Je! una nia gani na kile unachoomba kwa Bwana. Shalom, jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe Mara nyingi tumekuwa tukipeleka maombi yetu kwa Mungu na hatuoni kujibiwa mpaka wakati mwingine tunakata tamaa na kusema labda Mungu hasikii. Ukweli ni kwamba Mungu wetu anasikia sana na anajibu kabisa kwa wakati wala hakawii kujibu… anasema sikio lake ..
Archives : July-2025
BALI ALIELEKEZA USO WAKE JANGWANI Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa uzima na Mfalme wa Wafalme libarkiwe daima. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Kama wewe ni msomaji mzuri wa biblia, bila shaka utakuwa unaifahamu ile habari ya Balaamu na wana wa Israeli jangwani. Sasa pamoja na mengi mabaya ambayo hatupaswi kujifunza kwake, lipo jambo ..
Kaa mahali ambapo Mungu amekusudia uwepo!. Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Mahali ambapo Mungu amepakusudia kwa kila mtoto wake kukaa na kukuzwa ni sehemu moja tu nayo inaitwa kanisa. Agenda au mkakati wa Mungu kukutengeneza na kukuimarisha kiroho lakini pamoja na kuwakomboa watu kutoka gizani na ..