Shalom. Katika Agano la kale. Neno sayuni limetumika mazingira tofauti tofauti, mfano, baada ya Daudi kuiteka Yerusalemu, ile sehemu ilitiwa ngome ya sayuni (2Samweli 5:7), hivyo kwa hapa imetumika Kama mji wa Daudi au wa Mungu. Kadhalika na mlimani ambapo hekalu la Mungu lilijengwa liliitwa pia mlima sayuni, (Yeremia 31: 6,12) Mahali pengine utaona ni ..
Category : Maswali ya Biblia
Shalom. Turejee.. Kumbukumbu 23:24 Uingiapo katika shamba la mizabibu la jirani yako, utaweza kula zabibu za kukushibisha, kama upendavyo; ila usitie katika chombo chako. 25 Uingiapo katika mmea wa jirani yako waweza kuyapurura masuke kwa mkono wako; ila usisongeze mundu katika mmea wa jirani yako. Maagizo haya yalikuwa katika kipindi Cha Sheria ya Musa (torati), ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Mtume Paulo alimaanisha nini kusema …”wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.” Sasa kabla ya kuona Paul alikuwa akimaanisha nini katika mstari huo na wakina na nani alikuwa akiwalenga watu wa namna gani? Ukianza ..
Shalom Mwongofu au aliyeongoka ni aliyebadilika mwenendo, hivyo ongoka ni “geuka”, biblia ya kiingereza imetumia neno “be converted”.. Mathayo 18.3 “akasema, Amin, nawaambia, MSIPOONGOKA na kuwa kama vitoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni”. Pia limetumika katika Marko… Marko 4: 11 “Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje ..
Shalom. Habari hii utaipata katika injili ya Luka 21:18 na mathayo 10:30, Mathayo 10:30 ”lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote” Luka akaandika hivi… Luka 21:18 “Walakini hautapotea hata unywele mmoja wa vichwa vyenu.” Ikiwa ni kuonesha kuwa hakuja kuleta ukombozi wa Roho pekee bali na hata miili yetu pia. Mtume Paulo anaandika ..
Karibu tujifunze!.. Hapana shaka Wala changamoto yoyote ya kiimani kwa Aliye mgonjwa kumtafuta daktari au matibabu fulani. Tatizo ni kuwa watu wengine huhisi kwa kutokwenda hospitali au kutafuta njia nyingine yoyote ya matibabu kama vile mitishamba(aloe vera, mwarobaini n.k) ni kuonesha ukubwa wa Imani yao, na imepelekea kupata matatizo makubwa ya kiafya! Imani yako ipo ..
Kati ya jambo muhimu ambalo unapaswa kulifahamu kwa undani zaidi ni kuhusu Roho Mtakatifu. Kwasababu Roho Mtakatifu ndio ukamilifu wa sauti ya Mungu kwetu.. Leo kwa neema za Mungu tutaenda kutazama kazi kuu tatu za Roho Mtakatifu katika huu ulimwengu, lakini awali ya yote kabla ya kwenda kuzitazama hizo kazi hebu tuweke msingi kidogo wa ..
Tusome.. 1Wakorintho 12:3 “Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.” Kikawaida kila mtu anaweza kusema “Yesu ni Bwana”, hata walevi, waasherati,wauaji,wachawi, n.k, kwa ujumla mtu yoyote anaweza kusema “Yesu ni Bwana” pasipo kujalisha hali yake, ..
Shalom karibu tujifunze Neno la Mungu.. Leo kwa Neema za Bwana tutaangalia mambo makuu matatu yanayouvuta uwepo wa Roho Mtakatifu karibu yetu Jambo la kwanza: MAOMBI Maombi ni jambo la kwanza linalovuta uwepo wa Roho Mtakatifu ndani yetu. Tunapokuwa watu wa kuomba mara kwa mara tunamkaribisha Roho Mtakatifu azidi kutusogelea kwa ukaribu na kutusaidia ..
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Karibu tujifunze biblia, Kabla hatujaingia ndani kufahamu tofauti iliyopo kati ya “Kipawa na karama” hebu tuutafakari kwanza mfano ufuatao ili tuweze kuelewa; Watu wawili wamepewa zawadi ya magari ya kutembelea, tena yanayofanana, kila mmoja la kwake.. Ila wa kwanza akalitumia lile gari kwa faida yake yeye, yaani kumrahisishia usafiri, na ..