Tusome… Ufunuo 20:11 “Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana. 12 Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa ..
Category : Maswali ya Biblia
Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya Mungu yenye uzima. Tusome… Isaya 29:16 Ninyi mnapindua mambo; Je! Mfinyazi ahesabiwe kuwa kama udongo; kitu kilichomfinyangwa kimnene yeye aliyekifinyanga, Hakunifinyanga huyu; au kitu kilichoumbwa kimnene yeye aliyekiumba, Yeye hana ufahamu? Bila shaka kama we ni msomaji wa biblia naamini si mara ya kwanza kukutana ..
Kifo ni Hali ya kutoka uhai ndani kwa kiumbe chochote , na kinaweza kumtokea Mwanadamu,mnyama, mmea, kwa kuwa ndani yao umo uhai basi vinapotokwa na huo uhai vinakufa.. Mauti ni kifo pia ijapokuwa mauti ipo kwa wanadamu, kwasababu hakuna uhalisia wowote kusema mti umekumbwa na mauti, au paka amekumbwa na mauti, bali sentensi kamili ..
Shalom! jina la Bwana wetu yesu kristo lipewe sifa karibu mwana wa Mungu tujifunze maneno ya uzima. Tunaweza kusoma kitabu hiki hapa chini. Ayubu 1:14 “Huyo alipokuwa akali akinena, akatokea na mwingine, na kusema, Moto wa Mungu umeanguka kutoka mbinguni na kuwateketeza kondoo, na wale watumishi, na kuwaangamiza; mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea ..
Shalom,karibu tujifunze Neno la Mungu Mtakatifu Ritta ambaye kwa kanisa katoliki anajulikana kama mwombezi wa mambo yasiyowezekana, mfanya miujiza.. Mama huyu alizaliwa 1381 Katika mji unaoitwa kashia kwenye taifa la Italy, mama huyu aliolewa akiwa mwenye umri mdogo, lakini alikuja kufiwa na mume wake na Watoto wake wawili ndipo akajiunga na utawa, ingawaje alipitia changamoto ..
Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Mithali 10:25“Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.” Kisulisuli kwa jina lingine tunaweza kusema ni kimbunga. Ni upepo ambao huwa unajikusanya sehemu moja na kutengeneza kitu mfano wa nguzo kwenda juu. Sasa ili tuweze kupata maana vizuri katika mstari ..
Shalom! jina la Bwana wetu yesu kristo lipewe sifa karibu mwana wa Mungu tujifunze maneno ya uzima. Tunaweza kusoma kitabu hiki hapa chini. Ayubu 1:14 “Huyo alipokuwa akali akinena, akatokea na mwingine, na kusema, Moto wa Mungu umeanguka kutoka mbinguni na kuwateketeza kondoo, na wale watumishi, na kuwaangamiza; mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea ..
Nakusalimu katika jina tukufu, Jina la Bwana wetu YESU KRISTO. Mkuu wa uzima. Karibu tujifunze Neno la Mungu.. Katika agano la kale, Mungu alimwagiza Musa ajenge Hema iwe mahali pa Mungu kushuka na kusema na wana wa Israeli(Kutoka 25:1-9) hema hiyo ambayo iliitwa hema la kukutania ilikuwa ni ya kuhama hama kulingana na safari ..
Shalom, karibu katika kuyatafakari maneno ya Me mgu yatupayo uzima ndani yetu.. Kulingana na kichwa cha somo tusome Yakobo 4:9 “Huzunikeni na kuomboleza na kulia. Kucheka kwenu na kugeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa hamu”. Si kwamba haturuhusiwi kufurahi au kushangilia, pale jambo jema linapotokea, mfano ulikuwa na ndugu yako ambaye tabia zake hazikuwa ..
Bwana apewe sifa karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu yesu kristo. Shubaka ni dirisha lililojengwa kwa kupishanisha vipande vya mbao au chuma au kitu kingine kama pazia katikati ya dirisha Hilo. Ujenzi wa madirisha hayo haupo kama wa kisasa kwakuwa madirisha ya Sasa yapo wazi sana yaani hauwezi kuona kitu chochote kimekatiza ..