Tunaposoma habari za Yoshua Mwana wa Nuni, wa kabila la Efraimu, ambaye alikuwa ni mmoja wa wapelelezi kumi na wawili (12) waliotumwa kwa mara ya kwanza kwenda kuipeleleza nchi ya kaanani, kuna jambo kubwa..
Tunaposoma habari za Yoshua Mwana wa Nuni, wa kabila la Efraimu, ambaye alikuwa ni mmoja wa wapelelezi kumi na wawili (12) waliotumwa kwa mara ya kwanza kwenda kuipeleleza nchi ya kaanani, kuna jambo kubwa..
Kama Kanisa la Mungu, lipo Jambo la muhimu sana tunalopaswa kujifunza kutoka katika kisa cha Nadabu na Abihu kwenye maandiko matakatifu, kwa sababu, kisa cha watu hao hakikuandikwa kwa bahati mbaya h..
Shalom, jina la Bwana na Mungu Wetu Yesu Kristo litukuzwe milele na milele, Yeye ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, Aliyekuwako na Atakayekuja Mwenyez..
Tukisoma sura ya pili na mstari wa 14 wa kitabu cha maombolezo ya Yeremia, tunaona jinsi ambayo Roho Mtakatifu kwa kupitia maandiko hayo ya Maombolezo ya Yeremia, jinsi anavyoendelea kuomboleza hata sasa juu ya watu wake (kanisa) na juu ya ulimwengu mzima kwa ujumla kutokana na ubaya ule ..
Tunaposoma habari ya mtume Petro (baada ya kutoka katika nyumba ya Kornelio), na wale ndugu waliokuwa Yerusalemu, kuna jambo kubwa na la umuhimu sana ambalo sisi kama kanisa la Kristo tunapaswa kulifahamu katika neema ya wokovu..
Moja ya tabia isoyopaswa kuwepo ndani yako katika siku hizi za mwisho ni na tabia ya kushindwa kutafuta suluhisho mapema kabla ubaya haujatufika. Leo kwa neema za Bwana, tutajifunza kutoka kwa Sedekia mfalme wa Yuda, ambaye alikuwa na tabia hiyo hiyo ya kushindwa kutafuta suluhisho na kulifanyia kazi mapema hadi mabaya ya..
Tunaposoma maandiko sehemu kadhaa wa kadhaa, tunagundua kuwa, watu wote waliohubiriwa injili na kumwamini Yesu Kristo, wa..
Ili tuelewe vizuri tunamgojea Bwana wapi na kwa namna gani, hebu tujifunze tu kwa mifano yakawaida katika maisha yetu ya ki..
Tofauti na wengi tunavyodhani kuwa, Bwana Mungu anawatazama sana wahubiri kuliko watu wengine wote, au anawatazama sana watu wanaotoa misaada kwa wengine kuliko watu wote, au anawatazama sana masikini kuliko watu wote au mata..
Ndugu, kama bado hujatubu dhambi zako na kumwamini Kristo, na unajitambua maisha yako kwa Muumba wako ni ya kusuasua, ni ya dhambi na uvuguvugu, na roho yako inakushuhudia kabisa, basi unapaswa uithamini sana nafasi ya kuvuta pumzi uliyopewa na Mun..