IN ETERNITY THERE IS NO DECISION MAKING. Praise the name of our Lord Jesus Christ. I wish you could understand, that in eternity there is no decision making, in eternity there is no option, you cannot say that I choose to do this and this, I give my life to Jesus Christ now or I ..
Category : Biblia kwa kina
HUYU THEOFILO MTUKUFU NI NANI? Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia neno la Mungu wetu, ambalo ni taa iongozayo miguu yetu na Mwanga wa njia yetu. Leo tutajifunza juu ya mtu mmoja aliyeitwa Theofilo, ambaye biblia haijaeleza habari zake kwa urefu lakini amehusika pakubwa sana katika kuieneza injili. Luka 1:3 “nimeona ..
JE UMEPOKEA UWEZO WA KUFANYIKA MTOTO WA MUNGU? Nakusalimu katika jina kuu la Bwana Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Biblia inasema katika.. Yohana 1:12 “Bali wote waliompokea aliwapa UWEZO wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ..
WAMENOA NDIMI ZAO KAMA NYOKA. Jina la Bwana YESU mkuu wa uzima libarikiwe milele. Karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa na mwanga wa njia zetu (Zab.119:105) Moja ya silaha anayoitumia adui kumshambulia Mtu ni “ULIMI WA UOVU”.. Ukiona Maneno ya uongo kuhusu wewe, au ya vitisho au ya uchonganishi yanatembea huku na huko basi ..
KAMA MAMA YA MTU ALIVYO, NDIVYO ALIVYO BINTI YAKE. “Like mother, like daughter.” Unaelewa maana ya hii sentensi? Biblia inasema katika.. Ezekieli 16:44 “Tazama, kila mtu atumiaye mithali atatumia mithali hii kinyume chako, akisema, KAMA MAMA YA MTU ALIVYO, NDIVYO ALIVYO BINTI YAKE”. Hii ikiwa na maana kuwa tabia za mama ni sawa na tabia ..
LITAZAME JIWE HILI Jina la Mkuu wa Uzima (YESU KRISTO, Mwamba wa Milele), libarikiwe. Biblia inasema lipo Jiwe moja la gharama sana, na gumu sana, na lililo hai, linalokua na kuzaa.. Kwa kawaida Mawe, hayaishi, ni vitu visivyo na uhai. Lakini biblia inasema lipo Jiwe moja la kipekee ambalo LINAISHI!!.. Hilo ni tofauti na mawe ..
JIHADHARI NA MAFUNDISHO YA YEZEBELI Yezebeli ni nani? Yezebeli alikuwa ni mwanamke mwenye asili ya nchi ya Lebanoni, mahali pajulikanapo kama Sidoni (1Wafalme 16:31), karibu sana na mji wa Tarshishi, ule ambao Nabii Yona alienda kuhubiri, na alikuwa ni binti wa kifalme, hivyo alitokea katika familia tajiri. Mwanamke huyu hakuwa Mwisraeli, ila aliolewa na Mfalme ..
LANGO LI WAZI Mtunzi wa tenzi namba 121 aliimba kwa ufunuo wa Roho, akisema.. 1. Liko lango moja wazi, Ni lango la mbinguni; Na wote waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote waingie kwake, Lango! Lango La Mbinguni ni wazi. 2. Yesu ndiye lango hili, Hata sasa ni wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri ..
MTUMISHI WANGU AITWAYE CHIPUKIZI Zekaria 3:8 “Sikiliza sasa, Ee Yoshua, kuhani mkuu, wewe na wenzako waketio mbele yako; maana hao ni watu walio ishara; kwa maana, tazama, ninamleta mtumishi wangu, aitwaye Chipukizi.” Huyu mtumishi aitwaye chipukizi ni nani? Huyu sio mwingine zaidi ya Mwokozi wetu YESU KRISTO, ndiye aliyetabiriwa kutokea kama chipukizi katika shina la ..
JILINDENI NA CHACHU YA MAFARISAYO NA MASADUKAYO. Mathayo 16:6 “Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo. Chachu ni nini?. Chachu kwa lugha ya sasa ni HAMIRA, na kwa kawaida ukiitazama hamira unaweza ukadhani ni unga Fulani hivi, lakini kiuhalisia ule si unga bali ni mkusanyiko wa wadudu wenye uhai kwa lugha ya ..