Author : magdalena kessy

Jina la Bwana libarikiwe, karibu tujifunze. Kipindi Musa anamuuliza Mungu kuhusu jina lake alitegemea kutajiwa jina fulani kama vile baali, Ashtoreth n.kZaidi tunaona Mungu anamjibu kwa jumla akisema, wakikuuliza jina langu waambie Mimi ni ” Niko ambaye Niko” Kutoka 3:14 Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma kwenu. Ukiangalia ..

Read more

Shalom, Karibu tuyatafakari Maneno yenye uzima.. Biblia inasema tumejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, na leo tutajifunza ni msingi gani tunaotakiwa kuufahamu zaidi.. Waefeso 2:20 [20]Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni. Ni kweli kupitia msingi huu wa mitume na manabii ambao ni ..

Read more

Bwana Yesu Kristo Asifiwe. Nikukaribishe tujifunze maneno ya Uzima JIBU: Hosea 12:7“NI MCHUUZI, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu .” Mchuuzi ni mtu anayejishughulisha na ununuaji wa bidhaa na kuzisafirisha kuziuza sehemu nyingine hususani nje ya nchi yake. Unaweza kupitia tena, utalipata katika Wimbo ulio Bora 3:6, Ezekiel 27:3, 27:20-22 pamoja na Isaya ..

Read more

Karibu tujifunze Maneno ya Uzima.. Mahali popote unapoona Mungu anasema ameliweka jina lake anamaanisha sehemu hiyo au kitu hicho ni ” kiteule chake yaani Amekichagua ” Au amekiweka wakfu kwa ajili ya kumwabudu, Kumtangaza, kumfanyia Ibada n.k si vinginevyo! Ni kitu,mtu au mahali popote ambapo pamewekwa wakfu kwa Mungu au kupakwa mafuta ya Utumishi, basi ..

Read more

JIBU, 1Wakorintho 1:25 “Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu’’ Unaweza ukawa umeshajiuliza haya maswali, Je Mungu ni mpumbavu? Mungu wetu ana udhaifu? Mtu yoyote aliyeumbwa ma Mungu akapewa akili na uwezo wa kutambua mambo mbalimbali ambayo Mungu amefanya kama vile kuumba sayari, ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze Maneno ya Uzima Swala la kuokoka peke yake halitoshi mbele za Mungu, kuna ngazi 7 ambazo ni lazima mtu wa Mungu azipande ili Mungu auone ukamilifu wako unapokuwa hapa duniani. Inatakiwa tuende mbele zaidi ya kuokoka na kubatizwa hatutakiwi tubaki hapo kwa sababu hatutakuwa na ushuhuda wowote na pengine tukafa kiroho. Mtume ..

Read more

Shalom mwana wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu… Biblia inatuambia roho mbaya kutoka kwa Bwana ikamjia Sauli, bila shaka unajiulza ni roho ya namna gani? Sote tunajua Mungu wetu hutupa roho nzuri na ya amani, sasa inakuwaje aachilie roho mbaya kwa mtu tena ambaye ameshamtia mafuta na roho hiyo inafanya uharibifu kwa watu wasio ..

Read more

Mathayo 5:21  Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu. 22  Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu yake hasira itampasa hukumu; na mtu akimfyolea ndugu yake, itampasa baraza; na mtu akimwapiza, itampasa jehanum ya moto Hapo tunaona Bwana anatupa uelewa mwingine wa Kuhusiana na dhambi ya kuua, kwasababu tokea hapo mwanzo ilidhaniwa ..

Read more

JIBU.. Sikukuu ya kiyahudi ijulikanayo kama Pasaka ilianza rasmi kipindi cha wana wa Israeli wanatoka nchi ya misri, ndipo Mungu akawapa agizo la kupaka damu ya mwanakondoo  Katika miimo ya na nguzo za milango yao ili yule malaika atakayepita kuua wazaliwa wa kwanza asiwadhuru wazaliwa wao.. Hata malaika yule alipopopita na kuiona ile damu ya ..

Read more

Neno hili sulubu ndilo hutoa maana ya neno sulubisha au sulibisha.. Na maana halisi ya sulubisha ni kuadhibu kwa kuning’iniza kwenye msalaba au mti,nguzo ndefu iliyonyooka kwa kufungiwa hapo au kugongelewa na misumari miguuni na mikononi na huachwa hapo hapo kwa mateso makali itakayokupelekea Mpaka kifo.. Na  adhabu hizi zilitumika kipindi cha zamani kwenye Ufalme ..

Read more