Shalom, karibu tujifunze Maneno maneno ya Uzima. Mithali 27:18 “ Yeye autunzaye mtini atakula matunda yake; Naye amhudumiaye bwana wake ataheshimiwa. “ Kuna Jumbe mbili za muhimu sana katika mstari huu navyo ni Autunzaye mtini atakula MATUNDA yake, pili ni Amhudumiaye bwana wake ataheshimiwa. 1. AUTUNZAYE MTINI ATAKULA MATUNDA YAKE Injili imeandikwa; si kwenye ..
Category : Maswali ya Biblia
Fatilia andiko hili.. Ayubu 22:12 “Je! Mungu hayuko mbinguni juu? Tena tazama umbali wa nyota, jinsi zilivyo juu! 13 Nawe wasema, Mungu anajua nini? Je! Aweza kuamua kati ya giza kuu? 14 Mawingu mazito ni kifuniko chake, hata asione; Naye yuatembea juu ya KUBA YA MBINGU. 15 Je! Utaiandama njia ya zamani Waliyoikanyaga watu waovu ..
Mawaa ni kasoro au dosari yoyote inayofanya kitu fulani kipoteze sifa yake iliyo nzuri. Kwa mfano mtu mwenye uso mzuri akipata jipu kwenye shavu tutasema ana mawaa kwa sababu lile jipu limeharibu uso wake… Au mtu aliyenunua bati kwa ajili ya kuezekea nyumba yake lakini bati lile likawa limetoboka hapo tunasema lina mawaa. Lakini pia ..
Neno hili tunapoliona katika maandiko lina maana mojawapo kati ya hizi tatu, 1.Kushiba kiasi cha kutotaka tena kile ulichokipokea awali 2.Kuwadharau watu wengine na kuwafanyia mambo ambayo hupaswi kuyafanya 3.Kujigamba /kujiinua na kudhani wewe unajitosheleza mwenyewe Vifungu vifuatavyo limetumika kwa maana ya kushiba.. Mithali 25:17[17]Mguu wako usiingie katika nyumba ya jirani yako ila kwa kiasi; ..
Shalom Mwana wa Mungu, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu Yesu Kristo. Mtume Paulo katika mstari huu ametaja mambo makuu matatu kabla ya kwenda kuyatazama kwa undani tusome mstari huo unasemaje! Wafilipi 3:2 “Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao” Mtume Paulo alikuwa akilionya ..
Shalom, Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Yohana 12:35 ” Basi Yesu akawaambia, Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo. Enendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza lisije likawaweza; maana aendaye gizani hajui aendako.” Jibu: katika maisha yake hapa duniani Bwana Yesu alijilinganisha na Nuru ya Ulimwengu huu(Jua); na alisisitiza hili sana katika mafundisho yake, ..
Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima. Kabla ya kwenda kutazama maana halisi ya mstari huu ni vizuri tukajua kwanza zamani makaburi yalikuwa ni ya aina gani. Makaburi ya zamani yalikuwa ni ya tofauti kidogo na ya sasa.Kama tunavyojua Makaburi ya kipindi hiki ni Makaburi yanayochimbwa kwenda chini kaa ..
JIBU.. Kuhadaa ni kudanganya yaani kutumia njia ya uongo/ ya mkato ili kiufanikisha jambo fulani… Tunalipata neno hili Katika vifungu hivi, Mwanzo 31:20 “Yakobo akamhadaa Labani, Mshami, kwa kuwa hakumwambia ya kwamba anakimbia” Mithali 12:5 “Mawazo ya mwenye haki ni adili; Bali mashauri ya mtu mwovu ni hadaa” Warumi 1:28 Na kama walivyokataa kuwa na ..
Tusome… Mwanzo 37:6 “akawaambia, Tafadhalini, sikieni ndoto hii niliyoiota. 7 Tazama, sisi tulikuwa tukifunga miganda shambani, kumbe! Mganda wangu ukaondoka ukasimama, na tazama, miganda yenu ikazunguka ikainama mbele ya mganda wangu. 8 Ndugu zake wakamwambia, Je! Kweli wewe utatumiliki sisi? Nawe utatutawala sisi? Wakazidi kumchukia kwa ajili ya ndoto yake, na kwa maneno yake”. ..
Libarikiwe Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. 1 Wakorintho 2:2 “Maana naliazimu nisijue neno lo lote kwenu ila Yesu Kristo, naye amesulibiwa.” Haya yalikuwa ni maneno ya waraka wa mtume Paulo kwa kanisa la Korintho. Kwa lugha rahisi zaidi tuyaweke hivi.. “Nilipokuja kwenu ninyi Wakorintho Nalikusudia kufahamu yale mnayoyajua kuhusu YESU KRISTO ambaye amesulibiwa! si ..