Kati ya jambo muhimu ambalo unapaswa kulifahamu kwa undani zaidi ni kuhusu Roho Mtakatifu. Kwasababu Roho Mtakatifu ndio ukamilifu wa sauti ya Mungu kwetu.. Leo kwa neema za Mungu tutaenda kutazama kazi kuu tatu za Roho Mtakatifu katika huu ulimwengu, lakini awali ya yote kabla ya kwenda kuzitazama hizo kazi hebu tuweke msingi kidogo wa ..
Category : Maswali ya Biblia
Tusome.. 1Wakorintho 12:3 “Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.” Kikawaida kila mtu anaweza kusema “Yesu ni Bwana”, hata walevi, waasherati,wauaji,wachawi, n.k, kwa ujumla mtu yoyote anaweza kusema “Yesu ni Bwana” pasipo kujalisha hali yake, ..
Shalom karibu tujifunze Neno la Mungu.. Leo kwa Neema za Bwana tutaangalia mambo makuu matatu yanayouvuta uwepo wa Roho Mtakatifu karibu yetu Jambo la kwanza: MAOMBI Maombi ni jambo la kwanza linalovuta uwepo wa Roho Mtakatifu ndani yetu. Tunapokuwa watu wa kuomba mara kwa mara tunamkaribisha Roho Mtakatifu azidi kutusogelea kwa ukaribu na kutusaidia ..
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Karibu tujifunze biblia, Kabla hatujaingia ndani kufahamu tofauti iliyopo kati ya “Kipawa na karama” hebu tuutafakari kwanza mfano ufuatao ili tuweze kuelewa; Watu wawili wamepewa zawadi ya magari ya kutembelea, tena yanayofanana, kila mmoja la kwake.. Ila wa kwanza akalitumia lile gari kwa faida yake yeye, yaani kumrahisishia usafiri, na ..
SWALI, Naomba kufahamu sadaka za unga na kinywaji zilitumikaje, na zina ufunuo gani kwa kizazi chetu, JIBU: katika biblia enzi za agano la kale Mungu aliagiza zitolewe sadaka mbali mbali, na ilikuwa ni lazima hizo sadaka zifikishwe madhabahuni pake, maana ili sadaka iitwe sadaka ni lazima ipelekwe madhabahuni. Ikitolewa nje na madhabahu haiwi tena sadaka ..
Malimbuko ni sadaka inayotolewa kwenye kitu cha kwanza kupatikana, au kuzaliwa, au zao la kwanza Katika vitu vyenye uhai kama watoto, wanyama,ndege n.k na vitu visivyo na uhai kama mazao, fedha, n.k, kwa lugha nyingine inajulikana kama “first fruits”…enzi za agano la kale mtoto wa kwanza wa kiume kuzaliwa alitolewa malimbuko kwa Bwana. Tazama ..
Bwana Yesu asifiwe. Karibu tujifunze Maneno ya Uzima!.. Swali: Yesu alikuwa na maana Gani kumwambia yule mwanamke chakula Cha watoto hawapewi Mbwa? Jibu: Habari hiyo inayopatikana katika injili yaani mathayo 15:21, Marko7:24-30 unaweza kupitia sehemu zote kwa uchambuzi sahihi zaidi, ni habari inayohitaji umakini mkubwa katika kujifunza. Karibu tutafakari kwa pamoja mazungumzo haya.. Mathayo 15: ..
Shalom. Jibu: hakuna zao lililoumbwa na Mungu kwa lengo baya mfano kutengeneza Pombe, sigara n.k lakini tatizo linaanza pale linapotumiwa vibaya na sisi wenyewe. Baadhi ya mifano ni kama vile mtama ambao ni zao la chakula lakini watu hulitumia kuundia pombe, miwa ni sukari lakini watu wengine huundia pombe, kadhalika na kwa minazi, mtama, ulezi ..
Swali: je! Sadaka ya kutikiswa inayoongelewa katika agano la kale ilikuwaje? na je! bado ipo katika agano jipya. Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa uzima libarikiwe daima.. Karibu tujifunze biblia (Neno la Mungu) lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu(Zab119:105) Tukisoma katika Agano la kale Mungu aliamuru zitolewe sadaka mbali mbali, ..
Bwana Yesu Asifiwe. Jibu: habari hii utaipata katika matendo 15.. Matendo 15:37 ″Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyeitwa Marko pamoja nao. 38 Bali Paulo HAKUONA VEMA kumchukua huyo aliyewaacha huko pamfilia,asiende nao kazini. 39 Basi palitokea mashindano baina yao hata wakatengana….” Tukianzia sura ya 13:13 utaona Yohana hakuwa radhi kuongozana na Paulo na Barnaba kwa kuogopa ..