BWANA, UUACHE MWAKA HUU NAO. Biblia inatufananisha sisi na kama miti izaayo matunda, hivyo kila mmoja wetu anapaswa azae matunda kwa Mungu, kadhalika biblia imetuonya pia mti usiozaa matunda utakatwa, kama tunavyosoma mfano Bwana wetu alioutoa katika Luka 13:6 “Akanena mfano huu; Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake la mizabibu; akaenda akitafuta ..
Category : Biblia kwa kina
MWANZO WA MWAKA MPYA VAA SILAHA ZOTE ZA MUNGU Jina la Bwana YESU mkuu wa wafalme wa dunia (ufunuo1:5) na mkuu wa uzima libarikiwe daima. Heri ya mwaka mpya wa 2026, Karibu katika masomo yanayohusiana na mwanzo wa mwaka mpya..ili tuanze mwaka wetu na Bwana na tukapokee baraka tele za rohoni na mwilini. Ikiwa we ..
JE! UMETOLEWA MISRI? Jina la Mwokozi Yesu, libarikiwe. Karibu tujifunze maandiko, Neno la Mungu wetu ambalo ndio taa iongozayo miguu yetu, na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Safari ya wana wa Israeli kutoka Misri, kuelekea Kaanani, ni ufunuo kamili wa safari yetu ya Kristo kutuokoa katika dhambi na kutuingiza katika Neema ya wokovu. Musa anafananishwa ..
KUWA MTU WA KUTAFAKARI Mwanzo 24:63 Isaka akatoka ili KUTAFAKARI kondeni wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja. Nakusalimu katika jina tukufu la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Siku ya leo tutaenda kujifunza jambo moja ambalo ni muhimu kulitendea kazi katika safari yetu ya Imani, Na jambo lenyewe ..
Mavazi ya kikahaba ni mavazi ya aina gani? Mithali 7:7 “Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili, [8]Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake, [9]Wakati wa magharibi, wakati wa jioni, Usiku wa manane, gizani. [10]Na tazama, mwanamke akamkuta, ANA MAVAZI YA KIKAHABA, mwerevu wa moyo; [11]Ana kelele, na ukaidi; Miguu yake ..
Shalom nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. kuna mambo ya muhimu sana kama mwamini unayotakiwa kuyaelewa ama kuyafahamu juu ya Neno la Mungu? Kama usipoelewa kuna hatua hutafika kamwe. Kuna mambo mengi ya Msingi yanayokuhusu na ni kwa faida yako hutayafahamu na utaelendelea ..
NENO LA MUNGU NI KIOO Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia.. Neno la Mungu wetu linafananishwa na vitu vingi katika biblia, kuna mahali linafananishwa na “Taa” (Zab.119:105)”, sehemu nyingine linafananishwa na Upanga wa roho (Waebrania 4:12, Waefeso 6:17)” Na kuna sehemu linafananishwa na “Kioo”. Na leo tutajifunza ni kwa namna gani ..
KUWA MAKINI TUNAPIMWA KATIKA MIZANI 2 Samweli 2:3 “Msizidi kunena kwa kutakabari hivyo; Majivuno yasitoke vinywani mwenu; Kwa kuwa Bwana ni Mungu wa maarifa, NA MATENDO HUPIMWA NA YEYE KWA MIZANI”. Ndugu matendo yetu yanapimwa katika mizani kila siku yakilinganishwa na ya wengine kama sisi…kizazi chetu kinapimwa katika mizani kikilinganishwa na vizaza vilivyotangulia.. Mathayo 12:41 ..
Huwezi kutoa kitu kisafi katika kitu kichafu. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe milele. Karibu tujifunze biblia Neno la Mungu. Kuna mambo ambayo bila kufuata kanuni fulani hatoweza kupata. Mfano mwanafunzi akitaka kufaulu mtihani hana budi kusoma kwa bidii sana hiyo ndio kanuni, lakini akiingia kwenye chumba cha mtihani, huku hajasoma kabisa ni wazi ..
JIFUNGE, KAVAE VIATU VYAKO. Matendo ya Mitume 12:7-9 “Mara malaika wa Bwana akasimama karibu naye, nuru ikamulika mle chumbani, akampiga Petro ubavuni, akamwamsha, akisema, Ondoka upesi. Minyororo yake ikamwanguka mikononi. [8]Malaika akamwambia, JIFUNGE, KAVAE VIATU VYAKO. Akafanya hivyo. Kisha akamwambia, Jivike nguo yako, ukanifuate. [9]Akatoka nje, akamfuata; wala hakujua ya kuwa ni kweli yaliyofanywa na ..