Category : Uncategorized

Lakini nakujua, kuketi kwako, na kutoka kwako, na kuingia kwako; Isaya 37:28 “Lakini nakujua, kuketi kwako, na kutoka kwako, na kuingia kwako; NA GHADHABU YAKO ULIYONIGHADHIBIKIA.” Watu wengi huwa wanadhani wanapofanya maovu na huku hamna hatua yoyote inayochukuliwa na Mungu dhidi yao, wanafikiri au wanadhani labda Mungu hajui kinachoendelea juu ya maisha yao. Hivyo wanaendelea ..

Read more

NIMEOKOKA NAMPENDA YESU. Shalom: jina la Bwana Yesu libarikiwe. Karibu tuongeze ufahamu wa kumjua Mungu. Unaelewa maana halisi ya kuokoka na kumpenda Yesu? Katika  siku hizi za mwisho, Neno hili “kuokoka na kumpenda Yesu” au kukiri ukristo. Limekuwa likitumiwa kinyume na ukweli wa Neno lenyewe. Kwani kila mtu sasahivi ukimuuliza umeokoka? Moja kwa moja atakujibu ..

Read more

MKUMBUKE MUUMBA WAKO SIKU ZA UJANA WAKO Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa uzima libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Kristo. Neno la Mungu linasema… “Maombolezo 3:27 “Ni vema mwanadamu aichukue nira Wakati wa ujana wake.” Vijana wengi wanadhani kumtafuta Mungu ni mpaka uzeeni, mara nyingi utasikia wakisema mpaka niutumie ujana wangu kwanza vizuri… mambo ..

Read more

    YATAFAKARI MATESO YA BWANA YESU Hii neema ya wokovu  ambao unapatikana sasa bure, tusidhani yule aliyetuletea hakuingia gharama yoyote kuupata,…haikuwa ni jambo la kutamka tu na kusema niaminini mimi mtaokoka!. Kristo ilimlazimu aingie gharama ili kukamilisha kitu kinachoitwa WOKOVU. Kwani wokovu ili ipatikane ina kanuni yake, ilimpasa mtu apatikane ambaye atatolewa kama sadaka, ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe, karibu tena tujifunze Neno la Mungu kama maandiko matakatifu yanavyosema katika zaburi 119:105 Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu. Kuligana na swali letu ili tuweze kuelewa zaidi tusome kwanza kifungu hiki Ufunuo 21:8 “BALI WAOGA, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na ..

Read more

Choyo ni kitendo cha mtu kuwa na tamaa kubwa, mfano tamaa ya mali, uongozi, au chakula, na hii mara nyingi huambatana na ubinafsi, yaani umimi na kutumia vitu Kwa pupa ilimradi tu kumyima au kuwanyima watu wengine wasipate. Mithali 21:26 “Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi”. Tabia hii si ..

Read more

JIBU… Ufisadi kibiblia ni tofauti na jinsi watu wanavyoitafsiri, kikawaidia ufisadi unatafsirika kama kuhujumu uchumi wa nchi au shirika fulani Lakini kibiblia ufisadi hautafsiriki hivyoUfisadi kibiblia unamweleza mtu mwenye tabia ya uzinzi na uasherati uliozidi kupita kiasi kwa maana nyingine kundi hili linajulikana kama makahaba au Malaya Hivyo unapoona neno hili katika biblia moja kwa ..

Read more

JIBU… Shekina au shekhinah /schechinah, Ni neno la kiyahudi linalomaanisha, “kutua” au “kuweka makao” au “makazi” ya uwepo wa Mungu duniani… Basi utukufu wa shekina maana yake ni kujifunua kwa uwepo wa Mungu kwa dhahiri duniani, na kujifunua kwake kunaweza kuchukua mfumo wa vitu mbalimbali vya asili kama vile moto, wingu,moshi,mwanga, kijiti kinachoteketea n.k.,.. Shekina ..

Read more