Bwana Yesu Kristo Asifiwe. Nikukaribishe tujifunze maneno ya Uzima JIBU: Hosea 12:7“NI MCHUUZI, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu .” Mchuuzi ni mtu anayejishughulisha na ununuaji wa bidhaa na kuzisafirisha kuziuza sehemu nyingine hususani nje ya nchi yake. Unaweza kupitia tena, utalipata katika Wimbo ulio Bora 3:6, Ezekiel 27:3, 27:20-22 pamoja na Isaya ..
Category : Maswali ya Biblia
Karibu tujifunze Maneno ya Uzima.. Mahali popote unapoona Mungu anasema ameliweka jina lake anamaanisha sehemu hiyo au kitu hicho ni ” kiteule chake yaani Amekichagua ” Au amekiweka wakfu kwa ajili ya kumwabudu, Kumtangaza, kumfanyia Ibada n.k si vinginevyo! Ni kitu,mtu au mahali popote ambapo pamewekwa wakfu kwa Mungu au kupakwa mafuta ya Utumishi, basi ..
JIBU, 1Wakorintho 1:25 “Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu’’ Unaweza ukawa umeshajiuliza haya maswali, Je Mungu ni mpumbavu? Mungu wetu ana udhaifu? Mtu yoyote aliyeumbwa ma Mungu akapewa akili na uwezo wa kutambua mambo mbalimbali ambayo Mungu amefanya kama vile kuumba sayari, ..
Bwana yesu apewe sifa mwana wa MunguTushukuru Sana Kwa neema ya kuiona Leo maana si Kwa nguvu wala Kwa uweza Bali Kwa huruma,fadhili na mapenzi yake basi tuna paswa kujifunza neno lake kila tunapo muda na wakati maana lipo kusudi la Mungu kusoma huu ujumbe. Waefeso 5:15-18 biblia inatuambia hivi.. “15 Basi angalieni sana jinsi ..
Koikoi ni ndege wa kubwaWenye miguu mirefu na mdomo mrefu na mwembamba Ndege hawa wana rangi nyeupe, kijivu na nyeusi. Sasa turudi kwenye maandiko tuone yanasemje juu ya hawa ndege na ni upi ufunuo na hekima tunaweza kuipata hapa kama watoto wa Mungu na ikatusaidia katika maisha Yetu ya wokovu. Yeremia 8:7 “Naam, koikoi angani ..
Jina la bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu Tuyatafakari Maandiko Warumi 13:14 Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata KUWASHA TAMAA ZAKE.” Kuuangalia mwili kama ilivyoandikwa japo juu inamaanisha kuujali au kuutii sana mwili kupitiliza, Naam hatimae kuziwasha tamaa zake. Mtu anapofikia hatua hii kuwa ni teja wa mwili wake na huutii kwa kila ..
Shalom, karibu tujifunze Maneno ya Uzima Swala la kuokoka peke yake halitoshi mbele za Mungu, kuna ngazi 7 ambazo ni lazima mtu wa Mungu azipande ili Mungu auone ukamilifu wako unapokuwa hapa duniani. Inatakiwa tuende mbele zaidi ya kuokoka na kubatizwa hatutakiwi tubaki hapo kwa sababu hatutakuwa na ushuhuda wowote na pengine tukafa kiroho. Mtume ..
Shalom mwana wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu… Biblia inatuambia roho mbaya kutoka kwa Bwana ikamjia Sauli, bila shaka unajiulza ni roho ya namna gani? Sote tunajua Mungu wetu hutupa roho nzuri na ya amani, sasa inakuwaje aachilie roho mbaya kwa mtu tena ambaye ameshamtia mafuta na roho hiyo inafanya uharibifu kwa watu wasio ..
Mathayo 5:21 Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu. 22 Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu yake hasira itampasa hukumu; na mtu akimfyolea ndugu yake, itampasa baraza; na mtu akimwapiza, itampasa jehanum ya moto Hapo tunaona Bwana anatupa uelewa mwingine wa Kuhusiana na dhambi ya kuua, kwasababu tokea hapo mwanzo ilidhaniwa ..
Shalom Wapendwa. Karibu Tujifunze Maandiko matakatifu Kumekuwa na maswali mengi sana miongoni mwa wakristo {Mkristro ni mtu aliyegeuka na kudhamiria kwa gharama zozote kujitwika msalaba wake na kumfuata kristo Yesu}. Wanajikuta wana maswali mengi sana yakosayo majibu. Akisema nimempa Yesu maisha yangu na hakika nimepata furaha kubwa ya kiMungu ndani yangu, lakini vipi kuhusu nje! ..