Category : Maombi na sala

JINSI YA KUFUNGUA MLANGO WA MAFANIKIO UTANGULIZI: Ni muhimu kujua hili: lengo kuu au kiini cha Wokovu ulioletwa na BWANA YESU KRISTO sio sisi tuwe matajiri au tupate mafanikio ya huu ulimwengu!. Mafanikio ya dunia hii ni moja ya faida za mwisho mwisho kabisa za kusudi la msalaba wa Bwana YESU kwasababu walikuwepomatajiri kabla ya ..

Read more

Maombi yanayompendeza Mungu. (Omba Mungu akupe moyo wa hekima zaidi ya mali) Kwanini tunapaswa kumuomba Mungu atupe hekima zaidi ya mali? Kwani! ni vibaya kuwa na mali? Kuwa na mali sio vibaya na tunahitaji, lakini pia tukikosa hekima, hata hiyo mali pia hatuwezi kutumia vizuri. Sulemani Mfalme wa Israeli mwana wa Daudi, Ni mtu aliyempendeza ..

Read more

Usimpelekee Bwana mashitaka ya maadui zako. Moja ya jambo ambalo linamchukiza sana Mungu ni maombi ya kuwaombea wanadamu wenzetu mabaya, hili linamchukiza sana na linaleta adhabu kwetu badala ya mazuri. Maombi ya kuwashitaki ndugu zetu kama maadui ni maombi mabaya sana, hata kama ni kweli wametuumiza. Hebu fikiria wewe ulipokuwa unawangia watu, unaiba vitu vya ..

Read more

Je! una nia gani na kile unachoomba kwa Bwana. Shalom, jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe Mara nyingi tumekuwa tukipeleka maombi yetu kwa Mungu na hatuoni kujibiwa mpaka wakati mwingine tunakata tamaa na kusema labda Mungu hasikii. Ukweli ni kwamba Mungu wetu anasikia sana na anajibu kabisa kwa wakati wala hakawii kujibu… anasema sikio lake ..

Read more

Nitajuaje kuwa ninaomba kwa Mungu wa kweli? Shalom. Jina la Bwana Yesu Kristo mwokozi wa ulimwengu libarikiwe, utukufu na heshima vina yeye milele na milele. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Katika somo lililopitia tulijifunza maana ya maombi..kwamba maombi ni nini na ni kwanini tuombe? hivyo siku ya leo tutaangalia ni kwa jinsi gani tunaweza tukawa ..

Read more

KWANINI MAOMBI Nakusalimu katika jina tukufu, jina la Bwana Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme na BWANA WA MABWANA. Karibu tujifunze hekima ya Mungu, Neno la Mungu ambalo ni taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). Leo kwa neema za Mungu tutajifunza somo zuri linalohusu maombi. tutaangalia maana ya maombi na ni kwanini ..

Read more

Maombi ni silaha mojawapo inayoweza kukuletea matokea makubwa sana, na shetani kwa kulijua hilo,anapiga vita swala la maombi, hivyo hatuna budi kuwa na miongozo ambayo itatusaidia tuzidi kukomaa kimaombi na kuendelea mbele zaidi, Ipo miongozo mingi itakayokusaidia kuomba ila kwa neema za Bwana tutaangalia ni namna gani tunaweza kuingia kwenye maombi tukiwa tayari tuna mwongozo ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Watu wengi wana bidii katika maombi wengine wanafunga kwa kipindi kirefu lakini mwisho wa siku hawaoni matokeo katika kile walichokuwa wanakiomba. Mwisho inapelekea kukata tamaa na kuona kama Mungu hawasikii ama yupo mbali na wakati mwingine wanahisi kuwa huenda wamekosea mahali fulani ..

Read more

Shalom, tunamshukuru Bwana kwa siku nyingine tena aliyotupa.. Wengi wetu tumekuwa tukiomba sana , wengine wameenda mbali zaidi wakiisindikiza maombi yao kwa mifungo ya siku hata mwezi, jambo ambalo ni jema sana na lapendeza sana mbele za Mungu, kwasababu maandiko yametutaka tuombe bila kukata tamaa, (luka 18:1) Lakini leo natamani tujifunze Jambo lingine ambalo Katika ..

Read more

Unapokuwa tayari kwa hiyari yako kumkabidhi Kristo maisha yako ili akuokoe na kukusamehe dhambi zako basi huo ni uamuzi mzuri zaidi na wenye furaha zaidi maisha yako yote, kama ilivyokuwa kwa sisi wenzako katika kristo Yesu, ilikuwa hivyo hivyo. Kumbuka.. • kwa Yesu kuna Uzima wa milele, utulivu wa Nafsi na faraja kuu. Kama anavyosema ..

Read more