FAHAMU HATUA AMBAYO SHETANI ANATAKA UIFIKIE. shalom nakusalimu katika jina la Yesu Kristo, karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Shetani kuna mahali ambapo anataka kila mtu aliemwamini Yesu Kristo aifikie hatua Fulani na mtu huyo akishafikia katika hatua hiyo basi kwake shetani ni ushindi mkubwa sana maana kwa mtu huyo ni ngumu sana ..
Category : Biblia kwa kina
HAMANI BIN HAMADATHA ADUI YA WAYAHUDI. Jina la Bwana wetu YESU KRISTO aliye mkuu wa uzima wote litukuzwe. Karibu katika kujifunza NENO la Mungu ili tukue toka utukufu hata utukufu mpaka tutakapofikia kile kilele cha kumjua sana huyu mwokozi wetu Yesu. Leo kwa neema za Mungu tutajifunza kitabu cha Esta ile sura ya 3. Ikiwa ..
Nikatambua na tazama Siye Mungu aliyemtuma. Nehemia 6:11 “Nami nikasema, Je! Mtu kama mimi nikimbie? Naye ni nani, akiwa kama nilivyo mimi, atakayeingia hekaluni ili kuponya maisha yake? Sitaingia. [12]NIKATAMBUA, NA TAZAMA, SIYE MUNGU ALIYEMTUMA; lakini amefanya unabii huu kinyume changu; nao Tobia na Sanbalati ndio waliomwajiri. [13]Kwa sababu hii aliajiriwa, ili mimi niogope, nikafanye ..
UTAKATIFU NDIO TIKETI YA KUMUONA MUNGU. Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu. Neno la Mungu linasema.. “Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, NA HUO UTAKATIFU, AMBAO HAPANA MTU ATAKAYEMWONA BWANA ASIPOKUWA NAO;” (Waebrania 12:14). Andiko hilo ni muunganiko wa maneno mawili, Neno ..
Waepuke Wanaojiita Wakristo wa namna hii. Nakusalimu katika jina la Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Katika nyakati za mwisho hizi yapo makundi ya watu wanaojiita Wakristo lakini maisha yao yanatofauti kabisa wala hayaendani hata kidogo na Ukristo. Tofauti na ilivyozoeleka kwa watu kuwa ukristo au wakristo ni dini ..
Kila mtu kwa mkono mmoja alifanya kazi na kwa mkono wa pili alishika silaha. Hii ni habari ambayo tunaipata katika ujenzi wa lile hekalu la pili ambalo lilijengwa na akina Zerubabeli, Yoshua, Ezra na Nehemia baada ya kumobolewa na kuharibiwa na mfalme Nebukadreza. Kama tunavyofahamu ule ujenzi ulikuwa ni wa shida sana, ulikuwa ni wenye vikwanzo ..
SISI NI SHAMBA LA BWANA. Isaya 5:7 “Kwa maana shamba la mizabibu la BWANA wa majeshi ndilo nyumba ya Israeli, na watu wa Yuda ni mche wake wa kupendeza;..” Ikiwa umemwani Yesu Kristo na ukaamua kutubu dhambi na kumfuata kwa gharama zote.. basi fahamu kuwa we ni shamba lake. Na kama we ni shamba la ..
Je umekusudiwa uzima wa milele? Matendo ya Mitume 13:48 “Mataifa waliposikia hayo wakafurahi, wakalitukuza neno la Bwana, NAO WALIOKUWA WAMEKUSUDIWA UZIMA WA MILELE WAKAAMINI.” Shalom, karibu tujifunza Neno la Mungu.. Ni jambo la kuogopesha kusikia kuwa wapo watu waliokusudiwa uzima wa milele, na wapo ambao hawajakusudiwa uzima wa milele. Na hilo linatupa picha kuwa suala ..
BIDII YA EZRA Shalom Mwana wa Mungu, karibu tujifunze biblia. Kumbuka biblia kwa sehemu kubwa inaelezea historia ya maisha ya watu kadha wa kadha waliowahi kutokea ili tujifunze kwao yale mazuri. Kwahiyo usomapo habari za akina Nuhu, Ibrahimu, Sara, Musa, Yusufu, Ruthu, Daudi, Ayubu, Danieli, Paulo, Yohana, Mariamu na wengineo usisome tu kama hadithi ya ..
Jihadhari usipoteze nafasi ya kuingia mbinguni. (Sehemu ya kwanza) Ni vizuri tufahamu kuwa sio watu wote wanaojulikana kama wakristo wataingia mbinguni! Ni wale tu waliokuwa waaminifu mpaka mwisho ndio watakaongia katika ile mbingu mpya na nchi mpya. Na tunaingia tu kwa neema, lakini ni vizuri tuelewa mapema kuwa hii neema sio kama tunavyodhania kuwa tukishaokolewa ..