LABDA WATASIKIA NA KUGHAIRI NJIA ZAO MBAYA. Jina la Bwana Yesu libarikiwe karibu tujifunze habari njema. Kabla Mungu kuleta mabaya kwa mtu au taifa Fulani huwa anatanguliza kwanza kumuonya yule mtu au lile taifa, kwasababu ni Mungu mwenye huruma na upendo hapendi kuwatesa wanadamu. Maombolezo 3:33 “Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.Wala kuwahuzunisha”. Kwasababu hiyo ..
Category : Uncategorized
WATU HAWA NI WATU WA DUNIA HII TU. 1Yohana 4:5 “HAO NI WA DUNIA; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia [6]Sisi twatokana na Mungu. YEYE AMJUAYE MUNGU ATUSIKIA; YEYE ASIYETOKANA NA MUNGU HATUSIKII. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu. Ni vizuri tufahamu wana wa Mungu kuwa hapa duniani tupo ..
REMEMBER ๐๐ข๐งโ๐ฆ ๐ช๐๐๐: Luke 17:28-32 KJV “Likewise also as it was in the days of Lot; they did eat, they drank, they bought, they sold, they planted, they builded; [29] but the same day that Lot went out of Sodom it rained fire and brimstone from heaven, and destroyed them all. [30] Even thus shall ..
THE SIN OF LYINGย ๐๐๐ฅ๐จ๐ฏ๐๐, ๐๐๐ฒ๐ฟ๐ ๐๐ถ๐ฒ ๐๐ ๐ฎ ๐ง๐ถ๐ฐ๐ธ๐ฒ๐ ๐๐ผ ๐๐ฒ๐น๐น. Lying is alarmingly common; even among professing believers… yet Scripture is clear: ๐ฅ๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ฌ ๐ญ๐ก๐ ๐ง๐๐ญ๐ฎ๐ซ๐ ๐จ๐ ๐๐๐ญ๐๐ง, not the life of Christ. Jesus said.. โI am the way, ๐ญ๐ก๐ ๐ญ๐ซ๐ฎ๐ญ๐ก, and the lifeโ (John 14:6). While the devil โ๐๐๐จ๐๐ ๐ง๐จ๐ญ ๐ข๐ง ๐ญ๐ก๐ ..
Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani? Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze maneno ya uzima. Kabla hutujaendelea mbele hebu tafakari haya.. >Je! tumaini lako lipo wapi? >Je! uzima wako upo wapi? >Je! Hazina yako ipo wapi? >Je umejitajirisha kwa nani? Bila shaka majibu unayo mwenyewe.. Lakini hekima ya Mungu inatushaurije.. Luka 12:16-21 ..
FUMBUA MACHO YAKO UONE Biblia ilitabiri kuwa katika siku za mwisho watakuja watu wenye kudhihaki wakisema kurudi kwa Bwana YESU ni habari za kutunga tu, wanasema dunia hii itakuwepo milele, hakuna hukumu; lakini watu hawa biblia inasema “wanafumba macho yao wasione” wasione kuwa hii dunia iliwahi kuangamizwa kwa gharika na sasa imewekewa akiba kuangamizwa kwa ..
ACHA KUZIBA MASIKIO YAKO Shalom karibu tujifunze maneno ya uzima. Tunasoma kitabu cha Matendo ya Mitume 7:54-58, Neno la Mungu linasema.. “Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno. [55]Lakini yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kuume wa Mungu. [56]Akasema, Tazama! ..
ENYI WAPUMBAVU, LINI MTAKAPOPATA AKILI? Zaburi 94:7 “Nao husema, BWANA haoni;ย Mungu wa Yakobo hafikiri. [8]Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini;ย Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili? Mpumbavu ni nani kibiblia? Mpumbavu ni mtu asiye na akili, na hapa hatuzungumzii akili ya darasani au kuwa na maarifa ya kidunia, hapana, unaweza ukawa na degree zote au ukawa namba ..
ONJENI, MWONE KUWA BWANA YU MWEMA Zaburi 34:8 Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema;ย Heri mtu yule anayemtumaini. Ulishatembelea soko la vyakula, na kukutana na wafanya-biashara wengi, halafu kila mmoja anakuvutia upande wake ununue bidhaa yake. Kwakawaida si rahisi kuchukua maamuzi, kwa hofu ya kuuziwa kitu kusicho bora. Wafanyabiashara wengi hulijua hilo, hivyo wanachokifanya ni ..
USINIPUNGUZIE MWENDO. Tukiwa bado tupo mwanzo wa mwaka, ni wakati wa kushika sana vile tulivyo navyo na kuendelea mbele, wala si wakati wa kurudi nyuma kabisa au kupunguza mwendo uliokuwa nayo. Ulikuwa upo mbali na anasa mwaka jana, basi huu mwaka unapasawa kwenda mbali zaidi, ulikuwa umejitenga na mambo ya kiulimwengu mwaka jana, mwaka huu ..