biblia imesema tusiwape nafasi wazushi. Tito 3:10 inasema”mtu aliye mzushi baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ..
Shalom Karibu tena katika kujifunza neno la Mungu litupalo nuru katikati yetu Limekuwa swali kwa watu wakitamani kujua kama kweli, upo umuhimu wowote wa kumlipia binti mahari, pale kijana anapotaka kumuoa, na wengine wanajiuliza je Adam alilipa kwa nani mahari ya hawa? Kwanza kabisa ndoa ya kwanza iliunganishwa na Mungu mwenyewe, Adam asingeweza kutoa mahari ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ili tuweze kuuelewa mstari huu vizuri tuchukulie mfano wa kuku anakwenda kuchinjwa baada hata ya dakika 20 au 10 huyo kuku mauti inakuwa inafanya kazi ndani yake. Maana muda si mrefu anakwenda kuchinjwa. Lakini kwetu sisi ambao tunamla kuku uzima unakuwa unafanya kazi ndani yetu maana muda ..
Bwana Yesu asifiwe karibu katika kujifunza Neno la Mungu Swali: “Kama Mungu alituumba yeye kwanini siku ya mwisho awachome watu katika ziwa la moto”? JIBU: Kwanza kabisa kitu ambacho tunapaswa kukitambua kwa Mungu wetu, sifa yake kuu yeye ni UPENDO, tena mwingi Rehema, na upendo wake hauchangui mwema au mbaya katika kupenda yeye anapenda kila ..