Jinsi mitandao inavyowafunga watu na kuwaweka mbali na Mungu. Biblia inasema.. 1Wakorintho 10:23 “Vitu vyote ni halali; bali si vitu vyote vifaavyo. Vitu vyote ni halali; bali si vitu vyote vijengavyo.” Hii ikiwa na maana kuwa mitandao ni mizuri inaturahisishia vitu vingi na tunapata faida lakini pia sio kila mtandao unafaa. Hivyo tunapaswa tuwe makini ..
Category : Biblia kwa kina
Usiwe miongoni mwa makutano wanaofuata Yesu. Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu.. Kipindi Bwana wetu Yesu alipokuwa hapa duniani, kulikuwa na kundi kubwa la watu waliokuwa wakimfuata, hawa walikuwa tu wanakusanyika kusikiliza mahubiri ya Bwana Yesu ambao mara zote Bwana alikuwa anazungumza nao kwa mifano, na kuwaponya magonjwa yao..baada ya hapo walikuwa wanarejea katika shughuli ..
Madhara ya kuabudu Sanamu. Sanamu ni kitu chochote kile kinachotengenezwa chenye umbile aidha la malaika wa mbinguni, mwanadamu, mnyama, au mimea…Mwanadamu yoyote anayetengeneza kitu chochote chenye mifano ya hivyo vitu tayari kashatengeneza sanamu. Moja ya amri 10 Mungu alizowapa wana wa Israeli, ilikuwa ni pamoja na kujiepusha na ibada za sanamu za aina yoyote.. Amri ..
SANAMU ZINAZOTEMBEA Je! Unafahamu kuwa kuna sanamu zinazotembea? (Zizungumzii yale maroboti yanayoendeshwa kwa umeme). Kwa kawaida sanamu yoyote haiwezi kutembea wala kufanya jambo lolote kwasababu haina uhai ndani yake, ni kama jiwe tu. Kweli inaweza kuwa na miguu mizuri lakini haitembei, inaweza kuwa na mikono lakini haishiki, inaweza kuwa na macho mazuri lakini hayaoni, na ..
NAMNA YA KUKATA KIU YA DHAMBI MAISHANI MWAKO. Shalom: Nakusalimu kwa jina lipitalo majina yote jina la Bwana Yesu Kristo mkuu wa Uzima. Karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Na leo tutaenda kufahamu jinsi ya kukata kiu ya dhambi na kiu ya kila kitu maishani mwetu. Yamkini unatamani kuacha dhambi na unashindwa, unatamani kuacha uzinzi, ..
MFAHAMU MFALME YOSIA. Shalom: karibu tujifunze biblia kwa kina. Mfalme Yosia ni nani? 2 Wafalme 22:1 “Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Yedida, binti Adaya wa Bozkathi.” Mfalme Yosia ni Moja ya Wafalme 19 waliotawala Yuda, enzi zile za ..
NA HAPO PATAKUWA NA NJIA KUU Isaya 35: 8 “Na hapo patakuwa na NJIA KUU, na njia, NAYO ITAITWA, NJIA YA UTAKATIFU; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; WASAFIRIO, WAJAPOKUWA WAJINGA, HAWATAPOTEA KATIKA NJIA HIYO”. Jina la Bwana na Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe daima. Karibu katika mafundisho ya ..
CHANZO CHA MATATIZO Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa iongozayo njia zetu. Biblia inasema “Mjue sana Mungu ili uwe na Amani (Ayubu 22:21)”..Siku zote ukijua sababu ya jambo Fulani basi unapata amani. Amani inakuja baada ya kujua sababu ya jambo Fulani. Leo tutajifunza juu ya ..
Anasa ni nini? Na kwanini ni dhambi kwa mkristo kuishi maisha ya anasa. Anasa linatotoka na neno la Kiarabu lenye maana ya raha au starehe tele katika maisha ya binadamu. Anasa mara nyingi hujumuisha kumiliki vitu fulani vya thamani kubwa, au kuishi mazingira fulani, au kutumia vyakula fulani, au kitu chochote cha kufurahisha mwili ambacho ..
ADUI AKIONA AMESHINDWA ANAKUJA KWA HILA. Si kila wakati ibilisi atakuja kama mpingamizi, au mharibifu, hapana, lengo lake litakuwa ni hilo ndio, lakini akijua hawezi tena kuja moja kwa moja, atakuja kwa ujanja wa kujionyesha ameshindwa wewe una nguvu nyingi, atajiweka chini yako, ajifanye kuwa yeye siku zote ni mnyonge tu.. lakini kumbe ameshakuweza. Ndicho ..