Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Wagerasi ni watu waliokuwa wakiishi katika mji wa Gerasi, Kusini mashariki mwa Bahari ya galilaya. Ilikuwa ni moja ya nchi ya Dekapoli iliyokuwa ya watu mataifa. Tunaona ni kule Yesu aliko kutana na aliyekuwa na kichaa kikali akamponya.. Marko 5:1-3 [1]Wakafika ng’ambo ya bahari mpaka nchi ya ..
Archives : August-2024
Jina la Bwana wetu Yesu Kristo na libarikiwe. Turejee jibu kutoka 5:14-16 “Na WANYAPARA wa wana wa Israeli, ambao wasimamizi wa Farao wamewaweka juu yao, wakapigwa, wakiambiwa, Kwa nini hamkutimiza kazi yenu jana na leo; kwa kufanya matofali kama hapo kwanza? 15 Basi WANYAPARA wa wana wa Israeli wakaenda, wakamlilia Farao, wakisema, Mbona umetutendea hivi, ..
Shalom. Kaini anapewa hukumu baada ya kumwua Nduguye habili Mwanzo 4: 9 “Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? 10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi. 11 Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ..
Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo Wana wa Israeli walipokuwa jangwani Walipewa mana, lakini haikuwa na Ubora sawa, japokuwa ni mana ileile. Sasa ni kivipi? Majibu tunayapata kitabu Cha kutoka 16:19-36.. 1. Kulikuwa na Mana iliyodumu siku moja Hii iliokotwa kila asubuhi, na kupikwa na iliyeyuka baada ya kupigwa na jua. Tunasoma pia ..
Shalom, karibu tujifunze Maneno ya Uzima. Mungu aliupenda Ulimwengu kwa sababu asili ya Mungu wetu ni UPENDO, tusome.. 1Yohana 4:16 ” Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini. MUNGU NI UPENDO, naye akaaye katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.” Lakini si kwamba Mungu aliupenda Ulimwengu na mambo ..
Bwana wetu Yesu Kristo na Asifiwe Mwandishi wa kitabu Cha mathayo. JE ni nani? Jina la kitabu lajieleza lenyewe “INJILI KAMA ILIVYOANDIKWA NA MATHAYO MTAKATIFU” kuonesha Mwandishi ni Mathayo, Sasa swali linakuja, Je! Ni mathayo yupi? Biblia haijaeleza moja kwa moja kuwa ni yupi, lakini wanazuoni wengi na watafiti wa historia ya biblia wanahitimisha kuwa ..
Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Kuhusu jibu la sifa na LAMI ni Nini kama inavyotumika katika Kutoka 2:3, turejee Kutoka 2:3 “Na alipokuwa hawezi kumficha tena, akampatia kisafina cha manyasi akakipaka SIFA NA LAMI, akamtia mtoto ndani yake, akakiweka katika majani kando ya mto” Sifa ni aina ya nta inayopatikana au kuzalishwa ..
Shalom, Biblia inasema na tumfahamu sana Yesu Kristo hata tufikie kimo cha ukamilifu (Waefeso 4:13), Imekuwa ikiaminika kwa asilimia kubwa kuwa mtu aliyeshiba siku ni yule aliyeishi miaka mingi, au mwenye miaka mingi akiwa hai, jambo ambalo halina ukweli kulingana na biblia.. Kama ni msomaji wa maandiko utagundua hilo siyo jambo jipya, kwasababu kuanzia agano ..
Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Swali: nani aliyeandika kitabu Cha Mithali? Jibu: “.. SULEMANI, MWANA WA DAUDI..” Maneno haya tunayapata Mwanzo kabisa wa kitabu hiki, Mwandishi akijitaja mwenyewe kuwa ni Sulemani Soma.. Mithali 1:1 “Mithali za SULEMANI, mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.2 Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu” Neno ..
Jina la Bwana wetu Yesu Kristo na libarikiwe. Karibu tujifunze Maneno ya Uzima. Tusome.. Mambo ya Walawi 21:16-24; [16]Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia, [17]Nena na Haruni, umwambie, Mtu awaye yote wa kizazi chako wewe katika vizazi vyao, aliye na kilema, asikaribie kusongeza chakula cha Mungu wake. [18]Kwa kuwa mtu awaye yote aliye na ..