SWALI, Naomba kufahamu sadaka za unga na kinywaji zilitumikaje, na zina ufunuo gani kwa kizazi chetu, JIBU: katika biblia enzi za agano la kale Mungu aliagiza zitolewe sadaka mbali mbali, na ilikuwa ni lazima hizo sadaka zifikishwe madhabahuni pake, maana ili sadaka iitwe sadaka ni lazima ipelekwe madhabahuni. Ikitolewa nje na madhabahu haiwi tena sadaka ..
Category : Maswali ya Biblia
Malimbuko ni sadaka inayotolewa kwenye kitu cha kwanza kupatikana, au kuzaliwa, au zao la kwanza Katika vitu vyenye uhai kama watoto, wanyama,ndege n.k na vitu visivyo na uhai kama mazao, fedha, n.k, kwa lugha nyingine inajulikana kama “first fruits”…enzi za agano la kale mtoto wa kwanza wa kiume kuzaliwa alitolewa malimbuko kwa Bwana. Tazama ..
Bwana Yesu asifiwe. Karibu tujifunze Maneno ya Uzima!.. Swali: Yesu alikuwa na maana Gani kumwambia yule mwanamke chakula Cha watoto hawapewi Mbwa? Jibu: Habari hiyo inayopatikana katika injili yaani mathayo 15:21, Marko7:24-30 unaweza kupitia sehemu zote kwa uchambuzi sahihi zaidi, ni habari inayohitaji umakini mkubwa katika kujifunza. Karibu tutafakari kwa pamoja mazungumzo haya.. Mathayo 15: ..
Shalom. Jibu: hakuna zao lililoumbwa na Mungu kwa lengo baya mfano kutengeneza Pombe, sigara n.k lakini tatizo linaanza pale linapotumiwa vibaya na sisi wenyewe. Baadhi ya mifano ni kama vile mtama ambao ni zao la chakula lakini watu hulitumia kuundia pombe, miwa ni sukari lakini watu wengine huundia pombe, kadhalika na kwa minazi, mtama, ulezi ..
Swali: je! Sadaka ya kutikiswa inayoongelewa katika agano la kale ilikuwaje? na je! bado ipo katika agano jipya. Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa uzima libarikiwe daima.. Karibu tujifunze biblia (Neno la Mungu) lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu(Zab119:105) Tukisoma katika Agano la kale Mungu aliamuru zitolewe sadaka mbali mbali, ..
Bwana Yesu Asifiwe. Jibu: habari hii utaipata katika matendo 15.. Matendo 15:37 ″Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyeitwa Marko pamoja nao. 38 Bali Paulo HAKUONA VEMA kumchukua huyo aliyewaacha huko pamfilia,asiende nao kazini. 39 Basi palitokea mashindano baina yao hata wakatengana….” Tukianzia sura ya 13:13 utaona Yohana hakuwa radhi kuongozana na Paulo na Barnaba kwa kuogopa ..
Bwana Yesu asifiwe. Jibu: suala la kufunga ndoa lipo kibiblia kabisa ( ni Agizo la Mungu) lakini harusi ni karamu au sherehe tu kuadhimisha tukio Hilo la muhimu kati ya wahusika [Bibi na Bwana Harusi]. Sasa sherehe hizo huenda kulingana na Mila na Desturi za mahali husika. Utaona pia Yesu katika mifano yake aliwahi pia ..
Shalom. Najua ushawahi kujiuliza ni kwa Nini Kila nchi Ina bendera zenye rangi mbalimbali, ambapo Kila rangi huwakilisha kitu fulani mfano Tanzania ina rangi nne [Bluu, kijani, Nyeusi na njano]. Kila moja inawakilisha jambo fulani kuhusu Tanzania, ambalo litamjulisha Mtu kulihusu kabla hata hajafika.. > Kijani: uoto wa asili > Bluu: Bahari na vyanzo vingine ..
Bwana wetu Yesu Kristo Asifiwe! Swali: Ni mizaha Gani inayoongelewa zaburi 1:1? Kuna tofauti kati ya mizaha na utani? Kama hamna utofauti, je? Hata kutaniana na mtu ni dhambi? Jibu: tusome.. Zaburi 1:1 “Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha”. Imezungumzia ..
Shalom. Kifo cha kuhani wa Mungu Eli kilikuwa kwa kuvunjika shingo SI namna nyingine yoyote pia kama funzo kwetu kuhusu UTII dhidi ya Maagizo ya Mungu.. Mithali 29:1 “Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa”. Eli alikuwa kuhani kwa miaka 40, akiongoza pamoja na wanawe wawili [Hofni na Finehasi], lakini wanawe hawa ..