Author : magdalena kessy

SWALI, Naomba kufahamu sadaka za unga na kinywaji zilitumikaje, na zina ufunuo gani kwa kizazi chetu, JIBU: katika biblia enzi za agano la kale Mungu aliagiza zitolewe sadaka mbali mbali, na ilikuwa ni lazima hizo sadaka zifikishwe madhabahuni pake, maana ili sadaka iitwe sadaka ni lazima ipelekwe madhabahuni. Ikitolewa nje na madhabahu haiwi tena sadaka ..

Read more

  Malimbuko ni sadaka inayotolewa kwenye kitu cha kwanza kupatikana, au kuzaliwa, au zao la kwanza Katika vitu vyenye uhai kama watoto, wanyama,ndege n.k na vitu visivyo na uhai kama mazao, fedha, n.k, kwa lugha nyingine inajulikana kama “first fruits”…enzi za agano la kale mtoto wa kwanza wa kiume kuzaliwa alitolewa malimbuko kwa Bwana. Tazama ..

Read more

Swali: je! Sadaka ya kutikiswa inayoongelewa katika agano la kale ilikuwaje? na je! bado ipo katika agano jipya. Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa uzima libarikiwe daima.. Karibu tujifunze biblia (Neno la Mungu) lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu(Zab119:105) Tukisoma katika Agano la kale Mungu aliamuru zitolewe sadaka mbali mbali, ..

Read more

  Kuna maswali ambayo yamekuwa  yanaulizwa kuhusu zaka, haya ni maswali 8 ambayo yanaulizwa sana 1.Nani anayetakiwa kutoa fungu la kumi? 2.Fungu la kumi linatolewa katika mtaji au faida? 3.Zawadi tunazopokea tunapaswa kuzitolea fungu la kumi? 4.Fedha ya mkopo inatakuwa kutolewa fungu la kumi? 5.Ikiwa mshahara wangu ni milioni moja lakini kuna makato ya serikali ..

Read more

Je sadaka ya kinywaji ipoje? Katika agano la kale ‘Divai’ peke yake ndiyo ilikuwa sadaka ya kimiminika iliyotolewa mbele ya Mungu.. Walawi 23:13 “Na sadaka yake ya unga itakuwa sehemu za kumi mbili za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, ni kafara iliyosongezwa kwa Bwana kwa moto kuwa harufu ya kupendeza; na SADAKA YAKE ..

Read more

  Je sadaka ya moyo ipoje? Tusome, Walawi 22:21 “Na mtu awaye yote atakayemtolea BWANA dhabihu katika sadaka za amani, ili kuondoa nadhiri, au SADAKA YA MOYO WA KUPENDA, katika ng’ombe, au katika kondoo, atakuwa mkamilifu, apate kukubaliwa; pasiwe na kilema ndani yake cho chote”. Sadaka ya moyo wa kupenda ni sadaka iliyotolewa na wana ..

Read more

  Shalom, karibu tujifunze neno la Mungu ambalo ndilo mwanga wa njia zetu na taa ya miguu yetu (Zaburi 119:105) Ni muhimu sana kutoa sadaka, kwa kulitambua hilo shetani anatumia njia tofauti tofauti ili kuzuia watu wasitoe sadaka maana anatambua nguvu iliyo ndani ya sadaka.. Njia mojawapo anayotumia ni kuinua watu ambao wanalitumia vibaya neno ..

Read more

  Bwana wetu Yesu Kristo Mwokozi wa ulimwengu Apewe sifa daima, karibu katika darasa la maarifa ya kiMungu tujifunze biblia..Neno la Mungu wetu ambalo ndio mwanga wa njia zetu na taa ya miguu yetu  Zab 119:105.. Siku ya leo tutaenda kujifunza kwa ufupi kuhusu kutoa Zaka au fungu la kumi, Katika biblia Zaka ni sehemu ..

Read more

  SWALI.. Kwa nini Mungu aliikataa sadaka ya mazao kutoka kwa kaini na akaikubali sadaka ya wanyama kutoka kwa Habili? Je wanyama ni bora kuliko mazao mbele za Mungu? JIBU..Tusome Mwanzo 4:4 “Habili naye akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona za wanyama. Bwana akamtakabali Habili na sadaka yake; 5 bali Kaini hakumtakabali, wala sadaka yake. ..

Read more

  SWALI…Kwa nini tunatoa sadaka? Kuna muhimu gani wa kutoa sadaka? Je ni dhambi usipotoa sadaka? JIBU..Kutoa ni wajibu wa kila mtu aliyemwamini Kristo iwe ni kutoa sadaka au kitu kingine chochote. Mtu asiyetoa bado hajabadilishwa moyo wake na maisha yake yapo mbali na Mungu.   Sisi tunatoa sadaka kwa sababu hata tulivyonavyo tumepewa na ..

Read more