UMEFANYA HIVYO KWA KUTOKUJUA Jina la Bwana na Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe daima. Karibu katika mafundisho ya biblia, Neno la Mungu wetu lililo Taa na Mwanga wa Njia zetu (Zab.119:105). Katika biblia tunasoma habari ya mtu mmoja aliyeitwa Abimeleki, huyu alikuwa ni mfalme wa nchi iliyojulikana kwa jina la Gerari ambayo ilikuwa inapatikana kule ..
Category : Biblia kwa kina
ASILI YA KUJIPAMBA KWA WANAWAKE Asili ya mapambo kwa wanawake ni kutoka kwa MAMA WA MAKAHABA, ndiye alionekana akiwa amejipamba kwa dhahabu na lulu, sasa huyu mama wa makahaba ni nani? Turejee.. Ufunuo wa Yohana 17:1 “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule ..
NEEMA YA YESU HAITADUMU MILELE Shalom Ulishawahi kutafakari haya maneno ambayo Yesu aliwaambia wanafunzi wake? Yohana 11:9 “Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu. [10]Bali akienda usiku hujikwaa; kwa sababu nuru haimo ndani yake”. Utajiuliza ni kwanini Bwana Yesu alijifananisha na ..
WOKOVU WA KWELI NI UPI? Habari ya uzima wako mtu wa Mungu, Ni siku nyingine tena leo nakukaribisha tushiriki pamoja kujifunza Neno la Mungu, maji yaliyosafi yasafishayo roho zetu kila siku. Je unaposema umeokoka, ni nini kinakupa uhakika huo? Wengi wetu tunafundishwa au tunafahamu kuwa ukitaka kuokoka jambo la kwanza ni kuamini Yesu alifufuliwa katika ..
SHIKA UZIMA WA MILELE ULIOITIWA Kila mmoja wetu aliyeokoka kweli kweli anapaswa kujua kitu cha kwanza Mungu alichotuitia sio mafanikio ya hapa duniani hayo ni ya ziada, lakini kikubwa ambacho tumeitiwa ni UZIMA WA MILELE. 1Timotheo 6:12 “Piga vita vile vizuri vya imani; SHIKA UZIMA ULE WA MILELE ULIOITIWA, ukaungama maungamo mazuri mbele ya mashahidi ..
Kwanini watu wengi watakataliwa siku ile? Kristo alisema watu wengi watakuja siku ile wakisema Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? (Mathayo7:22). Lakini yeye atawaambia sikuwajua kamwe, maana yake tangu mwanzo wakiwa wanalitumia jina lake hawakujulikana, japo kuwa walikuwa wanatoa pepo na ..
BWANA, UUACHE MWAKA HUU NAO. Biblia inatufananisha sisi na kama miti izaayo matunda, hivyo kila mmoja wetu anapaswa azae matunda kwa Mungu, kadhalika biblia imetuonya pia mti usiozaa matunda utakatwa, kama tunavyosoma mfano Bwana wetu alioutoa katika Luka 13:6 “Akanena mfano huu; Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake la mizabibu; akaenda akitafuta ..
MWANZO WA MWAKA MPYA VAA SILAHA ZOTE ZA MUNGU Jina la Bwana YESU mkuu wa wafalme wa dunia (ufunuo1:5) na mkuu wa uzima libarikiwe daima. Heri ya mwaka mpya wa 2026, Karibu katika masomo yanayohusiana na mwanzo wa mwaka mpya..ili tuanze mwaka wetu na Bwana na tukapokee baraka tele za rohoni na mwilini. Ikiwa we ..
JE! UMETOLEWA MISRI? Jina la Mwokozi Yesu, libarikiwe. Karibu tujifunze maandiko, Neno la Mungu wetu ambalo ndio taa iongozayo miguu yetu, na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Safari ya wana wa Israeli kutoka Misri, kuelekea Kaanani, ni ufunuo kamili wa safari yetu ya Kristo kutuokoa katika dhambi na kutuingiza katika Neema ya wokovu. Musa anafananishwa ..
KUWA MTU WA KUTAFAKARI Mwanzo 24:63 Isaka akatoka ili KUTAFAKARI kondeni wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja. Nakusalimu katika jina tukufu la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Siku ya leo tutaenda kujifunza jambo moja ambalo ni muhimu kulitendea kazi katika safari yetu ya Imani, Na jambo lenyewe ..