NAYE AKAJINYOSHA AKALALA CHINI YA MRETEMU. Mretemu ni nini? Mretemu ni aina ya mti ujulikanao sasa kama “MTARAKWA”. Zipo jamii nyingi za mitarakwa kulingana na mahali na mahali. Mtarakwa unaomea katika bara la Afrika ni tofauti kimwonekano na ule unaomea katika bara la Ulaya, (kutokana na hali ya hewa). Lakini yote inamatawi yanayofanana na tabia ..
Category : Biblia kwa kina
NA MIAKA ELFU NI KAMA SIKU MOJA 2 Petro 3:8 “Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja”. Kuna msemo ambao unajulikana na watu wengi kwamba ”Mungu hachelewi wala hawahi” maana yake wakati sisi tunaona amechelewa/amekawia kumbe yeye anaona amewahi sana, na ..
Nini kinakutokea unapoenda kinyume na Nuru/Kweli. Nakusalimu katika jina lipitalo majina yote, jina la Yesu Kristo wa Nazareth. Karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa na mwanga wa njia zetu. Kama tunavyojua kazi mojawapo ya mwanga ni kutusaidia kuona hususani wakati wa usiku. Lakini, je umewahi kutembea njiani ukakutana na mwanga mkali ukakumulika? Nini kilikutokea? ..
Je! Unawaza kumfanyia Mungu nini katika maisha yako? 1 Wafalme 8:17 “Basi ilikuwa moyoni mwake Daudi, baba yangu, kujenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wa Israeli. [18]Lakini BWANA akamwambia Daudi baba yangu, Kwa kuwa ilikuwa moyoni mwako kujenga nyumba kwa jina langu, ULIFANYA VEMA KUWAZA HIVI MOYONI MWAKO”. Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze ..
Mapambo yanachochea uzinzi. Je! Ni kweli kujipamba kwa kutumia mekaups, lipustiks, wanja, wigi, hereni, n.k ni urembo tu? Je! Biblia inasemaje kuhusu kujipamba? Biblia inasema kujipamba kwenu kusiwe kwa nje. Ahaa kumbe tunatakiwa kujipamba lakini sio kwa nje! sasa kama sio kwa nje, basi itakuwa kwa ndani. Maana yake wanawake wa kikirsto wanapaswa wajipambe kwa ..
WALAKINI MAHALI PA JUU HAPAKUONDOLEWA. 2 Wafalme 14:4 “Walakini mahali pa juu hapakuondolewa; watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza uvumba katika mahali pa juu.” Jina la mwokozi Yesu libarikiwe daima, karibu tujifunze biblia neno la Mungu lililo taa na mwanga wa njia zetu. Katika Agano la kale nyakati za Wafalme, kuna watu walikuwa wanatoa sadaka ..
Mungu ndiye abadilishaye mashauri. Ni kawaida kusikia ushauri wa mtu Fulani ni zuri au kusikia yule usimsikilize ushauri wake utakupoteza. Lakini watu wengi hatujui kuwa ushauri wa Bwana ni mzuri zaidi ya ushauri wa wanadamu, kwani mara nyingi adui shetani amekuwa akiwatumia watu kuharibu maisha ya watu wengi kupitia ushauri ambao tunaweza kuupokea na kuona ..
NAKUPA SHAURI UNUNUE KWANGU DHAHABU ILIYOSAFISHWA. Ufunuo wa Yohana 3:15 ”Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. [16]Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu. [17] KWA KUWA WASEMA, MIMI NI TAJIRI, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; ..
FANYENI MAMBO YOTE KWA UTUKUFU WA MUNGU. Jina kuu la Yesu Kristo Mfalme Mkuu libarikiwe sana. Karibu tujifunze biblia. Neno la Mungu linasema katika.. 1Wakorintho 10:31 “Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lo lote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu. Biblia imetuagiza tufanye mambo yote kwa utukufu wa Mungu. Hii ikiwa na maana kuwa ..
Usijigeuze na kuvaa mavazi mengine. Katika biblia tunamsoma mfalme mmoja wa Israeli ambaye alijigeuza na kuvaa mavazi mengine..na huyu si mwingine zaidi ya Sauli, na lengo la kufanya hivyo ilikuwa ni yeye asijulikane na kule anakokwenda kwa yule mwanamke mchawi. Tunasoma.. 1 Samweli 28:8 Basi Sauli akajigeuza, na kuvaa mavazi mengine, kisha akaenda, yeye na ..