Author : magdalena kessy

Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu wetu ambalo ndilo taa yetu.. Hakuna jambo kubwa na la muhimu kama hatma yako ya mwisho ni nini, wengi tumekuwa tukichezea maisha yetu, kwa kufanya tunayoyataka, ila kiuhalisia sivyo Mungu anavyotaka tuwe, kumbuka maisha unayoyaishi leo ndio jawabu la kesho yako jinsi litakavyokuwa, huna budi kujitafakari sana kila wakati ..

Read more

  Shalom mwana wa Mungu, Wewe kama mwana wa Mungu lazima ufahamu kuna umuhimu mkubwa wa kuwa na ushirika, na ushirika unatokana na kushiriki Katika Mambo fulani, na ili ushirika ule ulete matokeo ni lazima uambukizwe aina ya sifa au tabia ya kile unachoshiriki nacho kwa wakati… Ikiwa kuna ushirika unaleta sifa njema, basi fahamu ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu, Ulishawahi kujiuliza maana ya hili neno na asili yake ni nini, jehanamu ni neno lenye asili ya kiyunani lenye chimbuko la neno Gehenna ambapo sasa kwa asili ya kiyahudi ni ge-hinnom Lenye maana ya bonde la Mwana wa hinomu, eneo hili lilikuwa kusini mwa Yerusalemu na kujulikana kama ,Toffethi, ..

Read more

  JIBU, Watu wengi wamekuwa na imani hii kwamba kuna uwezakano wa kumtoa mtu kuzimu (kwenye mateso) kwa kumuombea, jambo ambalo halina ukweli wowote kulingana na maandiko, kwasababu kama hilo linawezekana basi pia kuna uwezakano wa kumtoa mwenye haki kwenye paradiso, Kama jambo hilo la kumtoa mwenye haki paradiso haliwezekani basi fahamu kabisa na maombi ..

Read more

  Shalom, Karibu tujifunze Neno la Mungu.. Kuzimu ni sehemu mbaya sana na yenye mateso makali yasiyoelezeka, ni mangojeo ya wale wote waliokufa kwenye dhambi, waliomkataa Bwana Yesu mioyo mwao, sasa wakifa ndipo wanapelekwa kuzimu, ni mahali ambapo hutamani hata adui yako awepo huko kwa hayo mateso yake.. Tunasoma hapa, Marko 9:43 “Na mkono wako ..

Read more

  Shalom, karibu tujifunze Maneno ya Uzima ya Mwokozi Wetu Yesu Kristo.. SWALI: Naomba kufahamu, je upo uthibitisho wowote wa mateso ya kuzimu kwa wale watakaokufa Katika dhambi, Hebu tusome.. Luka 16:22 “Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. 23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, ..

Read more

Shalom, karibu tuongeze maarifa.. Sote tunafahamu wingi wa neno mlango ni Milango, kwa kuwa malango na milango ni neno moja linalofanana, Bwana Yesu alilitakamka neno hili,.. Mathayo 16:18 “ Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; WALA MILANGO YA KUZIMU HAITALISHINDA. 19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa ..

Read more

  MBINGUNI Maeneo mengi ya biblia yanaposema Mbinguni huwa yanamaanisha ni moja kwa moja kule Mungu alipo, anapokaa pamoja na malaika zake, ndipo huko Bwana Yesu alipokwenda kutuandalia makao, ambao kwa sisi watu wa Mungu, watakatifu bado hatujafika hata mmoja wetu.. Hiyo Ndio mbingu ya tatu ambayo alinyakuliwa mtume Paulo na kuonyeshwa vitu ambavyo kibinadamu ..

Read more

  Tusome… Ufunuo 20:11 “Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana. 12 Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa ..

Read more

  Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya Mungu yenye uzima. Tusome… Isaya 29:16 Ninyi mnapindua mambo; Je! Mfinyazi ahesabiwe kuwa kama udongo; kitu kilichomfinyangwa kimnene yeye aliyekifinyanga, Hakunifinyanga huyu; au kitu kilichoumbwa kimnene yeye aliyekiumba, Yeye hana ufahamu? Bila shaka kama we ni msomaji wa biblia naamini si mara ya kwanza kukutana ..

Read more