KWASABABU MSIPONISADIKI YA KUWA MIMI NDIYE MTAKUFA KATIKA DHAMBI ZENU. Yohana 8:21-24 “Basi akawaambia tena, Mimi naondoka, nanyi mtanitafuta; nanyi mtakufa katika dhambi yenu; mimi niendako ninyi hamwezi kuja. [22]Basi Wayahudi wakasema, Je! Atajiua! Kwa kuwa asema, Mimi niendako ninyi hamwezi kuja? [23]Akawaambia, Ninyi ni wa chini, mimi ni wa juu; ninyi ni wa ulimwengu ..
Archives : August-2025
Iweke sadaka yako juu ya mwamba halisi. Shalom mtu wa Mungu.. Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ni siku nyingine tena Bwana ametupa neema ya kuendelea kuona jua lake.. utukufu na heshima ni zake milele. Karibu tujifunze Neno lake ambalo ni mwanga wa njia zetu. Na siku ya leo tutajifunza somo linalohusu sadaka, ikiwa utahitaji kufahamu zaidi ..
Kwanini ni lazima kuzaliwa mara ya pili? Yohana 3:3 “Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Hapo maandiko yanatupa jibu la moja kwa moja kwamba mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu. Ndio maana ni lazima kuzaliwa mara ya pili. Sasa, kabla hatujaona ..