
MAMBO UNAYOPASWA KUYAEPUKA KATIKA MAOMBI YA MFUNGO ILI UWE NA MAOMBI YENYE MATOKEO. Tutatazama mambo baadhi ambayo tunapaswa kuyaepuka kipindi ambacho tutakuwa katika Maombi ya mafungo, ili tuwe na maombi yenye MATOKEO… 1. KUFUNGUA BILA KUOMBA Ukiwa katika kipindi cha mfungo kisha ukamaliza maombi yako labda ya masaa 12, 24 nk, na huku ukiwa ujachukua ..