Category : Maswali ya Biblia

Shalom. Katika Agano la kale. Neno sayuni limetumika mazingira tofauti tofauti, mfano, baada ya Daudi kuiteka Yerusalemu, ile sehemu ilitiwa ngome ya sayuni (2Samweli 5:7), hivyo kwa hapa imetumika Kama mji wa Daudi au wa Mungu. Kadhalika na mlimani ambapo hekalu la Mungu lilijengwa liliitwa pia mlima sayuni, (Yeremia 31: 6,12) Mahali pengine utaona ni ..

Read more

Shalom Mwongofu au aliyeongoka ni aliyebadilika mwenendo, hivyo ongoka ni “geuka”, biblia ya kiingereza imetumia neno “be converted”.. Mathayo 18.3 “akasema, Amin, nawaambia, MSIPOONGOKA na kuwa kama vitoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni”. Pia limetumika katika Marko… Marko 4: 11 “Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje ..

Read more

  Tusome.. 1Wakorintho 12:3 “Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.” Kikawaida kila mtu anaweza kusema “Yesu ni Bwana”, hata walevi, waasherati,wauaji,wachawi, n.k, kwa ujumla mtu yoyote anaweza kusema “Yesu ni Bwana” pasipo kujalisha hali yake, ..

Read more

  Bwana Yesu Kristo asifiwe. Karibu tujifunze biblia, Kabla hatujaingia ndani kufahamu tofauti iliyopo kati ya “Kipawa na karama” hebu tuutafakari kwanza mfano ufuatao ili tuweze kuelewa; Watu wawili wamepewa zawadi ya magari ya kutembelea, tena yanayofanana, kila mmoja la kwake.. Ila wa kwanza akalitumia lile gari kwa faida yake yeye, yaani kumrahisishia usafiri, na ..

Read more