Category : Maswali ya Biblia

Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu, Ulishawahi kujiuliza maana ya hili neno na asili yake ni nini, jehanamu ni neno lenye asili ya kiyunani lenye chimbuko la neno Gehenna ambapo sasa kwa asili ya kiyahudi ni ge-hinnom Lenye maana ya bonde la Mwana wa hinomu, eneo hili lilikuwa kusini mwa Yerusalemu na kujulikana kama ,Toffethi, ..

Read more

Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa kristo mfalme. Maskini Hutumia maombi pale anapohitaji kazi au jambo fulani.japo wapo matajiri wanaojisongeza mbele za bwana na kujishusha pale wanapokumbana na shida na taabu zinazotawala katika maisha yako huweza kujishusha kwa Mungu na muda mwingine kwa wanadamu pia. Pia wapo matajiri wasioweza kujishusha kwakuwa Wana kiburi, ..

Read more

  JIBU, Watu wengi wamekuwa na imani hii kwamba kuna uwezakano wa kumtoa mtu kuzimu (kwenye mateso) kwa kumuombea, jambo ambalo halina ukweli wowote kulingana na maandiko, kwasababu kama hilo linawezekana basi pia kuna uwezakano wa kumtoa mwenye haki kwenye paradiso, Kama jambo hilo la kumtoa mwenye haki paradiso haliwezekani basi fahamu kabisa na maombi ..

Read more

  Shalom, Karibu tujifunze Neno la Mungu.. Kuzimu ni sehemu mbaya sana na yenye mateso makali yasiyoelezeka, ni mangojeo ya wale wote waliokufa kwenye dhambi, waliomkataa Bwana Yesu mioyo mwao, sasa wakifa ndipo wanapelekwa kuzimu, ni mahali ambapo hutamani hata adui yako awepo huko kwa hayo mateso yake.. Tunasoma hapa, Marko 9:43 “Na mkono wako ..

Read more

  Shalom, karibu tujifunze Maneno ya Uzima ya Mwokozi Wetu Yesu Kristo.. SWALI: Naomba kufahamu, je upo uthibitisho wowote wa mateso ya kuzimu kwa wale watakaokufa Katika dhambi, Hebu tusome.. Luka 16:22 “Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. 23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, ..

Read more

Nakusalimu katika  jina la Mwokozi wetu Yesu karibu tujifunze neno la Mungu .. Tusome [2]Tajiri na maskini hukutana pamoja; BWANA ndiye aliyewaumba wote wawili. Jambo tunanalopaswa kufahamu wanadamu wote waliopo duniani, aliyewaumba ni Mungu tu, hakuna mwanadamu ambaye amejiweka mwenyewe hapa Duniani, kwahiyo hata haya makundi mawili ya tajiri na maskini yote ni Mali ya ..

Read more

Shalom, karibu tuongeze maarifa.. Sote tunafahamu wingi wa neno mlango ni Milango, kwa kuwa malango na milango ni neno moja linalofanana, Bwana Yesu alilitakamka neno hili,.. Mathayo 16:18 “ Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; WALA MILANGO YA KUZIMU HAITALISHINDA. 19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa ..

Read more

Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Mungu muumba wetu. Neno la Bwana linasema. Ufunuo 1: 17 “…Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho, 18 na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu”. Alimaanisha kuwa hizo funguo Yesu hakuwa ..

Read more