Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo, Waraka huu kwa Wafilipi Mtume Paulo aliuandika akiwa kizuizini(Gerezani) sasa wakati akiwa kizuizini Kuna watu waliinuka nao wakawa wanahubiri injili lakini kuna waliohubiri kwa nia njema wengine kwa nia ya kumkomoa Mtume Paulo . Sasa ili kuelewa hili jambo vizurii tusome kuanzia juu kwa makini zaidi. ..
Category : Biblia kwa kina
Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ni kawaida moyo wa Mwanadamu kuugua pale kitu alichotarajia kukipata kikikawia, huenda kwa kuahidiwa na mtu kupewa jambo fulani ama kuahidiwa na Mungu kuwa atapewa jambo fulani pale hicho kitu kinapokawia kuja moyo wake huugua. Maandiko yanasema. Mithali 13:12 “Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ..
Shalom! Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo!. Mambo mengi yanashindwa kutoka ndani yetu(kuyaacha) kwa watoto wa Mungu wengi kwa sababu bado hawataki/kuamua(kuchukua hatua). Tabia zilizoko ndani yako wakati mwingine unatamani ziondoke lakini haziondoki, ndio kwanza zinazidi kuongezeka(kuota mizizi) zaidi. yote hiyo ni kwasababu hutaki kuchukua hatua kushughulika na hayo mambo maana Roho Mtakatifu ..
Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo!. Kwa kawaida mwanadamu yoyote huwa anaona njia zake zote ni kamilifu na ni sawa machoni pake mwenyewe. Lakini Neno la Mungu linatwambia. Yeremia 17:9 “Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua? ” Kumbe moyo huwa ni mdanganyifu kuliko vitu vyote!, ..
Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Kwa kawaida kila moyo wa mwanadamu alieumbwa kwa sura na Mfano wa Mungu. Moyo wake umejaa matamanio ya mambo mbali mbali na katika mambo hayo yapo Mazuri pia yako mabaya. Kuna yanayoonekana kuwa ni mazuri lakini ya siri isiyokuwa dhahiri mbele au machoni pa Mungu. Mfano ..
Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Hekima iliyokuwa ndani ya Sulemani ilikuwa ikumuongoza katika kupambanua ama kufahamu mambo mengi sana, ambayo pia kwetu yanafanyika kuwa ni msaada mkubwa sana kama tukiyasoma na kuyaelewa na kuamua kuchukua hatua.! Hivyo upo uhusiano mkubwa kati ya Uvivu na umasikini, maaana umasikini hauwezi kuja pasipokuwezeshwa na ..
Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Iko hatari kubwa sana kwa watoto wa Mungu tunapolisikia Neno na tukashindwa kulifanyia kazi na tukalipuuzia tu ama tukatamani kuliishi lakini tusichukue hataua zozote. Yakobo 1:22-25″Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.23 Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno ..
Kuhusuru ni kitendo cha kuzingira kitu pande zote, kisiwe na mpenyo wa kutoroka au kupita Na mbinu hizi mara nyingi zilitumika katika kipindi cha agano la kale, majeshi ya zamani wakati wa vita, walikuwa wana hususuru kwanza (kuzingira) maadui zao kabla hawajapigana ili wakose mpenyo au nafasi ya kuweza kutoka, na hii ilikuwa inachukua hata ..
Shalom!, Bwana Yesu asifiwe!. Chuo cha vita cha Bwana ni moja ya vitabu vya Kihistoria ambacho kina rekodi matukio yote ambayo Bwana aliwapigania watu wake na kuwashindia. Hivyo ni kitabu kinachoelezea matendo makuu ya Bwana alivyo wapigania na kuwashindia katika vita. Kitabu hiki kimetajwa katika. Hesabu 21:13 “Kutoka huko wakasafiri, wakapanga upande wa pili wa ..
Katika Agano la Kale arabuni imetajwa mara nyingi zaidi. Hivyo Arabuni ni Eneo ama sehemu ambayo iko mashariki ya kati. Ampapo wafanyabiashara mbali mbali walikuwa wakimletea Fedha, dhahabu nk Mfalme Sulemani 2Nyakati 9:14 “mbali na ile waliyoileta wachuuzi na wafanya biashara; tena wafalme wote wa Arabuni, na maliwali wa nchi wakamletea Sulemani dhahabu na fedha”. ..