Category : Biblia kwa kina

Umeshawahi kujiuliza ni kwanini kanisa la sasa la Kristo halina Utukufu kama ule uliokuwapo katika kanisa la mwanzo? Hakuna tena imani kama ile iliyokuwapo mwanzo (bali ni unafiki na kuigiza), hakuna tena nguvu ya Mungu katika kanisa kama iliyokuwapo mwanzo, hakuna tena ushukiwaji wa Roho Mtakatifu kwa watu katika kanisa k..

Read more

Katika maisha tunayoishi, kila mtu anauona wema wa Mungu ambao haujifichi, haijalishi kama huyo mtu maisha yake ni ya dhambi na anasa, au ni ya haki na utakatifu, makundi hayo yote ya watu yanauona wema wa Mungu kwani wote anatupa afya, wote anatupa pumzi na uhai, wote tunaoa na kuolewa, wote tunapata watoto, na ndio ..

Read more