Shalom mwana wa Mungu karibu tena katika kujifunza. Tukianzia sura hiyo ya 16 hadi 17 kuna jambo ambalo alilieleza Paulo hadi akasema yeye ameaminiwa uwakili tusome 1Wakorintho 9:16 “Maana, ijapokuwa naihubiri Injili, sina la kujisifia; maana nimewekewa sharti; tena ole wangu nisipoihubiri Injili! 17 Maana nikiitenda kazi hii kwa hiari yangu nina thawabu; ila ikiwa ..
Archives : November-2024
Shalom mwana wa Mungu muumbaji wa vyote karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Yerusalemu maana yake ni mji wa amani ambapo ndiyo mahali penye msingi wa Imani yetu. Mji huu wa yerusalemu kabla haujapata sifa hii ya amani ulikuwa ukiitwa mji wa wakanaani kipindi ambacho wayahudi walikuwa hawajaimiliki nchi yao ..
Nakusalimu kwa Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tena katika kujifunza Neno lake litupalo nuru.. Maana halisi ya neno hilo “kuiaua nchi” ni kuitembelea nchi au kuizuru, mfano mzuri ni kwa watalii pale wanapokuja kwa ajili ya kutalii kutoka katika nchi zao, au wale watu wanaotumwa kwenda kupepeleza nchi fulani, huko ndiko “kuiaua nchi” ..
Maana ya kalibu ni TANURU, pale mazingira yanaposafishwa mara nyingi zile nyasi au takataka huchukuliwa kisha hupelekwa kuchomwa moto, sasa hicho kitendo cha kuchukua majani na kwenda kuyateketeza katika moto hiyo sehemu ndiyo inaitwa kalibuni yaani “TANURU” Mathayo 6:30 “Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatazidi ..
Utukufu kwa Bwana Wetu Yesu Kristo,aliyetupa neema ya kutafakari Maneno yake ya uzima.. Yamkini umekuwa ukijiuliza sana kwanini maandiko yaseme damu ya Yesu Kristo inanena mema kuliko ile ya habili, na leo kwa Neema za Bwana tutaangazia.. Kama ni msomaji wa maandiko utakuwa unaelewa habari ya kaini na Ndugu yake habili, jinsi dhambi ya wivu ..
Karibu tujifunze Maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Pengine ulishawahi kujiuliza hili jambo na usipate majibu kamili, au lilishawahi kukuletea sintofahamu ndani yako, ni kuhusiana na damu ya Yesu na jina la Yesu,zidi kusoma nakala hii ikupe uelewa zaidi wa kimaandiko.. Ni sawa tuchukulie uhalisia wa maisha ya kawaida tu, hakuna mtu asiyekuwa ..
Shalom mwana wa Mungu karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa mwokozi wetu Yesu Kristo. Maandiko yanasema… “1Wakorintho 7:34 “Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe. 35 Nasema ..