Karibu tujifunze maneno ya uzima Toka kwa Bwana wetu yesu kristo. Jibu ni hili kwamba mariamu alimzaa Bwana Yesu kwa namna ya mwili, hivyo wakati Bwana alipokuwa duniani Mariamu alijulikana kama mama wa Yesu, na siyo mama wa Mungu. Bwana yesu alipokuja hapa duniani alikuwa ni Mungu katika mwili lakini hakuja kutafuta kuabudiwa na ndiyo ..
Category : Maswali ya Biblia
Bwana Yesu asifiwe nakusalimu kupitia jina la Yesu, karibu tena katika kujifunza neno la Mungu… Tusome, Waebrania 6:4 “Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, 5 na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, 6 wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu katika. Tukisoma kwenye biblia hakuna mahali imeandika kwamba Daniel alikuwa wapi wakati wa tukio hilo linatokea la wenzake kutupwa kwenye tanuru la moto baada ya wao kukataa kuisujudia sanamu ya Mfalme Nebukadreza. Na hii ni kwa sababu biblia haichukui kila kitu na kukiandika bali inachukua matukio ..
Kumekuwa na sintofahamu sana katika swala hili la uvaaji wa suluari, haswa kwa wanawake kuna baadhi ya watu, hudai kuwa ni vazi kama vazi lingine maana linamsitiri mwanamke, Je jambo hili ni kweli? Jibu: Ukweli ni kwamba vazi hili suluari halimpasi kabisa mwanamke kuvaa, kwanza kabisa vazi hili la suluari tunalithibitisha katika maandiko lilionekana kuvaliwa ..
Shalom. Katika Agano la kale. Neno sayuni limetumika mazingira tofauti tofauti, mfano, baada ya Daudi kuiteka Yerusalemu, ile sehemu ilitiwa ngome ya sayuni (2Samweli 5:7), hivyo kwa hapa imetumika Kama mji wa Daudi au wa Mungu. Kadhalika na mlimani ambapo hekalu la Mungu lilijengwa liliitwa pia mlima sayuni, (Yeremia 31: 6,12) Mahali pengine utaona ni ..
Shalom. Turejee.. Kumbukumbu 23:24 Uingiapo katika shamba la mizabibu la jirani yako, utaweza kula zabibu za kukushibisha, kama upendavyo; ila usitie katika chombo chako. 25 Uingiapo katika mmea wa jirani yako waweza kuyapurura masuke kwa mkono wako; ila usisongeze mundu katika mmea wa jirani yako. Maagizo haya yalikuwa katika kipindi Cha Sheria ya Musa (torati), ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Mtume Paulo alimaanisha nini kusema …”wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.” Sasa kabla ya kuona Paul alikuwa akimaanisha nini katika mstari huo na wakina na nani alikuwa akiwalenga watu wa namna gani? Ukianza ..
Shalom Mwongofu au aliyeongoka ni aliyebadilika mwenendo, hivyo ongoka ni “geuka”, biblia ya kiingereza imetumia neno “be converted”.. Mathayo 18.3 “akasema, Amin, nawaambia, MSIPOONGOKA na kuwa kama vitoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni”. Pia limetumika katika Marko… Marko 4: 11 “Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje ..
Shalom. Habari hii utaipata katika injili ya Luka 21:18 na mathayo 10:30, Mathayo 10:30 ”lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote” Luka akaandika hivi… Luka 21:18 “Walakini hautapotea hata unywele mmoja wa vichwa vyenu.” Ikiwa ni kuonesha kuwa hakuja kuleta ukombozi wa Roho pekee bali na hata miili yetu pia. Mtume Paulo anaandika ..
Karibu tujifunze!.. Hapana shaka Wala changamoto yoyote ya kiimani kwa Aliye mgonjwa kumtafuta daktari au matibabu fulani. Tatizo ni kuwa watu wengine huhisi kwa kutokwenda hospitali au kutafuta njia nyingine yoyote ya matibabu kama vile mitishamba(aloe vera, mwarobaini n.k) ni kuonesha ukubwa wa Imani yao, na imepelekea kupata matatizo makubwa ya kiafya! Imani yako ipo ..